Bi. Titi Mohamed, Julius Nyerere na Oscar Kambona

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
21,147
30,495
BI. TITI MOHAMED, JULIUS NYERERE, OSCAR KAMBONA NA MAMA MARIA

Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Bi. Titi akizungumza na nyuma yake amekaa Julius Nyerere, Oscar Kambona na Mama Maria Nyerere.

Hii ni miaka ya mwanzo ya uhuru 1960s hata Azimio la Arusha bado.

Kwa nini nimelitaja Azimio la Arusha?

Nimelitaja Azimio la Arusha kwa sababu ni uamuzi muhimu kwa ile fitna iliyokuja kuikumba nchi na pia kujenga uadui kati ya viongozi hawa ukimtoa Mama Maria.

Baada ya Azimio la Arusha Kambona alipokimbilia uhamishoni Uingereza Nyerere alimshambulia hadharani kwa maneno makali na kwa lugha nzito na kumpa jina shida kutamkwa kinywani.

Bi. Titi na Nyerere mwaka uliofuatia lakini katika faragha walipambana.

Katika ugomvi huu Tewa Said Tewa alikuwapo.

Tewa alikuwa President wa East African Welfare Society (EAMWS) na Bi. Titi Vice President.

Ugomvi ulihusu kupigwa vita EAMWS.

Hisani na wema wa miaka mingi ulitoweka vitisho vikatawala.

Hii ni timu ya TANU ya 1954 iliyopigania uhuru wa Tanganyika.

Katika hao aliye hai ni Mama Maria peke yake.

Kila niangaliapo picha kama hizi fikra zangu huenda mbali nikakumbuka walikotoka viongozi hawa na mwisho wao ulikuwaje.
 

Attachments

  • Screenshot_20221225-171538_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20221225-171538_WhatsApp.jpg
    47.1 KB · Views: 73
BI. TITI MOHAMED, JULIUS NYERERE, OSCAR KAMBONA NA MAMA MARIA

Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Bi. Titi akizungumza na nyuma yake amekaa Julius Nyerere, Oscar Kambona na Mama Maria Nyerere.

Hii ni miaka ya mwanzo ya uhuru 1960s hata Azimio la Arusha bado.

Kwa nini nimelitaja Azimio la Arusha?

Nimelitaja Azimio la Arusha kwa sababu ni uamuzi muhimu kwa ile fitna iliyokuja kuikumba nchi na pia kujenga uadui kati ya viongozi hawa ukimtoa Mama Maria.

Baada ya Azimio la Arusha Kambona alipokimbilia uhamishoni Uingereza Nyerere alimshambulia hadharani kwa maneno makali na kwa lugha nzito na kumpa jina shida kutamkwa kinywani.

Bi. Titi na Nyerere mwaka uliofuatia lakini katika faragha walipambana.

Katika ugomvi huu Tewa Said Tewa alikuwapo.

Tewa alikuwa President wa East African Welfare Society (EAMWS) na Bi. Titi Vice President.

Ugomvi ulihusu kupigwa vita EAMWS.

Hisani na wema wa miaka mingi ulitoweka vitisho vikatawala.

Hii ni timu ya TANU ya 1954 iliyopigania uhuru wa Tanganyika.

Katika hao aliye hai ni Mama Maria peke yake.

Kila niangaliapo picha kama hizi fikra zangu huenda mbali nikakumbuka walikotoka viongozi hawa na mwisho wao ulikuwaje.
Simulizi zuri ila tu limekosa picha
 
Hivi bi Titi alikuwa single woman au?

Je, aliacha uzao wake baada ya kufa au hakuwa na familia ?

Msaada kwa anayejua
 
BI. TITI MOHAMED, JULIUS NYERERE, OSCAR KAMBONA NA MAMA MARIA

Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Bi. Titi akizungumza na nyuma yake amekaa Julius Nyerere, Oscar Kambona na Mama Maria Nyerere.

Hii ni miaka ya mwanzo ya uhuru 1960s hata Azimio la Arusha bado.

Kwa nini nimelitaja Azimio la Arusha?

Nimelitaja Azimio la Arusha kwa sababu ni uamuzi muhimu kwa ile fitna iliyokuja kuikumba nchi na pia kujenga uadui kati ya viongozi hawa ukimtoa Mama Maria.

Baada ya Azimio la Arusha Kambona alipokimbilia uhamishoni Uingereza Nyerere alimshambulia hadharani kwa maneno makali na kwa lugha nzito na kumpa jina shida kutamkwa kinywani.

Bi. Titi na Nyerere mwaka uliofuatia lakini katika faragha walipambana.

Katika ugomvi huu Tewa Said Tewa alikuwapo.

Tewa alikuwa President wa East African Welfare Society (EAMWS) na Bi. Titi Vice President.

Ugomvi ulihusu kupigwa vita EAMWS.

