The Article of Union between the Republic of Tanganyika and the Peoples Republic of Zanzibar

Mzee Mwanakijiji, ni bahati mbaya sana, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, hauna mkataba wowote in a real sense ya mkataba wa kimataifa kati ya mataifa mawili huru. Tukishakubaliana kwamba hakuna mkataba kabisa, hapo ndipo ilegitimacy ya muungano ilipoanzia. Kilichopo sio mkataba wa Muungano bali ni makubaliano ya muungano, not a contract but only agreement just like MOU.Pamoja na kutokuwepo huo mkataba, mimi ni muumini wa Pan-Africanism kuwa Waafrika ni wamoja ila ni wakoloni ndio wamekuja kutuwekea mipaka. Hakuna ubishi Wahaya wanabelong chini ya Kabaka Empire enzi za Interlucustrine Kingdom ambapo kina Mkama Rumanyika were part and parcel, bali ni mkoloni ndiye aliyekuja kupiga mipaka wahaya kujikuta wako huku na Waganda kule, sawasawa na Wamasai wa Kenya na Uganda ni wale wale.Hatuhitaji paperwork documents be it hati au mkataba kuonyesha tumeungana, kama yalivyo mapenzi ya kweli toka enzi za mababu, hatukuhitaji hati/cheti cha ndoa kuthibitisha mapenzi na ndoa ni mpaka waipokuja wazungu na macheti yao.Hivyo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulizaa Tanzania, hauhitaji paper work be it hati/mkataba ili kuuhalalisha, hata pale Nyerere na Karume waliposemezana tuu wao kwa wao ilitosha bila kuandika chochote popote. Tatizo hizi zote mbili zilishakuwa nchi huru kwa mujibu wa wazungu, mambo yanakwenda kwa hati na maandishi na ikibidi wananchi washirikishwe kitu ambacho hakikufanyika kwa mujibu wa taratibu.Kwa maoni yangu, Wanzanzibari ni wanafiki wa hali ya juu sana, kama waliukubali Muungano bila kuleta fyoko fyoko yoyote, iweje leo wakapitisha kura ya maoni kuulizia jambo dogo jema la kuwaletea umoja miongoni mwao, na wasitake kutumia fursa hiyo ya kura ya maoni kuwauliza Wanzanzibari jambo kubwa kama hili la Muungano na nchi nyingine?!.
Umeneno vema Mkuu Pasco. Tatizo lililopo ni kuwa watu wanashindwa kuyazungumzia matatizo wanayotaka yatatuliwe. Labda walifanya hivyo lakini hawakufanikiwa na sasa wanaanza kutafuta visingizio. Kama hawajui basi wanapaswa kuambiwa kuwa wanaiharibu hoja yao ya msingi ya kutaka kero za muungano ziangaliwe na kutatuliwa ipasavyo, si kwa kuleta kisingizio kuwa Muungano si halali. Kama Muungano si halali wanapaswa wajiulize wao wanazungumza kutoka kwenye paltform gani?
 
Kama ni hivyo basi hojaji za uhalali wa mambo isiwe kwa Muungano tu. Mbona hilo baraza lilipitisha mambo mengine mengi lakini hayo hayahojiwi?

Hoja hapa ni Uhalali wa Muungano hayo mengine hayahusiani na mada hapa...au labda nikusaidie ujuwe nakusudia nini hapa...kuwa kila kilichomezwa na Tanganyika tunajuwa vya kukimezuwa...tunaendelea kuhoji huyo mpuuzi aliye yaingiza mafuta ya Zanzibar katika muungano(halafu mnasema mafuta yenyewe hayapo, kwanini mliyaingiza wakati mlijuwa hayapo?) bila ya ridhaa yetu au angalau ya hilo baraza la Mapinduzi.
 
Wanzanzibari ni wanafiki wa hali ya juu sana, kama waliukubali Muungano bila kuleta fyoko fyoko yoyote, iweje leo wakapitisha kura ya maoni kuulizia jambo dogo jema la kuwaletea umoja miongoni mwao, na wasitake kutumia fursa hiyo ya kura ya maoni kuwauliza Wanzanzibari jambo kubwa kama hili la Muungano na nchi nyingine?!.

