Wajue MADIKTETA 11 wenye vituko

8. Enver Hoxha(Albania)
amejijengea mwenyewe zaidi ya mapiramidi 750,000 ya Zege kisa kujilinda na maadui. wakati ambao inchi ina idadi ya wakazi milioni tatu tu.(jamaa analinda hadi nyau
.....
Kwa nini huyu anaitwa dikteta.....
 
hapo kwa Gadafi umekurupuka.
Ni bora ukachukue kopo ukachambe...
Nashindwa kabisa kuoanisha muda wako wa kuwepo JF na komenti unazozitoa

Gang Chomba
Join Date : 29th February 2008
Location : hell
Posts : 1,805
Rep Power : 28
 
Wengine ni..

1. Zine El Abidine Ben Ali wa Tunisia..1987-2011
2. Saddam Hussein wa Iraq... 1975-2003
3. Slobodan Milosevic wa Serbia/Yugoslavia, 1989-2000. The first European head of state to be prosecuted for genocide and war crime.
4. Pol Pot wa Cambodia, 1975-1979. Aliua watu zaidi ya milioni moja ndani ya miaka minne.
5. Augusto Pinochet wa Chile, 1973-1990.
6. Georgios Papadopoulos wa Greece, 1967-1973. Alikuwa CIA wa kwanza kutawala Wester European.
7. Nicolae Ceausescu wa Romania, 1965-1989.
 
wabongo mna matatizo makubwa sana ya kumsifia mtu ambaye sio kiongozi wenu kwa kujua mazuri yake...Hivi hata kama marekani ni tajiri ni haki ya watoto wa raisi kwenda Paris kila wiki kucheza kamari kwa kutumia pesa ya serikali?halafu Libya mwenyezi Mungu hakusema itawaliwe na ukoo wa Gaddafi kwani alikua kaanza kumlisisha mtoto wake...Leo hii Kikwete akisema anamuachia Ridhiwani madaraka hapa mtaanza kupiga fujo.
Acha kuongea mambo usiyoyajua!!
Kwa hiyo watoto wa gaddafi hawana haki ya kuwa viongozi?? mbona bush kaongoza US. Usinisumbue fanya homework yako............
 
Kwa nini huyu anaitwa dikteta.....


Enver Hoxha (Albania) Mzee mwenyewe huyu alijijengea Mipiramidi ya zege zaidi ya 750,000 kwa ajili ya kujilinda binafsi na kutengeneza silaha za kemikali. aliamini yeye ni Jinias kwa hiyo kila mtaala wa kitabu cha elimu ndani ya nchi yake lazima kiwe na topic yake inayoelezea umahiri wake kwenye kutengeneza mapiramidi haya hata kama ni hesabu.

Ila jamaaa alikuwa na mazuri yake ambayo nadhani kwa makabila mengi ya TZ wangemfurahia. jamaa aliamrisha watu wake nchi nzima kuzaa sana. na kama ukivuka lengo la serikali la kuwa na idadi kubwa ya watoto unapewa TUzo.

Nadhani huko ndiko kale kamsemo maarufu ka Mwanamke kuzaa kalipotokea. na matokeo ya bidii yake hiyo yalifanya Idadi ye wakazi wake kuongezeka kutoka milioni moja mwaka 1944 hadi kufikia milioni tatu(3) mwaka 1985. kwa hesabu za fizikia(statisics) ni miaka 41.

Kwanye watu milioni moja, basi wanawake wenye uwezo wa ni 1/5 ie 200,000(kama wote wakizaa) idadi nyingine ni watoto, wanaume, wazee na vikongwe. sasa kama wote wakizaa inamaana kila mmoja anatakiwa awe na watoto wasiopungua 15.

Mpo kinamama wa GREEN-STAR
 
Mie hii Tanzania ya Membe hata siielewe, siielewi kama vile siwaelewi wanaomuunga mkono Gaddafi. Sijui ni utoto wakikua wataacha au ni Ushabiki. Gadafi huyu huyu si ndiye aliyempatia Iddi amin wanajeshi wake maelfu na wakamwagikia kuwaua Ndugu zetu, baba zetu huko Kagera.

