Wacha tuwasiliane na waziri wa kilimo
Wacha tuwasiliane na waziri wa kilimo
Tulikuwa na family day na haya ndio niliyoambulia nikaona they are good news worth sharing.
View attachment 854
======================
na kwa Dar es salaam wapo kariakoo soko kubwa kubwa ukiulizia mle ndan utaoneshwa ni elfu 5000 pia gm250Kama upo arusha nenda pale makumbusho kuna watu wana banda lao wanauza, kama sikosei sh 5000/= kwa pakiti sikumbuki ni gm ngapi!
Ni kweli ndugu yangu yaani hatujipendani,hatupendi hazina tuliyopewa na Mungu na hatujiamini kabisa.Kwa kweli kama kuna mtu aliyetuloga basi anajua kuloga.Ee Mungu naomba uturehemu kwani rais wetu na waziri mkuu walisema hawajui kwa nini sie ni maskini.Afrika tuna hazina kubwa sana ya miti itoayo dawa lakini tunaipuuzia kwa kuendekeza usasa. Ukitaka kujua faida za dawa za asili kawaulize Wachina Na Wakorea.
weka picha ya mlonge wengine hatuuujui,bubu siku hizi umekuwa mganga