Kuhusu Tanzania: Vitu 11 ambavyo vinaweza kukuacha mdomo wazi

Karibuni wadau tuichambue hii TANZANIA yaani TANGANYIKA (TANGA (Jahazi) + NYIKA yaani JAHAZI NYIKANI) na ZANZIBAR (Zengi(mtu mweusi) + Barr (pwani) yaani Mtu mweusi maeneo ya pwani)


ONGEZEA CHOCHOTE KATIKA LIST HII

1506_sisal3.jpg

1.Zao la katani/MKONGE(white gold) lilipandwa kwa mara ya kwanza afrika nchini Tanzania. lililetwa baada ya mjerumani researcher kuiba (alichukua kinyume na sheria) miche 1000 Mexico kuja TZ kupitia Hamburg ujerumani. ilifika bandari ya tanga miche 63 tu mingine ilikufa njiani. Ndio chanzo cha katani afrika na kuifanya TZ duniani kuwa nchi ya pili nyuma ya Brazil kwa kuzalisha katani.
Cut-African-blackwood.jpg

2.Mti ghali na wenye thamani kabisa kuliko yote duniani MPIGO unapatikana Tanzania.
Tanzania-Flag.jpg

3. Wimbo wa taifa "Mungu ibariki afrika" ulikuwa ni wimbo wa Kizulu ".Nkosi sikelel' Afrika ". mwaka 1873 mwalimu Enock santonga wa africa kusini aliutunga. lengo ilikuwa ni kutunga wimbo wa Shule aliyokuwa anafundisha. Leo hii tunauimba sio sisi tu bali S/Africa, Zimbabwe,...
Coconut-crab.jpg

4.Kaa/Crab (coconut crab) mkubwa na mtamu kuliko wote (kwa mujibu wa walaji) dunia nzima anapatikana Tanzania maeneo ya Chumbe kisiwani zanzibar.
9754054.jpg
Chaga.jpg


5: Katika list ya makabila 10 Maarufu Afrika nzima, Wamasai ni wa Pili na wachaga wanashikilia nafasi ya 10.
philipsk70.jpg

6: Zanzibar ndio ilikuwa ya sehemu ya kwanza kuanza kutumia TV zenye rangi afrika nzima mwaka 1974. wakati Television ya kwanza kwa bara ilianza mwaka 1994 sababu inasemekana ilikuwa ni kupingwa na mwalimu Nyerere.
barbaig.jpg

wasandawe
1024px-Hadzabe_Hunters.jpg

waadzabe
7:Kama ilivyo marekani Wahindi wekundu, Makabila mawili Waadzabe na wasandawe ndio wakazi halisi wa tanzania. Wengine wote tulihamia miaka zaidi ya 2000 iliyopita. kuna tuliotoka Africa Magharibi (wabantu), Africa kusini, Kaskazini sudan,ethiopia na sehemu nyingine mbalimbali africa. mfano WaDatoga na wengine waarusha waliingia kutoka mipakani mwa ethiopia na sudan kati ya miaka 2900 hadi 2400 iliyopita kutokana na ushahidi wa kiachiolojia. Tusibaguane tuwaheshimu hawa wadau wawili.
800px-Ngorongoro_Crater.jpg

8:Tofauti na mchi kama ISrael au Libya ambapo jangwa ni asilimia kubwa sana Nchi yetu tanzania ni ya 31 kwa ukubwa duniani. lakini 38% ya nchi au ardhi imetengwa kama hifadhi na haitumiki kwa uzalishaji isipokuwa utalii.
Kilimanjaro570Big.jpg

9:Tanzania ina sehemu mbili za muhimu katika jiografia ya africa. Point ndefu kabisa afrika ni mlima kimanjaro kileleni(yaani kama tukiiminya afrika na ukasimama kilimanjaro utaiona afrika yote) na point ya chini kabisa ipo katikati ya ziwa Tanganyika. Mlima kilimanjaro mchakato wa kuanza kwake ulisababisha uwepo wa ziwa tanganyika, edward na kivu.
800px-FIB-training-22_%289311333487%29.jpg

10:Kikosi maalumu ya wanajeshi wa tanzania kilichopo CONGO, kiliingizwa katika list ya SPECAIL FORCES bora kabisa (most elite) 35 duniani . list hii iliongozwa na US NAVY SEAL, Brittish SAS, HUNTMEN CORPS danish special forces.
irrigation-farmland.jpg

11: Kulingana na National Illigation MASTER plan ya 2002, eneo la kilimo hapa kwetu linalofaa kwa umwagiliaji ni HECTA MILLIONI 29.4, lakini eneo ambalo hadi june mwaka 2011 limekuwa likitumika kwa kilimo HIKI ni HECTA LAKI TATU ELFU KUMI NA MIASABA AROBAINI NA TANO sawa na asilimia 0.01.


Ni nchi pekee duniani ambayo wanachi wake walio wengi wakiishi kwa kulalamika na kuhisi kutokufaidika na mgawanyo wa keki ya taifa.
 
Ni Nchi ambayo asilimia kubwa ya Madini yote yanayopatikana Duniani baadhi yanapatikana Tanzania kwa kiwango Kikubwa lakini bado hawaoni umuhimu wa kupata asilimia nzuri kwa Taifa kana kwamba wakikataa kwa asilimia 3% ya kitapeli yataoza tukikataa kuyatoa..Tunasafirisha magogo nje ya Nchi huku ndani Madawati yakiwa shida katika shule nyingi..
 
Tanzania ni nchi yenye amani, maziwa ya maji fresh, mito mikubwa, na ardhi kubwa kabisa inayofaa kwa kilimo, na nguvukazi kubwa kabisa, lakini inaagiza mchele, mpunga, sukari, nyanya nje ya nchi

Hiyo aina ya "amani" tuliyo nayo isiyoendana na utawala bora ni ya kinafiki na ndiyo sababu kuu ya kutopiga hatua stahiki ya maendeleo. Hakuna cha kushangaza hapa. We just need to face the reality of the exact type of a nation that we are. We choose what we want to be.
 
Samahani mkuu, Mpingo unapatikana Tz tu, au nimesoma vibaya uzi wako?
RUDIA KUSOMA VIZURI MKUU. NI MTI MOST EXPENSIVE DUNIA NZIMA. KAMA UNAPATIKANA KWINGINE VIZURI POINT NI GHARAMA YA HUU MTI DUNIANI NA UHABA WAKE.
 
Nlichokupenda u ve posted fact ya makabila 10 maarufu Africa with proof! Natamani sana kama wana Jf wangekua wana fanya upembuzi makini hasa via internet b4 kuleta mada! Unajua unagoogle a thang inakuletea same facts! Yap kwa point ya makabila! nimependa! Tujenge tabia ya kuuliza google kuhusu issues flani then post ukiwa na uhakika!! Issue ni kuwa google cant search so many things in Swahili i wish ingewezekana wengi wangefaidika sana na broad knowledge itolewayo kwa ufasaha na ukweli hasa kwa lugha ya Kiingereza!
 
Back
Top Bottom