Halafu leo watanzania sijui wamesahau.. au sijui ni nini vichwani mwao?.. Tueni waungwana.. tuweni wazalendo.. embu tusimpake mtu mafuta kwa mgongo wa chupa.. kweli yake apewe.. Ushabiki tuuache.
 
Tafadhali kwa wenye munkari naomba tupunguze. Kimsingi gadaffi alikuwa dikteta,lakini pamoja na udikteta wake ni wazi kuna mema mengi aliyofanya kwa taifa lake na afrika pia. Ni ukweli ulio wazi kuwa kuna mabaya mengi aliyofanya ktk nchi yake,afrika na hata duniani kwa ujumla. Nadhani kwa mtazamo wangu ktk viongozi afrika alikuwa ni kati ya wachache sana aliye kuwa huru kweli ktk maamuzi na aliweza kuwaambia viongozi wa magharibi kuwa hapana ktk mambo muhimu.

Alitamani kuona afrika moja lakini pia alitofautiana na viongozi wenzake kwa jinsi gani kufikia umoja huo, na chembechembe za ubabe kwa viongozi wenzake wa afrika zasemekana zilichangia kukwamisha azma yake hiyo, lakini kimsingi wazo la umoja bado lipo ila ni kwa jinsi gani ndio tatizo.

Pamoja na kuwafanyia walibya mema kama inavyo semwa,gaddafi hakuruhusu kuojiwa kwa serikali yake kuhusu raslimali ya taifa,na kuwapuuza watu wake walitaka kuwepo kwa usawa ktk kupata nafasi za kuliongoza taifa. Kwa upande mwingine baadhi ya mataifa kusini mwa sahara yamenufaika sana na utajiri wa libya mf. Mji mkuu wa mali unasemekana kwa kiasi kikubwa kujengwa na libya kitu ambacho walibya waliona kuwa utajiri wa taifa lao ulikuwa ukitumika kunufaisha wengine zaidi kuliko wao.

Lakini pia alichelewa kusoma za nyakati na kudharau waasi wake na kuwaita panya yawezekana hakupewa hari halisi ya mambo na wapambe wake. Mwisho wake umefanana na mwanzo wake kwani nyakati zote mapinduzi ya kumwaga damu yameusika. Gaddafi alikuwa mwema kiasi gani au mbaya ni walibya na hasa zaidi muumba ndiye ajuwaye.

Udikteta haukubaliki,lakini pia ninamashaka sana na mataifa ya magharibi na madhumuni yao libya kwa kivuli cha kulinda walibya na demokrasia. Hawa jamaa siku zote wapo kimaslai zaidi kuliko unavyoweza tegemea. Kwani wanataka kila kitu tufuate wao wanavyotaka haswa afrika,lakini ktk china tunao wasifu kuwa wanaendelea kwa kasi wana mfumo wao wa utawala ambao nadhani umeruhusu maendeleo tunayoyashuhudia,kwa awajeruhu propaganda za magharibi kutawala maisha na mipango yao.

HATETEWI GADDAFI KWA MAPUNGUFU YAKE,LAKINI JUKUMU LA NATO PIA ALIUNGWI MKONO. MAPINDUZI YA WALIBYA WENYEWE AMBAYO KAMA YALIKUWA YANAKUJA YANGEKUJA,HIVYO NATO WANGEBAKI KUHAKIKISHA JAMAA ASHAMBULII RAIA KAMA ILIVYO KUBALIWA NA SIO KUMFANYIA KWA KUWALINDA WAASI TU NA KUANGAMIZA SEHEMU AMBAZO GADDAFI ALIKUWA ANAUNGWAJI MKONO. SOMO KUBWA KWA VIONGOZI NA RAIA WA MATAIFA YANAYO ENDELEA.
 
