babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,021
Sipati picha enzi hizo tulivyojazana humo loh, lakini kufika ni salaama kabisa hata ichukue wiki uhai upo.
View attachment 8949
sipati picha enzi hizo tulivyojazana humo loh,lakini aah kufika ni salaama kabisa hata ichukue wiki uhai upo.
View attachment 8949
sipati picha enzi hizo tulivyojazana humo loh,lakini aah kufika ni salaama kabisa hata ichukue wiki uhai upo.
sipati picha enzi hizo tulivyojazana humo loh,lakini aah kufika ni salaama kabisa hata ichukue wiki uhai upo.
relwe mbeya.
safari toka Dar mpaka Mbeya mnalala njiani, nakumbuka watu wanasafiri na sufuria za wali na kuku wa kukaanga, kweli maisha haya jamani.Kwi kwi kwi!
Relwe Mbeya ilikuwa pale Uhindini, pembeni kidogo ya ile round about.
Nimesafiri sana na Relwe kati ya Njombe Iringa Dom Babati enzi hizo toka nikiwa mdogo,nakumbuka yalikuwa na first class toka kwa driver mpaka mlango wa abiria kulikuwa namlango tena.na nauli tofauti.walikuwa wanakeep time kama ndege aaaaa haiwezi kurudi tena.kulikuwa pia na KAMATA unakumbuka mdau?
View attachment 8949
sipati picha enzi hizo tulivyojazana humo loh,lakini aah kufika ni salaama kabisa hata ichukue wiki uhai upo.
nyerere alikuwa na mawazo mazuri sana! Ila utelezaji ndiyo ulimshinda. Ndio maana hata yeye mwenyewe aliwahi kutamka kwamba kila anaposoma tena kitabu cha azimio la arusha, haoni pabovu.
Angalia hata leo kwenye nchi zilizoendelea kuna uwiano wa hali ya juu katika miundombinu ya usafiri. Yaani kwenye vituo vikubwa vya mabasi ya abiria wa mjini lazima kuna kituo cha treni la abiria wa mjini. Kwenye kituo kikubwa cha mabasi na treni ziendazo nje ya mji, kuna kituo pia cha mabasi na treni zinazozunguka ndani ya mji.
Sasa ukuangalia relwe, walikuw na utaratibu huo, pale itigi kulikuwa na mabasi ya relwe ya kwenda singida mjini na yalikuwa hayaondoki mpaka treni ifike ili abiria waunganishe! Na tiketi nadhani ilikuwa ni moja!
Kama mfumo huo ungeendelezwa sasa hivi tungekuwa mbali sana! Inasikitisha sana kuona mambo yote mazuri hayapo tena katika nchi hii. Ukiangalia usafiri wa mabasi ndani ya jiji la dar miaka ya 80 ulikuwa bora zaidi kuliko ilivyo sasa.
masaki kweli umenena lililo la maana.
Tatizo ni kwamba watawala wetu hawa na maafisa wa mipango miji wamegubikwa na rushwa.
Nafasi zao na taaluma zao zinaendeshwa na wale watoao mpunga.
Na watoao mpunga hawana long term plans... Wanataka hela nyingi ya mkupuo.
Habari ndio hiyo... Hatari ndiyo hiyo
hivi kwanini picha za mabasi ya KAMATA hazipo?! inasikitisha sanaNimesafiri sana na Relwe kati ya Njombe Iringa Dom Babati enzi hizo toka nikiwa mdogo,nakumbuka yalikuwa na first class toka kwa driver mpaka mlango wa abiria kulikuwa namlango tena.na nauli tofauti.walikuwa wanakeep time kama ndege aaaaa haiwezi kurudi tena.kulikuwa pia na KAMATA unakumbuka mdau?
Mbeya inaitwa TAZARArelwe mbeya.