Wajue MADIKTETA 11 wenye vituko

@Mundali. Ebu usituaibishe kama sisis wote ni masikini wa akili. Hizo pesa zilizofanya mambo yote ni za Libya siyo za familia ya Gaddafi. Hiyo siyo hisani ni wajibu wa kiongozi/mtawala yeyote atakaye itawala Libya. Utajiri mkubwa wa mafuta na gesi ilionao Libya na population ndogo ya wananchi wa Libya hayo aliyofanya Gaddafi siyo miujiza,ni miujiza kwa watu wenye akili za kimasikini kama sisi. Binafsi sijaona mabarabara wala majumba mazuri na ya kuvutia ktk Libya kama zilivyo nchi nyingine za Kiarabu zenye utajiri wa mafuta kama Kuwait,Falme za Kiarabu na Saudi Arabia.
Nadhani mkuu hukunisoma vema, utakubaliana nami kwamba madikteta wengi wamekuwa wakitumia rasilimali za nchi zao kujinufaisha, ilhali wakiacha watu wao katika lindi kubwa la umasikini. Tofauti ya Dikteta huyu na wengine ni kwamba pamoja na madhambi yake lakini sehemu kubwa ya rasilimali za nchi yake alizizitumia kuboresha maisha ya watu wake. Kumbuka maendeleo ni maendeleo ya watu na si Mabarabara ya hewani n.k. Udikteta wake kimsingi ulikuwa dhidi ya wapinzani wake na uadui wake ilikuwa dhidi ya mataifa ya magharibi. Hakukubali rasilimali za nchi yake kuporwa kwa kubadilishana na vyandarua. Na kwa kukufumbua macho ndugu yangu huo ndio udikteta wa Mugabe pia. Ni dikteta kwa sababu alirudisha ardhi kwa wananchi toka kwa wazungu waliomiliki 75% ya ardhi yote.
Kama kweli hawa jamaa wanapigania demokrasia ya kweli Kibaki na JK wasingekuwa madarakani (Wote EA tunajua ukweli huu).
Hila za magharbi siku zote zimekuwa ni devide and rule, walimwita Saddam anasaidia ugaidi, akaitwa dikteta akanyongwa na watu wake (vibaraka wa marekani), deal ilikuwa reserve ya mafuta. Leo kiko wapi? Siera Leone wameuwana kwa ajili ya Diamond, pesa ya mmarekani victim Charles Taylor. Congo mpaka leo wako vitani (mkono wa mmarekani), deal dhahabu. Na hata hapa JK asingekuwa mtu wao, wangetafuta vibaraka wengine wakawapatia silaha na fedha na tungeuwana tu. Tena hapa wana interest chungu nzima. Hatuyaoni sababu viongozi wetu na sisi wenyewe ni "YES SIR".
AM STANDING TO BE CORRECTED, COL. M. GADAFFI IS A HERO HE FOUGHT FOR HIS COUNTRY AND HE DIED IN HIS COUNTRY FIGHTING!
 
1. Jean belel Bokassa: (Central Africa:)
Alijipachikia mwenyewe Ufalme.
aliumia kiasi cha robo tatu ya bajeti ya mwaka Kuutukuza Ukoloni mamboleo

2. Ferdinand Marcos: (Philipines)
alipotimuliwa madarakani mwaka 1986, alikimbilia Hawaii na kiasi cha vipande 24 vya dhahabu,vilivyokadiriwa kuwa na thamani ya dola Billioni 35..(Du)

3. Papa Doc Duvalier: (Haiti)
mwaka 1963 aliamini vyama vya upinzani vimeshageuka kuwa kama mbwa weusi hivyo jamaa akaamuru Kuuliwa kwa mbwa wote weusi nchini Haiti!

4. Iddi amini Dada (Uganda)
Mwaka !977 alijipa mwenyewe Cheo Mweshimiwa mkuu sana , Rais wa Maisha, Field Marshall Al Hadj Doctor Idi Amini Dada. VC, DSO, MC, CBE, Congueror of the British Empire) Chunga sana watu wanaopenda kujitunukia Vyeo.. kila kukicha Dr..DR...

5. Gnassingbe Eyadema: (Togo)
Amejizungushia mwenyewe wanawake vimwana 1000 wanaolipwa kwa kumliwaza.

6.We Win.(Burma)
Jamaa alibadilisha fedha kutoka tarakimu za 10,20,30 hadi 15,35,45,75.. yaani kutoka namba shufwa na kuweka witiri zanye 5 at end, kwa sababu aliamini ndizo namba zenye bahati. Baada ya miaka miwili akabadili tena.

7. Kim Jong Il(North Korea)
Mzee wa mikogo, miaka na miaka anavaa jaketi moja tu lile lile kila siku.
anamiliki zaidi ya video 20,000

8. Enver Hoxha(Albania)
amejijengea mwenyewe zaidi ya mapiramidi 750,000 ya Zege kisa kujilinda na maadui. wakati ambao inchi ina idadi ya wakazi milioni tatu tu.(jamaa analinda hadi nyau)

9. Mobutu sese seko. (Zaire)
Alikataa mwanasiasa yeyote mwingine asitamkwe wala kuonekana kwenye TV
Alitumia Madege makubwa ya Concorde kama usafiri wa kwenda shopping tu.

10: Saparmura Niyazov.(Turkmenistan)
Alibadilisha majina ya miezi na kuita majina ya familia yake.
alipiga marufuku meno ya dhahabu
Piga marufuku lip stick
akajijengea kasri la barafu karibu na Ikulu ingawaje Turkumenistan ni jangwa.

11: Muamar Gaddafi: (Libya)
alijichagulia mabodyguard vimwana na bikira.
Haamini mtu yeyote hata damu yake

kama una orodha zaidi tumiminie..

Mwengine ni Julius Kambarage Nyerere (Baba wa Taifa la Tanganyika)...
 
Dikteta anayewaletea maisha bora wananchi wake na mdemokrasia anayewasababishia wananchi wake maisha magumu, NI NANI KATI YAO ALIYE DIKTETA KAMILI?? Mimi nadhani udikteta ni mfumo tu wa kuingia madarakani kama ilivyo kwa demokrasia kwa wananchi kupiga kura zao.
 
1. Jean belel Bokassa: (Central Africa:)
Alijipachikia mwenyewe Ufalme.
aliumia kiasi cha robo tatu ya bajeti ya mwaka Kuutukuza Ukoloni mamboleo

2. Ferdinand Marcos: (Philipines)
alipotimuliwa madarakani mwaka 1986, alikimbilia Hawaii na kiasi cha vipande 24 vya dhahabu,vilivyokadiriwa kuwa na thamani ya dola Billioni 35..(Du)

3. Papa Doc Duvalier: (Haiti)
mwaka 1963 aliamini vyama vya upinzani vimeshageuka kuwa kama mbwa weusi hivyo jamaa akaamuru Kuuliwa kwa mbwa wote weusi nchini Haiti!

4. Iddi amini Dada (Uganda)
Mwaka !977 alijipa mwenyewe Cheo Mweshimiwa mkuu sana , Rais wa Maisha, Field Marshall Al Hadj Doctor Idi Amini Dada. VC, DSO, MC, CBE, Congueror of the British Empire) Chunga sana watu wanaopenda kujitunukia Vyeo.. kila kukicha Dr..DR...

5. Gnassingbe Eyadema: (Togo)
Amejizungushia mwenyewe wanawake vimwana 1000 wanaolipwa kwa kumliwaza.

6.We Win.(Burma)
Jamaa alibadilisha fedha kutoka tarakimu za 10,20,30 hadi 15,35,45,75.. yaani kutoka namba shufwa na kuweka witiri zanye 5 at end, kwa sababu aliamini ndizo namba zenye bahati. Baada ya miaka miwili akabadili tena.

7. Kim Jong Il(North Korea)
Mzee wa mikogo, miaka na miaka anavaa jaketi moja tu lile lile kila siku.
anamiliki zaidi ya video 20,000

8. Enver Hoxha(Albania)
amejijengea mwenyewe zaidi ya mapiramidi 750,000 ya Zege kisa kujilinda na maadui. wakati ambao inchi ina idadi ya wakazi milioni tatu tu.(jamaa analinda hadi nyau)

9. Mobutu sese seko. (Zaire)
Alikataa mwanasiasa yeyote mwingine asitamkwe wala kuonekana kwenye TV
Alitumia Madege makubwa ya Concorde kama usafiri wa kwenda shopping tu.

10: Saparmura Niyazov.(Turkmenistan)
Alibadilisha majina ya miezi na kuita majina ya familia yake.
alipiga marufuku meno ya dhahabu
Piga marufuku lip stick
akajijengea kasri la barafu karibu na Ikulu ingawaje Turkumenistan ni jangwa.

11: Muamar Gaddafi: (Libya)
alijichagulia mabodyguard vimwana na bikira.
Haamini mtu yeyote hata damu yake

kama una orodha zaidi tumiminie..

12 Mh Slaa, Mgombea na Katibu mkuu wa CHADEMA

  • Atavunja Vyama vyote vya Upinzani akichaguliwa kuwa Raisi wa Tanzania.
  • Amepiga marufuku mgombea mwingine yeyete toka Chama chake kuchukua fomu ya kugombea Urais mpaka Afe
  • Haamini katika Demokrasia
 
Nadhani mkuu hukunisoma vema, utakubaliana nami kwamba madikteta wengi wamekuwa wakitumia rasilimali za nchi zao kujinufaisha, ilhali wakiacha watu wao katika lindi kubwa la umasikini. Tofauti ya Dikteta huyu na wengine ni kwamba pamoja na madhambi yake lakini sehemu kubwa ya rasilimali za nchi yake alizizitumia kuboresha maisha ya watu wake. Kumbuka maendeleo ni maendeleo ya watu na si Mabarabara ya hewani n.k. Udikteta wake kimsingi ulikuwa dhidi ya wapinzani wake na uadui wake ilikuwa dhidi ya mataifa ya magharibi. Hakukubali rasilimali za nchi yake kuporwa kwa kubadilishana na vyandarua. Na kwa kukufumbua macho ndugu yangu huo ndio udikteta wa Mugabe pia. Ni dikteta kwa sababu alirudisha ardhi kwa wananchi toka kwa wazungu waliomiliki 75% ya ardhi yote.
Kama kweli hawa jamaa wanapigania demokrasia ya kweli Kibaki na JK wasingekuwa madarakani (Wote EA tunajua ukweli huu).
Hila za magharbi siku zote zimekuwa ni devide and rule, walimwita Saddam anasaidia ugaidi, akaitwa dikteta akanyongwa na watu wake (vibaraka wa marekani), deal ilikuwa reserve ya mafuta. Leo kiko wapi? Siera Leone wameuwana kwa ajili ya Diamond, pesa ya mmarekani victim Charles Taylor. Congo mpaka leo wako vitani (mkono wa mmarekani), deal dhahabu. Na hata hapa JK asingekuwa mtu wao, wangetafuta vibaraka wengine wakawapatia silaha na fedha na tungeuwana tu. Tena hapa wana interest chungu nzima. Hatuyaoni sababu viongozi wetu na sisi wenyewe ni "YES SIR".
AM STANDING TO BE CORRECTED, COL. M. GADAFFI IS A HERO HE FOUGHT FOR HIS COUNTRY AND HE DIED IN HIS COUNTRY FIGHTING!

Gadafi anautajiri uliofichwa seheme mbalimbali unaokadiriwa kufikia dola bilioni mia mbili ($ 200 bn) kwa mujibu wa the los angeles times. Oooohhhh yeah gadafi ni hero aliyekufa "akiipigania nchi yake".
 
1. Jean belel Bokassa: (Central Africa:)
Alijipachikia mwenyewe Ufalme.
aliumia kiasi cha robo tatu ya bajeti ya mwaka Kuutukuza Ukoloni mamboleo

2. Ferdinand Marcos: (Philipines)
alipotimuliwa madarakani mwaka 1986, alikimbilia Hawaii na kiasi cha vipande 24 vya dhahabu,vilivyokadiriwa kuwa na thamani ya dola Billioni 35..(Du)

3. Papa Doc Duvalier: (Haiti)
mwaka 1963 aliamini vyama vya upinzani vimeshageuka kuwa kama mbwa weusi hivyo jamaa akaamuru Kuuliwa kwa mbwa wote weusi nchini Haiti!

4. Iddi amini Dada (Uganda)
Mwaka !977 alijipa mwenyewe Cheo Mweshimiwa mkuu sana , Rais wa Maisha, Field Marshall Al Hadj Doctor Idi Amini Dada. VC, DSO, MC, CBE, Congueror of the British Empire) Chunga sana watu wanaopenda kujitunukia Vyeo.. kila kukicha Dr..DR...

5. Gnassingbe Eyadema: (Togo)
Amejizungushia mwenyewe wanawake vimwana 1000 wanaolipwa kwa kumliwaza.

6.We Win.(Burma)
Jamaa alibadilisha fedha kutoka tarakimu za 10,20,30 hadi 15,35,45,75.. yaani kutoka namba shufwa na kuweka witiri zanye 5 at end, kwa sababu aliamini ndizo namba zenye bahati. Baada ya miaka miwili akabadili tena.