Niliposema ngoja nifanye tadhimini ya hapa kwetu pia ili niwape majina ya madikteta nimeshapata jina moja nalo ni huyu hapa Yoweri Kaguta Meseveni naye ni Dikteta! nitakuja na jina jingine.
 
katika madikteta woote hao 11 uliowataja, natamani dikteta namba 11 angelizaliwa tanzania. Hakika huyu ni nabii zaidi ya dikteta. Alipigania watu wake na nchi yake kwa vitendo. Na nyie mlio na fikra za kitumwa na mlioleweshwa mvinyo wa ubeberu wa magharibi ndio mnaweza kuuona udikteta wa nabii huyu. Ni kiongozi kiongozi pekee katika afrika na nachelea kusema ulimwenguni aliyetumia rasilimali za nchi yake kwa faida ya watu wake. Wakati wa utawala wake aliwafanyia wananchi wake yafuatayo:
1. Alitoa elimu bora bure kwa wananchi wote.
2. Makazi ilikuwa ni haki ya kila raia wa libya, alidiriki kusema hatamjengea baba yake nyumba mpaka walibya wote wapate makazi. Baba yake mzazi alikufa akiwa anaishi na ***** kwenye hema.
3. Kila wanandoa wapya walipotaka kuoana, walipewa us$ 50,000 za kujengea makazi mapya.
4. Mikopo ilitorewa bila riba, na bank zote zilimilikiwa na serikali.
5. Kila raia aliyetaka kununua gari mpya, 50% ya bei ililipwa na serikali.
6. Huduma za afya, umeme na maji zilikuwa ni bure kwa kila raia.
7. Kijana aliyemaliza digrii ambaye alikuwa hajapata ajira alilipwa mshahara sawasawa na ofisa wa ngazi yake aliyepo kazini.
8. Bei ya lita moja ya petrol ilikuwa ni dola 0.4, na kwa pesa hiyo hiyo ilinuna mikate 40.
9. Pato la raia kwa mwaka ilikuwa na wastani wa dola 11,000.00
10. Raia yoyote aliyetaka kulima alipewa ardhi bure, pembejeo na mifugo bure kwa ajili ya kuanzishia mradi wa kilimo.
11. Mpaka anatolewa madarakani kwa nguvu libya haikuwa na deni lolote nje ya nchi.
12. Aliacha hazina kwenye mabenki ya nje inayofikia dola 150 bilioni.
13. Mpaka anaondolewa madarakani libya haikuwa masikini, na wananchi wake walikuwa wanaishi maisha ya juu kuliko wajapani.
Je, dhambi yake kwa watu wake ni kutawala miaka 42? Yupi dikteta kwa watu wake kati yake na hawa wetu tunaowachagua kila baada ya miaka mitano na kuishia kuona rasilimali zetu zikijenga ulaya huku watu wetu wakishindia kisamvu kwa muhogo? Demokrasia maana yake ni umasikini?
Hakika gadaffi ni mfano wa viongozi waliozipenda nchi zao na watu wao. Fikra zake zitadumu milele.
Natoa changamoto kwa waujuao udikteta wa gadafi waeleze ubaya wake kwa watu wake ni upi?

umesema yote itoshe tu me kusemaa"thanki u"
 
Kwanini hii mijitu inarogeka sana na dhahabu?

1. Bokassa: alinakshi chumba (na maliwato yake?) kwa dhahabu

2. Sadam (na wanae) walimiliki bunduki za dhahabu

3. Gadafi alikua na bastola na sofa la dhahabu

Mijitu nyang'au sana hii.

na kwa taarifa yenu dhahabu zote hzo zinachimbwa nchini mwenu sa cjui wwe na yeye mijitu ni ipi?wanategeneza masofa nyie mwabaki na mashima afu mnajiona mnademocrasia wtz hooovyo na bdo..watakuja wengne watajenga ma hekaru kwa dhahabu zenu.badilikeni..
 
Snickly huyu aliiua member user na Guest wa dhw hadi ikafa sasa kabaki hana hata mmpja wa kumtawala kabakia mwenyewe na bot
 
Huyu alie2letea heading ya "wajue madikteta 11" he/she is ileterate, layman, foolishness hajui anachokiongea kumueka Gadafi kumefanya 2muelewe ni pumbavv flani instead of kuandika utumbo wako humu 2mia muda huo ht kw kusafisha maeneo unayoishi, huku 2achie 2lio kwenda shule pumbavvvv!
 
Huyu alie2letea heading ya "wajue madikteta 11" he/she is ileterate, layman, foolishness hajui anachokiongea kumueka Gadafi kumefanya 2muelewe ni pumbavv flani instead of kuandika utumbo wako humu 2mia muda huo ht kw kusafisha maeneo unayoishi, huku 2achie 2lio kwenda shule pumbavvvv!

Ukijichunguza sana.. utajigundua tu kwamba Hili Jukwaa halikufai.. Kama utaendelea Kuwepo jukwaani Utajitoa mwenyewe.. chukua muda, soma threads kisha soma comments za wenzako kisha changia, usikurupuke kusoma heading kisha ukamwaga ukilaza wako humu. walemavu wa mawazo wengi kwelikweli siku hizi humu JF. sijui wametokea wapi hawa.. au ni hawa wanafunzi wanaochomokea FB na kuujaziana humu. Tumeshawajua na Jukwaa lenu la MMU nadhani Mods ameshawaachieni.. Mods Usiposhughulikia watu kama hawa nadhani ladha ya JF itaondoka. Tutakuachia JF yako na wanafunzi wako.. shit!!Join Date : 27th July 2011
Location : Western Tanzania nearby Lk Victoria
Posts : 15
Rep Power : 0
 
Huyu alie2letea heading ya "wajue madikteta 11" he/she is ileterate, layman, foolishness hajui anachokiongea kumueka Gadafi kumefanya 2muelewe ni pumbavv flani instead of kuandika utumbo wako humu 2mia muda huo ht kw kusafisha maeneo unayoishi, huku 2achie 2lio kwenda shule pumbavvvv!

Jiheshimu. Kumwaga mitusi hovyo kwa mwanaJF mwenzako si ustaarabu. Kama aliyoandika yamekuumiza moyo ungepitiliza hulazimishwi kusoma ama kuchangia thread yake.
 
ghadafi aliuwa wapinzani wake wote.
alifadhili ugaidi duniani.
alifadhili vita alivyoamini kuwa anaepingana na huyo aliyemsapoti ni dini tofauti.
alichikiwa na watu wake(ndio maana walimwua au kushangilia kifo chake)
ALIMKUFURU MUNGU KUJIITA MFALME WA WAFALME.
ALIWAFANYA WATU WA NCHI YAKE KUWA WATUMWA(ALIWAJENGEA NYUMBA SARESARE)
ALIAMINI MAENDELEO YA MALI NI BORA KULIKO MAENDELEO YA WATU NA DEMOKRASIA.
ALIZOEA KUHONGA KWA PIPI BAADA YA KUFANYA UNYAMA(TANZANIA NA WAASI ALIOWAAHIDI DHAHABU NA MABILIONI YA DOLA BAADA YA KUKAMATWA)
ALIPINGANA NA MWENYEZI MUNGU KWA KUTAMKA WANAWAKE NI MAKINI KULIKO WANAUME(FUATILIA QURAN UONE INASEMAJE KUHUSU WANAWAKE)
ALITAKA KUITAWALA AFRIKA KIMABAVU(ALIPOMALIZA MUDA WAKE AU)
ALIZILAZIMISHA NCHI ZA KIARABU ZIMCHAGUE KUWA KIONGOZI WA UMOJA WAO ZIKAMSHTUKIA.
ALIVAA MAVAZI YA KIKE WAKATI VITABU VITAKATIFU VILIKATAZA.
ALIWALEA WANAE KIDIKTETA MPAKA ILIFIKIA KULETA MITAFARUKU DUNIANI.
ALIAMINI MAFUTA NI BORA KULIKO UTU(ALITAKA KUBADILISHANA MATEKA NA SERIKALI YA TANZANIA)
ALIWAFANANISHA WANACHI WAKE NA MENDE NA PANYA(KITABU KINASEMAJE?)
ALIUA RAIA WASIO NA HATIA LOKERBY.