Hisani na wema wa miaka mingi ulitoweka vitisho vikatawala.

Hii ni timu ya TANU ya 1954 iliyopigania uhuru wa Tanganyika.

Katika hao aliye hai ni Mama Maria peke yake.

Kila niangaliapo picha kama hizi fikra zangu huenda mbali nikakumbuka walikotoka viongozi hawa na mwisho wao ulikuwaje.
Nipe simulizi kidogo japo kwa kifupi kumhusu huyu Tewa Said Tewa umaarufu wake kwenye siasa za Tanganyika
 
Hivi kosa la Bi. Titi ni lipi hadi akakosana na Nyerere na kufungwa? Alimaliza kifungo chake au aliachiwa mwa msamaha?
Mohamed Said
 
Kuna habari zinasema nyerere baada ya kukabidhiwa nchi alitafuta watu ambao walikua weak kwake ndio akawafanya wasaidizi wake.
Wale wote waliompokea wakati anatoka pugu aliwapiga chini kwa sababu zifuatazo na hapo ndipo uhasama ulipoanzia;

Wengi wa wazee wa TANU na TAA walikua vizuri kiuchumi kumzidi nyerere na hata serikali yenyewe kwa maana serikali ilikua mpya.hivyo nyerere aliamini haweza kuwatala bila kirahisi ( ujamaa ) ukaletwa ili kuwapunguza nguvu kiuchumi. Apa wazee walipokonywa maeneo yao mengi.

Wanachama wa TANU wengi walikua watoto mjini hivyo ikiwaweka kwenye systems huwezi kuwa zidi akili. Akaamua kuwaacha nje ya mfumo na apa wakammind sana.

Wakazi wa dar walikua na nguvu sana kisiasa na kiuchumi na hawa wazee walikua na fun base kubwa dar, technically aliwatoa kwenye siasa ili wasimsumbue baadae.

Mwisho kabisa, hawa wazee walikua na uislamu mwingi wakati Mzee nyerere agenda aliyopewa ilikua kuhakikisha kanisa (----------------------------------
 
BI. TITI MOHAMED, JULIUS NYERERE, OSCAR KAMBONA NA MAMA MARIA

Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Bi. Titi akizungumza na nyuma yake amekaa Julius Nyerere, Oscar Kambona na Mama Maria Nyerere.

Hii ni miaka ya mwanzo ya uhuru 1960s hata Azimio la Arusha bado.

Kwa nini nimelitaja Azimio la Arusha?

Nimelitaja Azimio la Arusha kwa sababu ni uamuzi muhimu kwa ile fitna iliyokuja kuikumba nchi na pia kujenga uadui kati ya viongozi hawa ukimtoa Mama Maria.

Baada ya Azimio la Arusha Kambona alipokimbilia uhamishoni Uingereza Nyerere alimshambulia hadharani kwa maneno makali na kwa lugha nzito na kumpa jina shida kutamkwa kinywani.

Bi. Titi na Nyerere mwaka uliofuatia lakini katika faragha walipambana.

Katika ugomvi huu Tewa Said Tewa alikuwapo.

Tewa alikuwa President wa East African Welfare Society (EAMWS) na Bi. Titi Vice President.

Ugomvi ulihusu kupigwa vita EAMWS.

Hisani na wema wa miaka mingi ulitoweka vitisho vikatawala.

Hii ni timu ya TANU ya 1954 iliyopigania uhuru wa Tanganyika.

Katika hao aliye hai ni Mama Maria peke yake.

Kila niangaliapo picha kama hizi fikra zangu huenda mbali nikakumbuka walikotoka viongozi hawa na mwisho wao ulikuwaje.
wewe maisha yako umekuwa mtu wa kulia lia tu.Haya sasa raisi mvaa baibui bado unaendelea kulia.

utakufa kihoro mudi wa saigon.Ninyi dunia nzima mnalia mnaonewa tu?
 
Kuna habari zinasema nyerere baada ya kukabidhiwa nchi alitafuta watu ambao walikua weak kwake ndio akawafanya wasaidizi wake.
Wale wote waliompokea wakati anatoka pugu aliwapiga chini kwa sababu zifuatazo na hapo ndipo uhasama ulipoanzia;

Wengi wa wazee wa TANU na TAA walikua vizuri kiuchumi kumzidi nyerere na hata serikali yenyewe kwa maana serikali ilikua mpya.hivyo nyerere aliamini haweza kuwatala bila kirahisi ( ujamaa ) ukaletwa ili kuwapunguza nguvu kiuchumi. Apa wazee walipokonywa maeneo yao mengi.

Wanachama wa TANU wengi walikua watoto mjini hivyo ikiwaweka kwenye systems huwezi kuwa zidi akili. Akaamua kuwaacha nje ya mfumo na apa wakammind sana.

