Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
  • Sticky
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
50 Reactions
2K Replies
202K Views
  • Sticky
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED! LED - Light Emitting...
10 Reactions
710 Replies
228K Views
  • Sticky
Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
10 Reactions
94 Replies
107K Views
Tujivunze kiswahili fasaha vinginevyo tutapotosha maana halisi ya ulicho kusudia. wenye matatizo ya kushindwa kutofautisha herufi "l" na "r" mnatukere.
2 Reactions
5 Replies
131 Views
Habari zenu wana JF! Hii makala imebidi niiandike kwaniaba maana nimeona baadhi ya watu hawaijui hii sheria ya T T zinapokutana katika lugha ya kingereza T zinapokutana basi T moja haitamkwi na T...
3 Reactions
13 Replies
369 Views
Wanajamvi naomba mnishauri sehemu ambapo ninaweza kufanya kozi ya lugha ya kingereza, ili niweze kuwa mzungumzaji mzuri, na kuboresha matamashi, uwezo wangu ni "intermediate". Nipo mkoani Dodoma...
1 Reactions
2 Replies
109 Views
METHALI NA MISEMO YA KIPARE. (VISOMA VYA CHASU) 1. Kiruke cha ibwe kimanywa ni igondwa. 2. Kitambi cha muimi ni kiumbi. 3. Ekwira ima si iti anakulie. 4. Ngoma mbiri nyika ni kintu na mlamue. 5...
1 Reactions
24 Replies
12K Views
Habariniwataalaam wa Lugha, naombeni mwenye course outline za MA Linguistics UDSM anitumie.Nipate ABCs.Shukrani.
0 Reactions
0 Replies
78 Views
Baada ya kuisoma asili ya lugha ya kingereza katika makala ya kwanza leo tutatoa jawabu la swali ambalo wapenzi wengi wa lugha ya kingereza wamekua wakijiuliza, KWANINI WAZUNGU HATUWAELEWI...
4 Reactions
13 Replies
380 Views
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee 1. Charger – kimemeshi 2. Appetizers –vihamuzi 3. Simcard – kadiwia/mkamimo 4. Memory card –kadi sakima 5. Business card – kadikazi 6. Microwave...
23 Reactions
132 Replies
3K Views
Wakuu naombeni msaada, huu msemo ni maarufu sana lakini huwa siuelewi, na kuuliza si ujinga
1 Reactions
27 Replies
31K Views
Wadau nisaidieni kwa kweli
1 Reactions
16 Replies
55K Views
Mlonganzila ni jina la Hospitali ambayo ni sehemu ya hosipitali kuu ya taifa muhimbili, inasikitisha kuona jina hili la hosipitali limepata maana nyingine ambapo ina maanisha makalio makubwa na...
7 Reactions
30 Replies
506 Views
French Learning From a Linguist Expert. Experienced in Teaching higher learning students,Professionals: Lawyers, Advocates,East African parliament Members,Businessmen, travellers, Primary pupils...
1 Reactions
1 Replies
620 Views
Nipo ndani ya jukwaa la lugha na pia napenda kutumia fursa hii kuwashukuru members wote wa jamii forums. Lengo langu nikutaka kukuletea fursa mbalmbali za kujifunza lugha wakati unapokua KWENYE...
39 Reactions
86 Replies
6K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane! Nimekuwa nikishangazwa na maneno haya mawili (2) ambayo yamekuwa yakitumika sana na jamii mbalimbali ya watanzania!. Maneno hayo ni :- 1.Uzuri 2.Urembo...
0 Reactions
3 Replies
197 Views
Kuanzia nafanya utafiti jinsi Lugha ya Kiswahili inavyaondikwa kimakosa katika mtandao wa bbc swahili Mfano leo wameandika Mamilioni ya watuwenye umri wa makamo wameongozwa kimakosa kuamini kuwa...
0 Reactions
27 Replies
643 Views
Utamkaji wa maneno ya kingereza unatofautiana sana katika dunia, na hii yote inatokana na kuenea kwa lugha ya kingereza duniani. Duniani ambapo watu wake wanatofautiana tamaduni, desturi na hata...
1 Reactions
6 Replies
248 Views
Jamani napenda mno kujifunza Kingereza na ukizingatia sasa hivi kila sehemu ni ENGLISH sasa wale tulosoma kayumba njooni tujifunze kuandika na kuongea hapa. Najua wengi wetu humu watakuwa...
12 Reactions
496 Replies
31K Views
Mada hii itakuwa ni mada maalum ya kujulishana usahihi wa maneno yakiswahili,sanasana uandishi wa maneno hayo au maana n.k Yapo maneno yanayotutatiza ama katika uandishi au matumizi yake,hapa...
5 Reactions
86 Replies
1K Views
Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5. Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado...
3 Reactions
38 Replies
860 Views
Wasaalam wajuvi wa lugha anaejua Visawe vya maneno naomba kusaidiwa -Paka -Dawati Visawe ni maneno yenye maana sawa Neno=Kisawe 1. Ardhi=Dunia 2.Ari=Nia 3.Aibu=Soni
1 Reactions
12 Replies
557 Views
Download series fuatilia ukizingatia kuna maneno utayajua kupitia movie Kwa mfano mimi neno concubine (mke mwenza) sikuwahi kuliona popote isipokuwa kwenye tamthilia ya jumong. Kwa sasa namalizia...
1 Reactions
5 Replies
315 Views
Back
Top Bottom