KAMA ANGEKUWA MZURI KWA WATU WA ASINGEDHALILISHWA NAMNA HIYO BILA HATA DUNIA KUPIGA KELELE NA SEHEMU KUBWA YA WALIBYA KUSHANGILIA KWA FATAKI NA MAGARI BARABARANI.

SWALI TANZANIANI KIPI TUNACHOMPENDEA GHADAFI? NA KUANZIA LINI?
Hata yule unamuamini na kumuamudu alidhalilishwa MSABANI na Mayhudi na kuburuzwa na Msalaba wake. Wewe mgalatia usie na akili naini kakuroga?
 
1. Jean belel Bokassa: (Central Africa:)
Alijipachikia mwenyewe Ufalme.
aliumia kiasi cha robo tatu ya bajeti ya mwaka Kuutukuza Ukoloni mamboleo
2. Ferdinand Marcos: (Philipines)
alipotimuliwa madarakani mwaka 1986, alikimbilia Hawaii na kiasi cha vipande 24 vya dhahabu,vilivyokadiriwa kuwa na thamani ya dola Billioni 35..(Du)
3. Papa Doc Duvalier: (Haiti)
mwaka 1963 aliamini vyama vya upinzani vimeshageuke kuwa kama mbwa weusi hivyo jamaa akaamuru Kuuliwa kwa mbwa wote weusi nchini Haiti!
4. Iddi amini Dada (Uganda)
Mwaka !977 alijipa mwenyewe Cheo Mweshimiwa mkuu sana , Rais wa Maisha, Field Marshall Al Hadj Doctor Idi Amini Dada. VC, DSO, MC, CBE, Congueror of the British Empire) Chunga sana watu wanaopenda kujitunukia Vyeo.. kila kukicha Dr..DR...
5. Gnassingbe Eyadema: (Togo)
Amejizungushia mwenyewe wanawake vimwana 1000 wanaolipwa kwa kumliwaza.
6.We Win.(Burma)
Jamaa alibadilisha fedha kutoka tarakimu za 10,20,30 hadi 15,35,45,75.. yaani kutoka namba shufwa na kuweka witiri zanye 5 at end, kwa sababu aliamini ndizo namba zenye bahati. Baada ya miaka miwili akabadili tena.
7. Kim Jong Il(North Korea)
Mzee wa mikogo, miaka na miaka anavaa jaketi moja tu lile lile kila siku.
anamiliki zaidi ya video 20,000
8. Enver Hoxha(Albania)
amejijengea mwenyewe zaidi ya mapiramidi 750,000 ya Zege kisa kujilinda na maadui. wakati ambao inchi ina idadi ya wakazi milioni tatu tu.(jamaa analinda hadi nyau
9. Mobutu sese seko. (Zaire)
Alikataa mwanasiasa yeyote mwingine asitamkwe wala kuonekana kwenye TV
Alitumia Madege makubwa ya Concorde kama usafiri wa kwenda shopping tu.
10: Saparmura Niyazov.(Turkmenistan)
Alibadilisha majina ya miezi na kuita majina ya familia yake.
alipiga marufuku meno ya dhahabu
Piga marufuku lip stick
akajijengea kasri la barafu karibu na Ikulu ingawaje Turkumenistan ni jangwa.
11: Muamar Gaddafi: (Libya)
alijichagulia mabodyguard vimwana na bikira.
Haamini mtu yeyote hata damu yake

kama una orodha zaidi tumiminie..
12. Julius Kambarage Nyerere, aliyekaa madarakani muda mrefu akidhani hii ni nchi ya wazanaki pekee. Aliua wote wanaompinga na wale wanaopingana na ukatoliki. Aliiacha chi kwenye umasikini kipindi hicho cha 1980,s kwa kisingizio cha kung'atuka.
 