Pasco, mkuu...unaposema Wazanzibari walikubali, ni wepi?unamaanisha Karume na wahuni wenzake waliopindua serikali iliyochaguliwa kihalali na Wazanzibari wenyewe? nipe tafisiri ya "wazanzibari....waliukubali muungano...", ndo kinachogomba hicho. Halafu wakati huo nani angeliweza kuleta hizo unazoziita fyok fyoko, unajuwa waliojaribu kuzileta hizo unazoziita fyoko fyoko kiliwakuta nini, sikiliza basi. Othmani Shariff Mussa, Saleh Sadallah Akida, Abdullah Kassim Hanga, Abul aziz A.K Twala...Jaha Ubwa...Idrissah Majura n.k ni baadhi ya Wazanzibari waliojaribu kuleta hizo unazoziita fyoko fyoko...kilicho wakuta mpka leo hakuna anayejuwa walipo au wamezikwa wapi kama wamekufa, kinachojuulikana kwa hao niliowataja, walioleta hizo unaziita fyoko fyoko...walichukuliwa kutoka gereza la kiinua miguu Zanzibar, usiku wa manane, kwa madai kuwa wanapelekwa Tanganyika katika magereza ya Nyerere, hawakufika huko na wala hawakurudi Zanzibar mpka leo hii. Othmani Shariff na Hanga, walitolewa kutoka mikononi mwa Nyerere akawapeleka Zanzibar na kuwakuta hayo yaliyowakuta.
Mwingine aliyejaribu kulieta hizo unaziita fyoko fyoko, alikuwa Aboud Jumbe Mwinyi, Ramadhani Haji Faki n.k nini kulichowakuta? Nyerere aliwaondoa madarakani(tazameni uadilifu wa mtu wenu huyu!) kama vile ni yeye aliyewaweka na kama vile wazanzibar hawakuwa na haki ya kuamua mustakbali wa viongozi hao, kwakuwa tu walihoji uhalali wa muungano kama tunavyohoji sisi hapa,ndo bado utanambia kuwa "wazanzibari waliukubali muungano huu batili...?" wakati jitihada za kuhoji tu au hizo unazoziita fyoko fyoko ziligharimu uhai wa viumbe hao bila ya hatia yoyote?
 
Kwani sultan aliwauliza wazenj kabla ya kuweka mipaka? Kabla ya mapinduz ya Jan 12, 1964i wazenj walipiga kura za maoni?
 
Hoja hapa ni Uhalali wa Muungano hayo mengine hayahusiani na mada hapa...au labda nikusaidie ujuwe nakusudia nini hapa...kuwa kila kilichomezwa na Tanganyika tunajuwa vya kukimezuwa...tunaendelea kuhoji huyo mpuuzi aliye yaingiza mafuta ya Zanzibar katika muungano(halafu mnasema mafuta yenyewe hayapo, kwanini mliyaingiza wakati mlijuwa hayapo?) bila ya ridhaa yetu au angalau ya hilo baraza la Mapinduzi.

Labda nikuulize kitu kimoja. Ukiacha suala la mafuta, je, masuala mengine yaliyomo, hasa yake 11 ya awali, ni halali?
 
Kuungana na kutengana kwa nchi siyo jambo geni. Ila kwa ujumla kuungana ni tabia za inchi ambazo uchumi wake una prospect ya kuendelea, na kutamani kutengana ni tabia za inchi ambazo zinaelekea ku-collapse kiuchumi na/au kisiasa. Hoja ni kwamba hii ni dalili ya wananchi walioanza kupoteza matumaini na kuhisi wanapata chni ya wanavyostahili (Deprivation) na wanafuta nani mchawi wa matatizo yao.
Kwa hali ya sasa viongozi wa "Tanzania" wanatakiwa kupanga safe exit- strategy, maana historia inaonyesha katika harakati hizi mara nyingi kunashia umwagaji damu. Hasa swala la kutengana likiendana na ugunduzi wa raslimali "resource curse" . wa "Tanzania" tuna dalili za kutoridhika na ugunduzi mwingi wa raslimali.
Umwagaji damu utatokea kama utengano huu hautakuwa kwa mpangilio maaluma. Kwa mfano tukiangalia jamii zilizokuwa USSR , watu wanaulizana ww unasili ya wapi, kwanini unatawala uchumi huku nk, na wengi wanapoteza maisha. Sasa na sisi tutawauliza wataganyika walioko zanzibar kwa nini unahoteli huku na ww Mzazibari kwa nini una kitalo cha uwindaji Urambo. WE NEED TO CHART OUT EXIST STRATEGY, MAFUTA HAYANA THAMANI YA MAISHA YA WATU NA MENGI YATATUMIKA KULIPIA SUSTAINANCE AU KUZIMA INSURGENCE (zitaitwa liberation movements)
 
