Will EAC’s common market deal work?

Mods hebu fungia hii mutu ya kenya kwanza iko hapa fanya nini kwenye forum ya Watanzania. Angalia yenyewe iko tukana sisi sasa. Angriiiiiiiiiiiiii!
Mwache huyu hana lolote kwa vile anaweza kununua tusker anafikiri ana hela..kichaka hiki ni mijitu inapenda misifa..hakuna lolote..kenya wenye hela ni wazungu, na hao kina kibaki (Mbakaji wa demokrasia), na kampuni ya wezi kutoka central na kina raila na kampuni yake kijaluo...finito..

Wengine ni wafanyakazi na wajaluo, wakikuyu huko vijijini kwao usitamani uwiiiiiiiii! choka mbaya sanaaaaaaaaa...afadhali my home village we are very much secured...

kelele nyingi za kutaka EAC zinatoka kwa kikundi hicho chenye biashara (wazungu na wanasiasa) common kenyans are desperate, hungry and greedy...na hakuna hata wa kuwasaidia maana wanasiasa wao ni mfano wa lowassa (sic) nafikiri ni type hiyo hiyo ameiba kutoka kwao..kwakuwa arusha iko karibu sana kenya...hebu tujiunge wala wasikutisha kaka!

Kitu cha kufanya kwasababu hofu yangu ni kwamba baadaye wataanza mambo ya kusema wageni warudi nyumbani kama wanavyofanya south africa...nakuanza kuua watu (mungiki type) hiyo tu ndio nataka kikwete atulinde basi...lakini mengine hawana lolote ni choka mbaya kama una mtaji please just start doing business there..note..be careful they like short cut in every thing ..that is why wanaweza chinjana bila kuogopa sana..no subira..
 
Juma Contena ndugu yangu, everyone has a say in everything that happens in his life, it just depends with the choices provided. there are a number of things you can do to show your dissatisfaction with the decision the gvt has made: you can organise protests country wide to oppose the community, you can boycott public holidays and form protest rallies, there are alot of things that you can do to show the goverment that you oppose its decision, but to tell you the truth, you (note* Tanzanians) wount because its not in your genetics, nyinyi ni 'wastaarabu' (note the quotes) sana, so in reality, you have no choice but to wait for the leaders to sell your country to the highest bidder, coz your civil society is dead. BUT WHAT DO I KNOW?

thats what i said on another thread. these tanzzanians have no balls or guts to oppose their govt. they will drink whatever chang'aa their govt is trying to sell them becasue they cant say stand up and say no. that is why kenyans are coming wether they like it or not. its funny seeing watanzania whining and complaining like teenage girls and yet they cant stand up and protest. kazi yao ni mdomo kila saa bila matendo. tanzanians are a real joke that is why no one takes them seriously.
 
thats what i said on another thread. these tanzzanians have no balls or guts to oppose their govt. they will drink whatever chang'aa their govt is trying to sell them becasue they cant say stand up and say no. that is why kenyans are coming wether they like it or not. its funny seeing watanzania whining and complaining like teenage girls and yet they cant stand up and protest. kazi yao ni mdomo kila saa bila matendo. tanzanians are a real joke that is why no one takes them seriously.

mbona amlili na other nations Tanzania tu, ndio mnaona mje kuleta hizo attitude zenu, take my word your in for a surprise. kama unazani tanzanians are weak people ask muingereza why he ended up residing in your land, leaving u guys like nomads in your own land.
 
wewe Tumain wajifanya wajua Kenya sana, kwani wadhani kuna kabila mbili? lets state the facts, you know you wont benefit from the federation because your people are lazy, uneducated, lethargic, have an inferiority complex, introverts, xenophobic and very malicious. yes i said it, now crucify me.


thats right, especially that part about lazy uneducated and inferiority complex. lol smatta u make me laugh.

Would you want to be associated with NYANGAUS? NO, thought so.

lol smatta take it easy on these tanzanians. they always think they are holier than kenyans thats why they get so bitter when you tell them the truth.

tanzanians will never keep kenyans away from tanzania even in a tanzanian forum there is a kenyan moderator. lol!!!
 
thats what i said on another thread. these tanzzanians have no balls or guts to oppose their govt. they will drink whatever chang'aa their govt is trying to sell them becasue they cant say stand up and say no. that is why kenyans are coming wether they like it or not. its funny seeing watanzania whining and complaining like teenage girls and yet they cant stand up and protest. kazi yao ni mdomo kila saa bila matendo. tanzanians are a real joke that is why no one takes them seriously.
We have leaders to listen and trust!
Kenyans watamsikiliza nani? (raila au kibaka or no kibaki)??? or no no yule mkamba anaitwa nani vile VP or no no Ruto??? oh go help this divided country pathetic
 