7. Kim Jong Il(North Korea)
Mzee wa mikogo, miaka na miaka anavaa jaketi moja tu lile lile kila siku.
anamiliki zaidi ya video 20,000

8. Enver Hoxha(Albania)
amejijengea mwenyewe zaidi ya mapiramidi 750,000 ya Zege kisa kujilinda na maadui. wakati ambao inchi ina idadi ya wakazi milioni tatu tu.(jamaa analinda hadi nyau)

9. Mobutu sese seko. (Zaire)
Alikataa mwanasiasa yeyote mwingine asitamkwe wala kuonekana kwenye TV
Alitumia Madege makubwa ya Concorde kama usafiri wa kwenda shopping tu.

10: Saparmura Niyazov.(Turkmenistan)
Alibadilisha majina ya miezi na kuita majina ya familia yake.
alipiga marufuku meno ya dhahabu
Piga marufuku lip stick
akajijengea kasri la barafu karibu na Ikulu ingawaje Turkumenistan ni jangwa.

11: Muamar Gaddafi: (Libya)
alijichagulia mabodyguard vimwana na bikira.
Haamini mtu yeyote hata damu yake

kama una orodha zaidi tumiminie..
Genghis Khan hamna rekodi zake? Alishindwa kuitawala India sababu aling'atwa na Mmbu hivyo aliichukia sana hiyo nchi na akawa anaikwepa
 
ghadafi aliuwa wapinzani wake wote.
alifadhili ugaidi duniani.
alifadhili vita alivyoamini kuwa anaepingana na huyo aliyemsapoti ni dini tofauti.
alichikiwa na watu wake(ndio maana walimwua au kushangilia kifo chake)
ALIMKUFURU MUNGU KUJIITA MFALME WA WAFALME.
ALIWAFANYA WATU WA NCHI YAKE KUWA WATUMWA(ALIWAJENGEA NYUMBA SARESARE)
ALIAMINI MAENDELEO YA MALI NI BORA KULIKO MAENDELEO YA WATU NA DEMOKRASIA.
ALIZOEA KUHONGA KWA PIPI BAADA YA KUFANYA UNYAMA(TANZANIA NA WAASI ALIOWAAHIDI DHAHABU NA MABILIONI YA DOLA BAADA YA KUKAMATWA)
ALIPINGANA NA MWENYEZI MUNGU KWA KUTAMKA WANAWAKE NI MAKINI KULIKO WANAUME(FUATILIA QURAN UONE INASEMAJE KUHUSU WANAWAKE)
ALITAKA KUITAWALA AFRIKA KIMABAVU(ALIPOMALIZA MUDA WAKE AU)
ALIZILAZIMISHA NCHI ZA KIARABU ZIMCHAGUE KUWA KIONGOZI WA UMOJA WAO ZIKAMSHTUKIA.
ALIVAA MAVAZI YA KIKE WAKATI VITABU VITAKATIFU VILIKATAZA.
ALIWALEA WANAE KIDIKTETA MPAKA ILIFIKIA KULETA MITAFARUKU DUNIANI.
ALIAMINI MAFUTA NI BORA KULIKO UTU(ALITAKA KUBADILISHANA MATEKA NA SERIKALI YA TANZANIA)
ALIWAFANANISHA WANACHI WAKE NA MENDE NA PANYA(KITABU KINASEMAJE?)
ALIUA RAIA WASIO NA HATIA LOKERBY.


KAMA ANGEKUWA MZURI KWA WATU WA ASINGEDHALILISHWA NAMNA HIYO BILA HATA DUNIA KUPIGA KELELE NA SEHEMU KUBWA YA WALIBYA KUSHANGILIA KWA FATAKI NA MAGARI BARABARANI.

SWALI TANZANIANI KIPI TUNACHOMPENDEA GHADAFI? NA KUANZIA LINI?

Mambo mazuri yalioorodheshwa kuwa Ghadafi alikuwa akiwafanyia RAIA WA Libya no sasa lakini haikuwa Libya yote,kuna taarifa kuwa alikuwa anafanya hayo kwa watu WA jiji WA Tripoli tu,miji mingine zilikuwa zinateketea kwa shida,ndo maana uasi ulianzia Benganzi na wala sio Tripoli
 
Mkuu tatizo watu wanatofautisha kati ya wajibu wa serekali na kuona kama fadhila. Kama uwezo upo serekali inapaswa kufanyia mema raia wake lakini lazima kuwe na uhuru wa kweli kwa hao raia.
Hivi uwajibu huo wa kutenda hayo alikuwa nao Gadaf pekee? Au ni viongozi wote? Hebu tupeni mfano wa kiongozi mwingine aliefanya kama yeye.

Hebu jaribu kutafakari,pato hilo lingekuwa kwetu Tanzania,viongozi wetu wangefanya kama alivyofanya Gadafi?
Au wangefanya ufisadi wa kutisha na kuishi kwenye ulimwengu wao wakipekee.!?