Katika madikteta woote hao 11 uliowataja, natamani dikteta namba 11 angelizaliwa Tanzania. Hakika huyu ni nabii zaidi ya dikteta. Alipigania watu wake na nchi yake kwa vitendo. Na nyie mlio na fikra za kitumwa na mlioleweshwa mvinyo wa ubeberu wa magharibi ndio mnaweza kuuona udikteta wa nabii huyu. Ni kiongozi kiongozi pekee katika Afrika na nachelea kusema ulimwenguni aliyetumia rasilimali za nchi yake kwa faida ya watu wake. Wakati wa utawala wake aliwafanyia wananchi wake yafuatayo:
1. Alitoa elimu bora bure kwa wananchi wote.
2. Makazi ilikuwa ni haki ya kila raia wa Libya, alidiriki kusema hatamjengea baba yake nyumba mpaka walibya wote wapate makazi. Baba yake mzazi alikufa akiwa anaishi na ***** kwenye hema.
3. Kila wanandoa wapya walipotaka kuoana, walipewa us$ 50,000 za kujengea makazi mapya.
4. Mikopo ilitorewa bila riba, na bank zote zilimilikiwa na serikali.
5. Kila raia aliyetaka kununua gari mpya, 50% ya bei ililipwa na serikali.
6. Huduma za afya, umeme na maji zilikuwa ni bure kwa kila raia.
7. Kijana aliyemaliza digrii ambaye alikuwa hajapata ajira alilipwa mshahara sawasawa na ofisa wa ngazi yake aliyepo kazini.
8. Bei ya lita moja ya petrol ilikuwa ni dola 0.4, na kwa pesa hiyo hiyo ilinuna mikate 40.
9. Pato la raia kwa mwaka ilikuwa na wastani wa dola 11,000.00
10. Raia yoyote aliyetaka kulima alipewa ardhi bure, pembejeo na mifugo bure kwa ajili ya kuanzishia mradi wa kilimo.
11. Mpaka anatolewa madarakani kwa nguvu Libya haikuwa na deni lolote nje ya nchi.
12. Aliacha hazina kwenye mabenki ya nje inayofikia dola 150 bilioni.
13. Mpaka anaondolewa madarakani Libya haikuwa masikini, na wananchi wake walikuwa wanaishi maisha ya juu kuliko wajapani.
Je, dhambi yake kwa watu wake ni kutawala miaka 42? Yupi dikteta kwa watu wake kati yake na hawa wetu tunaowachagua kila baada ya miaka mitano na kuishia kuona rasilimali zetu zikijenga ulaya huku watu wetu wakishindia kisamvu kwa muhogo? Demokrasia maana yake ni umasikini?
HAKIKA GADAFFI NI MFANO WA VIONGOZI WALIOZIPENDA NCHI ZAO NA WATU WAO. FIKRA ZAKE ZITADUMU MILELE.
NATOA CHANGAMOTO KWA WAUJUAO UDIKTETA WA GADAFI WAELEZE UBAYA WAKE KWA WATU WAKE NI UPI?


Mh. Sitta alisema elimu ya BURE haiwezekani hata kwa level ya shuleza msingi. Hivi midhahabu tuliyonayo inatusaidia wapi????
 
Mkuu hayo yote sio hiari ya Mtawala kuwatendea wananchi wake kwa mujibu wa rasimali [resourece] zao ni wajibu wake yeye kama kiongozi wao.Msitwambie hayo aliowafanyia hayo kuwa yeye ni MUNGU acheni matusi.Watanzani tulio wengi atuoni kuwa Viongozi wana wajibu wa kuwatendea watu wao kana kuwa wanamtendea Mungu bali sisi tuwatendee wao na kuwaona kama Miungu yetu.

halafu sasa kitu ambacho yeye ni lazima akifanye utasikia katoa msaada kazi kweli kweli..
 
Back
Top Bottom