Wanaume hawapati hedhi. Hedhi ni mchakato wa kibayolojia ambao hutokea kwa watu walio na mifumo ya uzazi ya mwanamke, kwa kawaida huhusisha umwagaji wa kitu kinachoitwa "UTERINE LINING" .
Inaendeshwa na mizunguko ya homoni ambayo huandaa mwili kwa ajili ya ujauzito ambao ni maalum kwa...