Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
Wapo Wabunge kama wanne vijana zitto yumo na mwenzie December Marope ambao wana ukwasi wa kutisha. Huyo mwingine ambaye hakupewa kura hata moja aana miradi mikubwa sana ndani ya TANESCO ambayo inafahamika. Amewahi kunukuliwa na wafanyakazi wa TANESCO akiomba tenda akiwa mwenyekiti wa kamati fulani la bunge, kwamba angeleta wawekezaji toka India. Wanaokabiliwa na tuhuma nzito ni wale waliochukua uongozi mwezi uliopita.
Wale waliotangulia wako wapi? Waandishi tulijaribu na kupigwa STOP hata kabla ya kuanza. Mtu huyu ana madudu makubwa sana lakini Kila mtu Kimya. Kulikoni?
Sitaji jina kwa sabau thread yangu itaondolewa dakika 20 zijazo, wote mnamjua tu.
Du !!!! vijana tumekosa uadilifu na kwa mtindo huu tunapoteza mvuto kwa jamii yetu na kwa namna fulani ile kauli kuwa vijana ni viongozi taifa la kesho ilikuwa na maana sana. unaweza ona siyo tu february na nyepesi wapo pia akina laini