Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

frester
 

Attachments

  • 14095785_830784563689768_438638179344990679_n.jpg
    14095785_830784563689768_438638179344990679_n.jpg
    90.3 KB · Views: 425
usafiri mgumu
 

Attachments

  • 14079946_1664201387231948_1641059130642317803_n.jpg
    14079946_1664201387231948_1641059130642317803_n.jpg
    53.8 KB · Views: 201
andaa passport,yellow fever card,kuanzia masaa kumi utakuwa mombasa,tahmeed daraja la juu ni 40000,huku tawakal 30000,modern coast ni 27000,n tahmeed zingine zipo za 35000,30000,27000
Kutoka Dar saa ngapi? Yellow fever card inapatikana wapi? Usinichoke kwa maswali yangu tafadhari
 
Wakuu, nina swali napenda kujfunza kama ifuatavyo;
- kwa mkoa wa Katavi, kati ya wilaya ya Mlele, Mpanda na Tanganyika ipi iko mbali (kwa kufikika kupitia njia yoyote ile) na ipi ipo karibu (kwa kufikika) kutokea Dar es Salaam?

- Njia ipi ni salama, na ya uhakika kwa safari kutokea Dsm na gharama za safari zikoje (kwa basi (kampuni pamoja na nauli) au treni [Kama ipo inaondoka Dar lini na mzunguko wake wa safari ukoje?])

Shukran

Kaka ...
 
Wakuu, nina swali napenda kujfunza kama ifuatavyo;
- kwa mkoa wa Katavi, kati ya wilaya ya Mlele, Mpanda na Tanganyika ipi iko mbali (kwa kufikika kupitia njia yoyote ile) na ipi ipo karibu (kwa kufikika) kutokea Dar es Salaam?

- Njia ipi ni salama, na ya uhakika kwa safari kutokea Dsm na gharama za safari zikoje (kwa basi (kampuni pamoja na nauli) au treni [Kama ipo inaondoka Dar lini na mzunguko wake wa safari ukoje?])

Shukran

Kaka ...
Huko sijafika mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom