Nimezunguka kwenye kata mbili, Daraja mbili- Arusha mjiji na Bangata-Arumeru Magharibi. Tangu Asubuhi watu wamemiminika vituoni na katika Hali ya kutaharuki ccm walitaka kuwafanyia vurugu Lema na Nassari lakini wananchi wakaingilia Kati, Wafuasi kadhaa aw ccm wamepigwa. Kwa Kweli Hali ya ccm ni mbaya to the extent kwamba ole Medeye amepita kanisani kuomba kura Leo. Kama mwenendo ndio huu CDM watashinda kata zote mbili.