Mkuu pia hembu weka Bei in Tsh,maana kama hiyo number G,black nikwamba imeishatumika hapa Zanzibar.
Angalau ungesema in USD hiyo white,licha ya kwamba na yenyewe inaweza kuwa tu imetolewa number.
Na ili upate wateja,jaribu kuweka na everage ya gharama mpaka kufikisha Dar,maana hapo ndio kimbembe,sijui kama sio 40m pamoja na Kodi zote