Wakazi wa dar walikua na nguvu sana kisiasa na kiuchumi na hawa wazee walikua na fun base kubwa dar, technically aliwatoa kwenye siasa ili wasimsumbue baadae.

Mwisho kabisa, hawa wazee walikua na uislamu mwingi wakati Mzee nyerere agenda aliyopewa ilikua kuhakikisha kanisa (----------------------------------
wacha porojo za wanywa kahawa magomeni mapipa.

hii nchi nyerere angekuwa na tamaa kama wazee wenu angejilimbikizia mali.
 
BI. TITI MOHAMED, JULIUS NYERERE, OSCAR KAMBONA NA MAMA MARIA

Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Bi. Titi akizungumza na nyuma yake amekaa Julius Nyerere, Oscar Kambona na Mama Maria Nyerere.

Hii ni miaka ya mwanzo ya uhuru 1960s hata Azimio la Arusha bado.

Kwa nini nimelitaja Azimio la Arusha?

Nimelitaja Azimio la Arusha kwa sababu ni uamuzi muhimu kwa ile fitna iliyokuja kuikumba nchi na pia kujenga uadui kati ya viongozi hawa ukimtoa Mama Maria.

Baada ya Azimio la Arusha Kambona alipokimbilia uhamishoni Uingereza Nyerere alimshambulia hadharani kwa maneno makali na kwa lugha nzito na kumpa jina shida kutamkwa kinywani.

Bi. Titi na Nyerere mwaka uliofuatia lakini katika faragha walipambana.

Katika ugomvi huu Tewa Said Tewa alikuwapo.

Tewa alikuwa President wa East African Welfare Society (EAMWS) na Bi. Titi Vice President.

Ugomvi ulihusu kupigwa vita EAMWS.

Hisani na wema wa miaka mingi ulitoweka vitisho vikatawala.

Hii ni timu ya TANU ya 1954 iliyopigania uhuru wa Tanganyika.

Katika hao aliye hai ni Mama Maria peke yake.

Kila niangaliapo picha kama hizi fikra zangu huenda mbali nikakumbuka walikotoka viongozi hawa na mwisho wao ulikuwaje.
Shukrani kwa amali hii ya kuleta madini haya. Hata hiviyo, ndivyo walivyo wanasiasa na wanadamu kwa ujumla. Hubadilika kulingana na wakati, ajenda, maslahi na wengine hata ubaya tu au uzuri tu.
 
wacha porojo za wanywa kahawa magomeni mapipa.

hii nchi nyerere angekuwa na tamaa kama wazee wenu angejilimbikizia mali.
Luku..
Ungeweza kusema hayo bila kututukana.

Sijapata kuandika porojo maishani mwangu.

Sisi kahawa ni kinywaji chetu na wala hatuwatukani wanaokunywa ulevi.

Huu ndiyo uungwana.
 
wewe maisha yako umekuwa mtu wa kulia lia tu.Haya sasa raisi mvaa baibui bado unaendelea kulia.

utakufa kihoro mudi wa saigon.Ninyi dunia nzima mnalia mnaonewa tu?
Luku..
Kulia hapana.

Nimeandika vitabu kadhaa.

Nimezungumza katika vyuo kadhaa Afrika, Ulaya na hapa nyumbani.

Kulia nakusikia wewe.

Kuhusu Saigon hakika nikicheza mpira hapo katika utoto wangu na ni mwanachama muasisi 1967.

Saigon haihusiki na yote niliyofanya.
 
Kuna habari zinasema nyerere baada ya kukabidhiwa nchi alitafuta watu ambao walikua weak kwake ndio akawafanya wasaidizi wake.
Wale wote waliompokea wakati anatoka pugu aliwapiga chini kwa sababu zifuatazo na hapo ndipo uhasama ulipoanzia;

Wengi wa wazee wa TANU na TAA walikua vizuri kiuchumi kumzidi nyerere na hata serikali yenyewe kwa maana serikali ilikua mpya.hivyo nyerere aliamini haweza kuwatala bila kirahisi ( ujamaa ) ukaletwa ili kuwapunguza nguvu kiuchumi. Apa wazee walipokonywa maeneo yao mengi.

Wanachama wa TANU wengi walikua watoto mjini hivyo ikiwaweka kwenye systems huwezi kuwa zidi akili. Akaamua kuwaacha nje ya mfumo na apa wakammind sana.

Wakazi wa dar walikua na nguvu sana kisiasa na kiuchumi na hawa wazee walikua na fun base kubwa dar, technically aliwatoa kwenye siasa ili wasimsumbue baadae.

Mwisho kabisa, hawa wazee walikua na uislamu mwingi wakati Mzee nyerere agenda aliyopewa ilikua kuhakikisha kanisa (----------------------------------
Hiyo sentences ya mwisho ndio sababu ya yote hayo
 
Back
Top Bottom