We have leaders to listen and trust!

listen and trust??? just like a dog you need to be told what to do. you are incapable of thinking for yourself, that means you are uneducated and stupid just like an ass(the animal). lol!!!

no wonder kikwete wants kenyans to come to tanzania so that we kenyans can tell you tanzanians what to do.

as smatta said, tanzanians lazy, uneducated and suffering from a severe case of inferioity complex. tanzanians are a joke that is why no one takes you people seriously.

abtitchaz dada yangu, tafadhali close this thread
 
listen and trust??? just like a dog you need to be told what to do. you are incapable of thinking for yourself, that means you are uneducated and stupid just like an ass(the animal). lol!!!

no wonder kikwete wants kenyans to come to tanzania so that we kenyans can tell you tanzanians what to do.

as smatta said, tanzanians lazy, uneducated and suffering from a severe case of inferioity complex. tanzanians are a joke that is why no one takes you people seriously.
wewe una kichaa gani?
Sasa kenyens mtamsikiza nani? mna thugs wanawaongoza? tribal politics na ubakaji wa uchumi ..

Mbona unatoa mapofu kwa hasira..ndiyo yaleyale mnatukana na kuchinjana kama mbuzi ..for very little issue ..akili ndogo, pumba tupu??

Kabla hujafikiri kwamba wakenya mtakuja kula Tanzania angalia jinsi tutakavyo wala safari hii..nimeshakwambia tutawafundisha ustaarabu, biashara na kila kitu...

Endelea kuwa na misifa..wakati nyie ni lost country, divided with no leaders to respect..nchi ya manyang'u wakti sisi tunapeta ..take my words we coming to kenya to teach lesson..

Nilimwambia smatta ajinyonge tuko mpaka vijiji ambavyo hajawahi kufika yeye ...msije leta mambo ya south africa na mungiki style ok...lets do a serious business tuone kama kenya wanajua kitu...I can bet with any of you smatta na nomasana..kenyans are thugs, and lost society..and too much greedy kwenye vichwa vyao...lol
 
wewe una kichaa gani?
Sasa kenyens mtamsikiza nani? mna thugs wanawaongoza? tribal politics na ubakaji wa uchumi ..

Mbona unatoa mapofu kwa hasira..ndiyo yaleyale mnatukana na kuchinjana kama mbuzi ..for very little issue ..akili ndogo, pumba tupu??

Kabla hujafikiri kwamba wakenya mtakuja kula Tanzania angalia jinsi tutakavyo wala safari hii..nimeshakwambia tutawafundisha ustaarabu, biashara na kila kitu...

Endelea kuwa na misifa..wakati nyie ni lost country, divided with no leaders to respect..nchi ya manyang'u wakti sisi tunapeta ..take my words we coming to kenya to teach lesson..

Nilimwambia smatta ajinyonge tuko mpaka vijiji ambavyo hajawahi kufika yeye ...msije leta mambo ya south africa na mungiki style ok...lets do a serious business tuone kama kenya wanajua kitu...I can bet with any of you smatta na nomasana..kenyans are thugs, and lost society..and too much greedy kwenye vichwa vyao...lol

there you go again getting emotional and issuing empty threats. you are coming to kenya to teach us a lesson???? LOLOLOLOLOLOL!!!! ROTFL LMBO. my ribs hurt from laughing at your joke. you just made my day.

asante mkuu.
 
thats what i said on another thread. these tanzzanians have no balls or guts to oppose their govt. they will drink whatever chang'aa their govt is trying to sell them becasue they cant say stand up and say no. that is why kenyans are coming wether they like it or not. its funny seeing watanzania whining and complaining like teenage girls and yet they cant stand up and protest. kazi yao ni mdomo kila saa bila matendo. tanzanians are a real joke that is why no one takes them seriously.

nomasana, you are very hard person to understand matters, i remember the other day in the same thread, told you, if you are strong enough against your corrupt and toilet greedy government, http://www.transparency.org/policy_indices/cpi/2009/cpi_2009_table protest for LAND WHICH IS OWNED BY VERY FEW UHURU KENYATTA TYPE PLUS WHITES leaving you MAJORITY LANDLESSNESS SCREEMING WITH NO HOME. I think you dont understand the concept of land. this is a basic thing. read Mugabe (the Comrade) on the issue of land and the concept of home (maskani), you can say this is your home (nyumbani) while you dont have land. it will be crazy.
nomasana you are so short sighted on this. you shout that you are the biznes people while the thing is you are far from the truth. nyie ni juakali tu, petty traders. in the world of real serious biznes, no one is recognising you.
 
there you go again getting emotional and issuing empty threats. you are coming to kenya to teach us a lesson???? LOLOLOLOLOLOL!!!! ROTFL LMBO. my ribs hurt from laughing at your joke. you just made my day.

asante mkuu.
Emotional wtf? hayo mambo ya wakenya mimi niwe emotional for what? wakati nafahamu tutawafundisha kila kitu msije uana tena kwasababu ya trivial issues? ok hilo kwanza kumbuka JK alivyo broke peace deal kutoka kwa hao poor leaders kibaka/raila..lol

Pili biashara hamtuwezi kaka sasa endelea kujisifu...ujue safari tutawakamua mpaka muanze mambo ya south africa mungiki type..lol
 
thats right, especially that part about lazy uneducated and inferiority complex. lol smatta u make me laugh.



lol smatta take it easy on these tanzanians. they always think they are holier than kenyans thats why they get so bitter when you tell them the truth.

tanzanians will never keep kenyans away from tanzania even in a tanzanian forum there is a kenyan moderator. lol!!!
Tunamfahamu, si ni huyu Abt-tchaz. but that is not the great deal, hata mimi nimefanya sana kazi na kumekucha na former wananchiforums.
 
nomasana, you are very hard person to understand matters, i remember the other day in the same thread, told you, if you are strong enough against your corrupt and toilet greedy government, http://www.transparency.org/policy_indices/cpi/2009/cpi_2009_table protest for LAND WHICH IS OWNED BY VERY FEW UHURU KENYATTA TYPE PLUS WHITES leaving you MAJORITY LANDLESSNESS SCREEMING WITH NO HOME. I think you dont understand the concept of land. this is a basic thing. read Mugabe (the Comrade) on the issue of land and the concept of home (maskani), you can say this is your home (nyumbani) while you dont have land. it will be crazy.
nomasana you are so short sighted on this. you shout that you are the biznes people while the thing is you are far from the truth. nyie ni juakali tu, petty traders. in the world of real serious biznes, no one is recognising you.
Eliakim brother,
I know this guys wanapenda -ku-burst nakushindwa kutumia "akili" wanatumia "tumbo zaidi" I worked with them in Tanzania and Kenya as well... they think within the tribal lines no more?? pathetic hata kama amesoma..kuna moja yuko hapa kwetu mjaluo anaajiri wajaluo tuuuu! tukamtimua???
Usishangae ndio maana nasema twendeni kenya tuwafundishe ustaarabu, biashara na haki kwa wote ikiwemo isssue ya land..wakitaka wanaweza kuja kuangalia how we manage national land .

kuliko kugawa kwa wazungu mungu watu na kuwatesa majority of kenyans..fikiria mpaka leo 4 years internal displace people hakuna pa kuwapeleka utasema kuna nchi yenye wenye akili au ni manyang'au wasio na huruma kwa watu wao??kama walivyofanya viongozi wao wachumia tumbo..ndio maana hawawezi mwamini yeyote iwe..raila,kibaka,VP by the who is the leader of kenya?? by the way shame
 
Eliakim brother,
I know this guys wanapenda -ku-burst nakushindwa kutumia "akili" wanatumia "tumbo zaidi" I worked with them in Tanzania and Kenya as well... they think within the tribal lines no more?? pathetic hata kama amesoma..kuna moja yuko hapa kwetu mjaluo anaajiri wajaluo tuuuu! tukamtimua???
Usishangae ndio maana nasema twendeni kenya tuwafundishe ustaarabu, biashara na haki kwa wote ikiwemo isssue ya land..wakitaka wanaweza kuja kuangalia how we manage national land .

kuliko kugawa kwa wazungu mungu watu na kuwatesa majority of kenyans..fikiria mpaka leo 4 years internal displace people hakuna pa kuwapeleka utasema kuna nchi yenye wenye akili au ni manyang'au wasio na huruma kwa watu wao??kama walivyofanya viongozi wao wachumia tumbo..ndio maana hawawezi mwamini yeyote iwe..raila,kibaka,VP by the who is the leader of kenya?? by the way shame
hawa watu bwana wana ni disappoint sana, sijawahi kuwasikia wakijadili on how to help the normal mwananchi, they are always individualism, hawajui kuwa if you have money amid of very poor people is nothing. muda wote utasikia tumesoma sana sisi, but hawajui tofauti kati ya kwenda shule na kuelimika, wengi wa wakenya wameenda shule lakini sad enough hawakuelimika that is why utasikia MP mzima is talking carelessness in the house, or even kicking each other.

hawa akina nomasana, ni watu waliojaa uroho, kama ulivyosema uchumia tumbo. hawakumbuki watu wao, they dont think that if you have a lot of not haves, then the class struggle is around the corner. eventually, mungiki making.
 
its not immature to point out how incapable you and your countrymen are.
You can be better than this crap! twende kwenye hoja usiwe emotional wewe kenyans tunajua mna matatizo ya -ku-burst for very minor things..kama mlivy-burst na kuanza kuchinjana lol. lets address issues partening EAC countries ...
 
Niwashukuru ndugu zangu who have Tanzania at heart , naona wenye mawazo kama yangu ni wengi na nimefaidika na michango yao, hasa history ya ardhi Kenya, ambayo wanaiandika wenyewe, na si sisi. Wasiyotaka kwao, wanataka kuyaleta kwetu, nimeona hilo.
Wakenya wameikosa ardhi kupitia Common Market sasa wanaitafuta kupitia mgongo wa Federation. Nchi jirani za Rwanda na Burundi nazo, Uganda nazo wako nyuma yao, kwani matatizo yao yanafanana. Mimi niko kwenye mchakato mzima wa haya mambo, na niwaondoe wasi wasi, negotiators wetu wako makini, mkiona kiti kimeharibika, mjue ni viongozi, hasa kile kizee, na wengine wa juu na bosi wao, manake wao hamnazo, walishakula hela za kifisadi na familia zao zimeneemeka, mpaka wamezeekea humo, hawajali cha mtanzania wa kawaida maskini, ambaye ndiye mwenye mali zote na ardhi. Wanaweza kutusaliti hawa, hawana uchngu wowote!
Viongozi tulionao sasa hivi hawaaniki, afterall, wametutosa kwenye mambo mengi, kile kizee ki SG nadhani kwanza kinakupewa mlungula na Kenya ndiyo maana kinapiga mayowe kila siku kwa ajili ya full integration ili kituuze kwa wakenya. Wakenya, nawambia patakuwa hapatoshi hapa. Kama mnajua kipigo cha Lukaya, muulizeni Id Amin. Our only saviour is gonna be AK 47 kwa hili la ardhi. Mimi sina tatizo na biashara, lakini wameshasema wenyewe kwamba acha tuwape inchi moja, na watachukuwa maili, hawa ni kuwa nao mach. Kenya kuna kitu kinawawasha sana, wana msukumo wa ajbu kuliko nchi zote jirani, na hii si kwamba eti wanataka biashara, ni kwamba hawa watu hawana ardhi, na wanajua ardhi ni mali kuliko kitu chchote kingine, niko tayari kwenda msituni kwa hili. Nchi inayo-engineer hii fast tracking yote kwenda Federation ni Kenya tu, ona kama Uganda wako kimya, pamoja na kwamba nao wako upamde wao, lakini wana ardhi nzuri, kwa hiyo pressure ni ndogo, na si kwamba ni lazy au siyo aggressive kama hawa wakenya wanayojitapa kila siku. Acha kwa sasa ile N word nisiitumie, Smatta atapata kisingizio, but i reserve it. Nina wasi wasi hii thread inakwenda kufungwa kama mbili za kwanza, maana kama moderator ni mkenya basi, ila tutahama. Nilitaka nianze kuchangia hela yangu, lakini sasa basi. Hivi kama hatuelwani na wakenya kwenye forum wakati hatuonani, je tukionana si kiama. You Kenyans, you are trying to chew what you won't swallow. Mlizoea eti mtanzania ni mtu wa kucheka, ni kama hujamgusa pabaya, tutawakamua mavi safari hii. Mnachezea Simba masharubu nyie, shida zenu zinatokana na mgawanyo mbovu wa ardhi, na hili litawatokea puani.
Na kwa nomasana, jifunze kuheshimu Watanzania, kama sivyo sema uko wapi Tanzania, uone mziki wetu ulivyokuwa mzito!

Na wewe Smatta unayefikiri kuwa watanzania hawaipi pressure Serikali unajidanganya, media inafanya kazi, si mpaka tuuwane kama ya kwenu ya juzi. Wanaofuatilia wanajua, soma Tanzania daima na mengine, msome Ansbert Ngurumo na wengine. But time will tell!
 
Back
Top Bottom