As of now, there are CEOs of the companies who have not yet filed their income tax returns for the year 2024. VERY INTERESTING…
The company is going through the financial crisis still you’re...
Nauza vifungashio au mifuko laini Ile ya kuingia kilo moja Hadi kilo mbili ni mizuri mipana na haivuji wala kuachia chini pindi unapobeba bidhaa...njoo nikuuzie kwa mia9 kila pisi wewe uuze 1300...
Trumark Stationery & Books ni wakala wa vitabu vyote vya shule vya mtaala mpya.
Ukinunua vitabu kwa wakala una uwezo mkubwa wa kupata punguzo la bei.
Vitabu kuanzia shule ya awali, msingi na...
maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula..
nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana..
Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz.
Karibu...
UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO
1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA...4000
2. I WANT TO DIE JUDGE...4000
3. GEREZA LA HAZWA...5000
4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA (KISASI)...5000...
Nauza kiwanja changu, Namba 30
kipo jirani na hospitali ya wilaya, eneo la Lulanzi ,kata ya Picha ya ndege, Manispaa ya Kibaha.
Hospitali kilometa moja kulia na shule ya pyramid English medium...
maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula..
nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana..
Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz.
Karibu...
Wasaalam,
Kama somo tajwa hapo juu. Yeyote anayetaka saruji (cement) ya twiga kwa bei ya jumla.
Kiwango cha chini ni tani 10 au mifuko 200 kwa dar.
Mikoani ni kuanzia tani 25 au mifuko 500...
Wasiliana nasi ili upate huduma saidizi za kuanzisha biashara ambazo zinahusisha Masuala yote ya msingi kwa ajili ya kuanzisha kampuni ikiwamo:
Kusajili Biashara yako BRELA, TRA, LESENI, na...
Karibuni Sana
1. Utafiti wa maji chini ya ardhi (Underground water prospecting)
2. Uchimbaji na ujenzi wa visima vya maji (Borehole / water well drilling and Constructions)
3. Upimaji kiasi cha...
Habari za Jumamosi Wakuu,nna biashara wakubwa zangu nauza,biashara hizo ni pamoja na (1)Samick 12 Channel Mixing Console
Model no SM-1200p hii naitakia 500,000.
(2)Jebson SD 1 Table top Mixer hii...
Wakazi na wenyeji wa mji wa Lindi..
Kiwanja cha kujenga nyumba ya makazi kinahitajika..
Kama unacho au kuna mtu unayemjua anacho na anauza basi unakaribishwa mtu wa nguvu.!!
Ofa ya kadi za harusi, send-off, michango, graduation, komunio, na mialiko mingine mbali mbali. Utapata ofa hii kuanzia leo hadi mwezi wa nane tarehe 29, gharama ya kawaida ni Tsh 1500 kwa kadi...
Karibuni Sana wells technology wachimbaji wa visima vya maji safi na salama borehole
gharama za uchimbaji kisima ni kwa mita
Dar es salaam na pwani mita moja 90,000
Mikoani mita moja 140000...
DESIGN YA VYUMBA 4 ,
1. LOUNGE
2.DINNING & KITCHEN
3.2BEDROOMS SELF
4.1BEDROOM SINGLE NEAR PUBLIC BATHROOM
5.MASTER BEDROOM WITH CLOSET AND SPECIOUS BATHROOM
6.BARAZA 2, COST MPAKA KUPAUA NA...
ARGENT
My name is Joshua James, a professional driver and an agent for job seekers, as well as a specialist in community-related matters.
If you are looking for workers within Dar es Salaam...