Please!!!! MwanaKijiji nilikuwa na dhani kuwa wewe ni miongoni mwa Watanzania walio amka kimawazo na kimtazamo ,lakini sasa umenifanya niwe nawaza mara mbili ,kwanza hapa hatuzungumzi Marekani kinachozungumziwa ni Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) ulitumia kigezo gani kulinganisha nchi za USA na Tanzania ?lakini sikulaumu kwani jina limekusibu (mwanakijiji)mara zote walio vijijini (mashimoni )Giza huwagubika ,kutokana na mazingira hayo hata akili zao ufanyaji wake kazi huwa mashaka mashaka.wamarekani hata kama mungano wao ulikuwa na mashaka fulani kwa mfano lakini utaona kila state inamaendeo yaliyo sawa au yanakaribiyana leo Tanganyika walnachokihubiri ni Ubaya zidi ya Zanzibar katika karnr hizi hawezi kukupenda mtu kwa kumtesa na kumuwekea pingamizi anapotaka kujiendeleza kama ilivyokuwa miaka hiyo yakina musolini bado Tanganyika watumia fomula hiyo ,wacha nikukumbushe hapa mfano mmoja katika miaka ya nyuma Badari ya Tanga ilikuwa ni miongoni mwa badari muhimu na zenye kutajika kwa upande wa Tanganyika lakini iliuliwa kwa makusudi hili halina kificho na sababu zake zinaeleweka ni sawa na zile za visiwani,Zanzibar imekuwa ikifanyiwa hujuma katika hali kama hiyo katika kila sekta na mikakati hufanyika sio pale Bungeni tu ,niliwahi kumwambia mkubwa mmoja kwamba hawa watu wanakutana mara tatu katika vikao vyao ni kimoja tu ndicho wanachojumuishwa Wazanzibari cha pale Bungeni ,kikao cha pili na chatatu wanakuwa hawajumuiki navyo ni MAKANISANI,na NDANI YA VILABU VYA ULEVI. huko kuna faraha ya majadiliyano vipi waiswage zanzibar .
 
Please!!!! MwanaKijiji nilikuwa na dhani kuwa wewe ni miongoni mwa Watanzania walio amka kimawazo na kimtazamo ,lakini sasa umenifanya niwe nawaza mara mbili ,kwanza hapa hatuzungumzi Marekani kinachozungumziwa ni Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) ulitumia kigezo gani kulinganisha nchi za USA na Tanzania ?lakini sikulaumu kwani jina limekusibu (mwanakijiji)mara zote walio vijijini (mashimoni )Giza huwagubika ,kutokana na mazingira hayo hata akili zao ufanyaji wake kazi huwa mashaka mashaka.wamarekani hata kama mungano wao ulikuwa na mashaka fulani kwa mfano lakini utaona kila state inamaendeo yaliyo sawa au yanakaribiyana leo Tanganyika walnachokihubiri ni Ubaya zidi ya Zanzibar katika karnr hizi hawezi kukupenda mtu kwa kumtesa na kumuwekea pingamizi anapotaka kujiendeleza kama ilivyokuwa miaka hiyo yakina musolini bado Tanganyika watumia fomula hiyo ,wacha nikukumbushe hapa mfano mmoja katika miaka ya nyuma Badari ya Tanga ilikuwa ni miongoni mwa badari muhimu na zenye kutajika kwa upande wa Tanganyika lakini iliuliwa kwa makusudi hili halina kificho na sababu zake zinaeleweka ni sawa na zile za visiwani,Zanzibar imekuwa ikifanyiwa hujuma katika hali kama hiyo katika kila sekta na mikakati hufanyika sio pale Bungeni tu ,niliwahi kumwambia mkubwa mmoja kwamba hawa watu wanakutana mara tatu katika vikao vyao ni kimoja tu ndicho wanachojumuishwa Wazanzibari cha pale Bungeni ,kikao cha pili na chatatu wanakuwa hawajumuiki navyo ni MAKANISANI,na NDANI YA VILABU VYA ULEVI. huko kuna faraha ya majadiliyano vipi waiswage zanzibar .


Any evidence please!

Kuhusu Bandari ya Tanga kuhujumiwa na ZANZIBAR kwa ujumla. Kuna vitu viwili naweza kudraw kwenye post yako

1. Aidha serikali ya Zanzibar haipendwi na wazanzibar wenyewe, au haifanyi kazi zake kisahihi inavyotakiwa. Ingekuwa wanaolalamika hivi ni wapemba ningeweza kusema okey, lakini for God sake why waunguja ndio wanaoichagua CCM kwa nguvu zote, halafu leo mnasema nchi inahujumiwa? wha are these leaders for?

