Natafuta sana hizo mouth wash, nina mchumba wangu japo hajaniambia ila naona tukiwa tumelala hataki kunigeukia, ananipa mgongo hivyo nahisi labda nina harufu mbaya inayotoka mdomoni na puani.Napiga mswaki mara mbili kwa siku asubuhi na usiku kabla ya kulala, pia baada ya kupiga mswaki huwa nasukutua mdomo kwa kutumia mouth wash ya listerine. Dawa za meno ambazo naona ziko vizuri ni Colgate, sensodine na close up ila ni muhimu kununua original.
Tusaidie basi hizo mbinu za kuondokana na harufu mbaya. Ni tatizo kwanguSijawahi kuona wala kusikia dawa ya kuondoa harufu mbaya ya mdomo.
Ila nijuacho kuna mbinu na bidhaa kadhaa ambazo mtu unaweza kutumia na kupunguza hilo tatizo kwa kiasi kikubwa sana.
Inapatikana je hiyo kaka?Asante sana kwa ushauri wako mkuu, nimewahi kutumia electric toothbrush ambayo ilikua na matokeo chanya kuliko mswaki wa kawaida.
Nenda game pale mlimani city utapata mouth wash original, electric toothbrush nk,dawa za meno kama sensodine, whiteGlo Colgate.Inapatikana je hiyo kaka?
Asante sana, ila mimi nipo mkoani huku Kagera, nilidhani hata maduka ya madawa zinapatikana?Nenda game pale mlimani city utapata mouth wash original, electric toothbrush nk,dawa za meno kama sensodine, whiteGlo Colgate.
Yeah nenda pharmacy utapata mouth wash na miswaki mizuri tu ila kwa dawa ya meno nunua hata Colgate max fresh au close up. Pitia YouTube search video za jinsi ya kusafisha kinywa na upigaji mswaki. Utapata elimu nzuri tu.Asante sana, ila mimi nipo mkoani huku Kagera, nilidhani hata maduka ya madawa zinapatikana?
Harufu mbaya mdomoni mara nyingi husababishwa na mabaki ya chakula kwenye ulimi (tongue), unaposafisha meno hakikisha unasafisha ulimi vizuri na pia sukutua mouth wash ukimaliza.Hivi kuna dawa yoyote hapa tz ya kuondoa harufu ya mdomo ukiachana na dawa za kawaida hizi za meno?!
Ni kweli mkuu, wenyewe wanashauri kumuona denstist kila baada ya miezi 6.Pia usisahau kumtembelea dentist mara kwa mara kwa ushauri mbalimbali kuhusu meno.
Binafsi nililikuwa sifanyi hivyo. Ila baadae nikagundua nakosa mengi toka kwake.
Tena uwe na permanent one.Ni kweli mkuu, wenyewe wanashauri kumuona denstist kila baada ya miezi 6.
To be honest with you, dentist wangu amenishauri niachane hata na hizi whitening toothpaste, zinaharibu meno. Kama nenda kwa dentist wanaprocedure zao zinga gharama kidogo ndizo celebrities wanatumia.kuna clip niliona YouTube on how to whiten teeth wakaonyesha unaweza Tunis baking powder unachanganya na lemon mpka itengeneze paste then upige kwenye me no ila kwa usiku tu for a week...nisaidienu is this an effective method?
Thsnkyu dearTo be honest with you, dentist wangu amenishauri niachane hata na hizi whitening toothpaste, zinaharibu meno. Kama nenda kwa dentist wanaprocedure zao zinga gharama kidogo ndizo celebrities wanatumia.