AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Ciello tunakusema kwa mazuri... Familia yetu tunakupenda tunataka uwe unapika... Nilisikia umbea eti wewe mvivu kupika. Ni kweli? Lolhahahahahah mnanisema mm nn????
Afadhali hata Amina Thomas na Thanda.. Majina yao yanaashiria ni wapishi wazuuuri! :becky:
Last edited by a moderator: