Jamii imetakiwa kuacha tabia ya unyanyapaa kwa waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi hususani vijana. Badala yake iwape ushirikiano ili kuwafanya wajisikie vizuri pamoja na kupata nafasi ya kuonyesha walichonacho katika jamii wanazoishi.
Wito huo umetolewa na Daniel Moses muelimishaji rika kutoka...