MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,760
- 48,407
Tatizo ni nini maana cku hizi kila kona wameandika wanatibu nguvu za kiume !
Issue sio kwamba nguvu zimeisha, ila unakuta wengi wetu kwa misukumo ya maisha tunapoteza hamu ya kupiga ngoma kila siku. Vijana wa twenties huwa ndio wanaingia kwenye maisha na mara nyingi hawana stress, lakini ukipiga thrities mambo yanageuka na huwezi piga kila siku, hata unakuta unaenda mara moja au mbili kwa wiki, ila kwa hizi mbegu, duh! mpira hadi extra time.....