John mungo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 1,008
- 1,023
Habari za Jumapili.
Kuna mtu alikua ana msafirisha mgonjwa ambae tayari alikua mwathirika wa vvu, sasa kwa bahati mbaya gari likapata ajali na wote kuumia vibaya kiasi cha kuvuja damu nyingi.sasa baada ya kutoa msaada kwa majeruhi na kukimbizwa hospital sasa, kuna kijana ali umizwa na bati ktk pilika za uokozi na akawa amepata jeraha na aligusa zile damu za majeruhi.watu wa anza kusikitika kuwa jamaa atakuwa ameathirika.
Ila wakati tunajadili juu ya hilo kuna dada mmoja akamweleza yule jamaa kuwa aende hospital ya selikari aende kitengo cha ukimwi kabla ya masaa 72 ata patiwa dawa ya kukinga virusi kwa njia ya sindano na ina itwa p e p. Hata athirika.
Sasa madocta naomba mtu fahamishe kuwa JE hiyo ipo?
Kuna mtu alikua ana msafirisha mgonjwa ambae tayari alikua mwathirika wa vvu, sasa kwa bahati mbaya gari likapata ajali na wote kuumia vibaya kiasi cha kuvuja damu nyingi.sasa baada ya kutoa msaada kwa majeruhi na kukimbizwa hospital sasa, kuna kijana ali umizwa na bati ktk pilika za uokozi na akawa amepata jeraha na aligusa zile damu za majeruhi.watu wa anza kusikitika kuwa jamaa atakuwa ameathirika.
Ila wakati tunajadili juu ya hilo kuna dada mmoja akamweleza yule jamaa kuwa aende hospital ya selikari aende kitengo cha ukimwi kabla ya masaa 72 ata patiwa dawa ya kukinga virusi kwa njia ya sindano na ina itwa p e p. Hata athirika.
Sasa madocta naomba mtu fahamishe kuwa JE hiyo ipo?