Niliomba kazi kimasihara naona ntaipata na siko motivated

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Sep 8, 2015
1,488
1,698
Wakuu vipi,

Niliona Tangazo la kazi kupitia careerjet, la Curator, basi nkaomba maana application Yao ilikuwa so simple.

Hii kazi inaitaji uwe na laptop na bandle, unalipwa $0.15 per each link utakayo submit.

Naona mtu akikoma nayo anatengeneza pesa nzuri sana,lakini mie Sina uzoefu nayo .

Ambaye ashawai kufanya Video curating anipe uzoefu.
Ni kampuni kutoka Philippines.

Ni kamputi ambayo ime base na Artificial intelligence.

Karibu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240506-174015.png
    Screenshot_20240506-174015.png
    91.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20240506-174031.png
    Screenshot_20240506-174031.png
    105.8 KB · Views: 6
Wakuu vipi,

Niliona Tangazo la kazi kupitia careerjet, la Curator, basi nkaomba maana application Yao ilikuwa so simple.

Hii kazi inaitaji uwe na laptop na bandle, unalipwa $0.15 per each link utakayo submit.

Naona mtu akikoma nayo anatengeneza pesa nzuri sana,lakini mie Sina uzoefu nayo .

Ambaye ashawai kufanya Video curating anipe uzoefu.
Ni kampuni kutoka Philippines.

Ni kamputi ambayo ime base na Artificial intelligence.

Karibu.
Ngoja waje kukupa mwongozo

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom