- Mpangaji Mmoja Mwenye Kukodisha Muda Mrefu Anahitajika!
· Nyumba Kuu: Ina vyumba vitatu (3) vya kulala, jiko, sebule na eneo maalum la kulia.
· Nyumba Ndogoo (2): Kila moja ina vyumba viwili (2)...
mambo vip wa dau
Mlisema nisitegemee mshahara tu nitafute kazi ya kufanya nyingine kama sio kufungua cafe basi nibuni kitu kingine haya nimekuja na hili hapa bei 50k 0774078650 text us ukitukosa...
TANGAZO LA KAZI
Kampuni yetu inatafuta Wafanyakazi Wenye Ujuzi na Uzoefu kujaza nafasi zifuatazo:
1. Mchoro/Mchoro wa Majengo (Architect)
Kiwango cha Elimu: Cheti (Certificate) au Diploma...
karibuni HUDUMA YA KUHAMA, mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mkoani.
Huduma zetu ni pamoja na;
[emoji117]kufunga na kufungua vitu tunapofika unapohamia
[emoji117]kupanga vitu mahala pake...
Piga 0746373222.....Je, unamiliki gari,pikipiki au bajaji(chombo cha moto)?
Je,unataka kukilinda na kukifatilia chombo chako popote kinapokwenda?
Je,Umechoka kupewa taarifa za uwongo na dereva...
Habari
Natafuta noah road tour ama field tour tu offer ilokuwepo ni 13m isiwe imechezewa rangi niko dar nipe gari unayoijua tufanye biashara
0659756647 CALLS/WHATSAPP
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MADALE (Kontena)
Ipo Madale, kilomita 1 tu kutoka barabara kuu.
Imejengwa kwenye kiwanja chenye ukubwa wa sqm 500.
Nyumba ina vyumba vinne (4) –
1 ni master bedroom...
Habari wadau,
Tunapangisha nyumba ipo Maeneo ya mikocheni Plaza.
Mazingira yake:
Eneo Lina SQM 1,500. Ina ukuta umezungushwa.
Ni Nyumba ya Ghorofa moja.
Ina vyumba 5, sebule, jiko na DINNING...
Gari ipo Kigamboni Dar es Salaam. Ipo katika hali nzuri sana!
Make: TOYOTA ISIS
MWAKA: 2008
CC: 1798
SEATS: 7
DRIVE: AUTOMATIC, 2WD
Kama kutahitajika service basi zitakuwa ni spares ndogongogo za...
Habari wadau wote wa usafiri. Natafuta engine kwa ajili ya kufufua pikipiki yangu. Sinoray 150 au 180 naielewa zaidi. Isiwe timing chain. Tafadhali tuwasiliane 0754004189
#houseforsale
Nyumba ya Ghorofa inauzwa 📍IPO Mbezi Beach - Kilongawima
Location Nyumba inagusa lami ya Mbezi Beach ya chini kwa Mwamunyange
Nyumba ya Ghorofa Ina vyumba v6 vya kulala, v4 master...
We are looking for Joint Venture plots.
Plots location: Masaki or Oysterbay, Dar es Salaam.
Plots Size: SQM 800 - SQM 4000+.
Plot should have Title Deed.
For further details, Kindly contact us...
🔥🔥🔥🔥OFFER OFFER OFFER🔥🔥🔥🔥
NOKIA 106 New
Jumla:Tsh18,000kuanzia pc10
Rejareja:Tsh24,000/=
Brand: new
Batter: 1000mAh
Laini mbili
NOKIA 105(2023)...
Habari ndugu zangu,
Leo nimekuja hapa mapema hii nikiwa na shida ya hii mashine ya kutengeneza juice ya miwa, nahitaji kutoka kwa mtu atakayeweza kunikodisha na sio kununua. Awe Dar es salaam na...