Jaribu kufikiria idadi ya faru iliyobaki kwenye mbuga zetu na tukio la faru John,bila shaka utakubali kuwa Gadafi pamoja na yoote hakuwasahau raia wake.
Aliwagawia japo kidogo keki ya taifa
 
hapo kwenye red ni sawa na kusema kamwe hatomjengea babake nyumba kwa kuwa ni jambo lisilowezekana kusubiri walibya wote wapate makazi ndipo amjengee babake nyumba wakati kila siku wanazaliwa watoto walibya labda kama ingekuwa walibya wameacha kuzaa yaani hawazaliwi tena watoto na hivyo idadi yao kubaki constant au kupungua kwa vifo! Hiyo point #2 kwenye red aidha ni uzushi au ni utata mtupu...
Ukijiongeza kidogo tuu utaelewa kuwa,hilo ni neno la kisiasa kuonesha hatoipendelea familia yake bali atawatanguliza walibya
 
Ulipomtaja Gadaffi natamani ungekuwa karibu nikuzabe kofi la maana,hapo ndipo utagundua bado ukombozi unahitajika maana wengi mnashikiwa akili na wakoloni,Mungu amrehemu Gadaffi
 
Katika madikteta woote hao 11 uliowataja, natamani dikteta namba 11 angelizaliwa Tanzania. Hakika huyu ni nabii zaidi ya dikteta. Alipigania watu wake na nchi yake kwa vitendo. Na nyie mlio na fikra za kitumwa na mlioleweshwa mvinyo wa ubeberu wa magharibi ndio mnaweza kuuona udikteta wa nabii huyu. Ni kiongozi kiongozi pekee katika Afrika na nachelea kusema ulimwenguni aliyetumia rasilimali za nchi yake kwa faida ya watu wake. Wakati wa utawala wake aliwafanyia wananchi wake yafuatayo:

1. Alitoa elimu bora bure kwa wananchi wote.
2. Makazi ilikuwa ni haki ya kila raia wa Libya, alidiriki kusema hatamjengea baba yake nyumba mpaka walibya wote wapate makazi. Baba yake mzazi alikufa akiwa anaishi na ***** kwenye hema.
3. Kila wanandoa wapya walipotaka kuoana, walipewa us$ 50,000 za kujengea makazi mapya.
4. Mikopo ilitorewa bila riba, na bank zote zilimilikiwa na serikali.
5. Kila raia aliyetaka kununua gari mpya, 50% ya bei ililipwa na serikali.
6. Huduma za afya, umeme na maji zilikuwa ni bure kwa kila raia.
7. Kijana aliyemaliza digrii ambaye alikuwa hajapata ajira alilipwa mshahara sawasawa na ofisa wa ngazi yake aliyepo kazini.
8. Bei ya lita moja ya petrol ilikuwa ni dola 0.4, na kwa pesa hiyo hiyo ilinuna mikate 40.
9. Pato la raia kwa mwaka ilikuwa na wastani wa dola 11,000.00
10. Raia yoyote aliyetaka kulima alipewa ardhi bure, pembejeo na mifugo bure kwa ajili ya kuanzishia mradi wa kilimo.
11. Mpaka anatolewa madarakani kwa nguvu Libya haikuwa na deni lolote nje ya nchi.
12. Aliacha hazina kwenye mabenki ya nje inayofikia dola 150 bilioni.
13. Mpaka anaondolewa madarakani Libya haikuwa masikini, na wananchi wake walikuwa wanaishi maisha ya juu kuliko wajapani.
Je, dhambi yake kwa watu wake ni kutawala miaka 42? Yupi dikteta kwa watu wake kati yake na hawa wetu tunaowachagua kila baada ya miaka mitano na kuishia kuona rasilimali zetu zikijenga ulaya huku watu wetu wakishindia kisamvu kwa muhogo? Demokrasia maana yake ni umasikini?

HAKIKA GADAFFI NI MFANO WA VIONGOZI WALIOZIPENDA NCHI ZAO NA WATU WAO. FIKRA ZAKE ZITADUMU MILELE.
NATOA CHANGAMOTO KWA WAUJUAO UDIKTETA WA GADAFI WAELEZE UBAYA WAKE KWA WATU WAKE NI UPI?
Wapo wasomi wengi nchini....wengi wana "KASUMBA"....Wamekalilishwa (zaidi kutoka nyumba za KIROHO)
Na ni ngumu kwao KWELI YA LEO.....KUWEZA KUITOLEA USHUHUDA.
 
Back
Top Bottom