Unaposema swala la kuhujumiwa ni swa na kujitukana mwenyewe, unaposeam bara wanawahujumu ni sawa na kujiweka kwenye inferiority zone ambayo unaona kabisa logic haipo kati ya viongozi wenu na ukweli wa kuhujumiwa, sitaki kuamini kuwa hamna akili! sitaki kabisa hili!

Kuhusu Tanga please give out deep analysis na kama una evidence inakuwa nzuri kidogo, maana swala la kuendelea Tanga lilishafikiriwa tangua enzi za mkoloni , kuwa ni mkoa utakaoendelea kuliko mingine yote. lakini cha ajabu uko hivyo, sometime ita has to do na wananchi husika wa hapo mahali; culture, elimu, kuchapa kazi, n.k
 
this is sad than I thought..

Mkataba ni halali
Uliunganisha mataifa huru na hakimiya
Wawakilishi wa wananchi waliridhia katika mabunge halali
Instruments za Muungano zilifanywa kihalali
Articles the Union zipo na hata JF ziliwekwa


Halafu watu wanasema kuwa haupo.. ila kama Waingereza wangeunganisha Zanzibar na Tanganyika tungesema ni halali! We have some inferiority issues of the worst kind!!
 
Unaona sasa, mmetoka kudai yarekeshwe mambo 11 na sasa mnadai kuwa muungano si halali. Sidhani kama kinachodaiwa kinaeleweka hasa
Soma thread na content ndiyo tunanchozungumza, mimi naungana na hoja yao kwa nafasi iliyochukuwa yakizungumzwa mambo 11 nipo hapo hapo kama hilo la mwanzo. Na kuhusu post yako hapo juu uliyomjibu Sonara, simjibii ni maoni yangu tu, unaposema waunguja wanaichagua CCm kwa nguvu zote, sikuelewi vizuri labda ufafanuwe nguvu zipi, ninachojuwa mimi ambaye nimezaliwa kule, nimekulia, nimesoma kule...kila kitu...n.k inachofanya CCM ni kutumia nguvu kuchaguliwa Unguja...Pemba hawawezi kuiba...Unguja opportunity zipo, wapiga kura mamluki kutoka bara, ambao saivi wanaandikwa kwenye daftari la uchaguzi, wenyeji kwa kuwa ni wapinzani hawaandikwi, askari wa vikosi vya SMZ wanapiga kura makambini mara zaidi ya moja kuichagua CCM, na chungu tele ya hujuma zikiwemo za wizi wa kura wa wazi wazi...kuna majimbo yametangazwa matokeo yake chini ya mtutu wa bunduki na mawakala wa upinzani wakaambiwa kashitakini popote, kuna wapiga kura mamluki kutoka kunduchi bara,waliletwa jimboni kwa Mh Mansour, kiembesamaki...walipitishwa chini ya usimamizi wa askari polisi...kama hii ndo unasema "kuichaguwa CCM kwa nguvu zote..." na si kuwa CCM inatumia nguvu kuchaguliwa, I rest my case.
 
Kesho wazenj watakuja Dar kusherehekea Muungano! Sasa mnataka uhalali upi?
 
this is sad than I thought..

Mkataba ni halali
Uliunganisha mataifa huru na hakimiya
Wawakilishi wa wananchi waliridhia katika mabunge halali
Instruments za Muungano zilifanywa kihalali
Articles the Union zipo na hata JF ziliwekwa


Halafu watu wanasema kuwa haupo.. ila kama Waingereza wangeunganisha Zanzibar na Tanganyika tungesema ni halali! We have some inferiority issues of the worst kind!!
Naona ukereketwa wa chama unakusumbuwa.
Mimi Mwanasheria wa serikali yangu anasema hakuna mkataba wa muungano, wawakilishi wa wananchi kwa Tanganyika tu ni sawa, Zanzibar hakukuwa na kitu hicho, usitwambie habari za article of union wakati taifa moja lilikuwa na uhuru wa kuamua jingine halikupata nafasi hiyo, zitakuwa na uhalali gani?
Mwanasheria wa SMZ wakati huo W. Dourado, aliondolewa hasa na Karume kwa kukataa nchi kuunganishwa kihuni, yeye Nyerere katafuta mwanasheria Uganda amuongoze kufanya uhuni wake kwa Zanzibar, bado tu unataka kupotosha watu hapa jamvini...sisi hatuna habari na mambo ya kikoloni, na kwakuwa hatukuwahitaji tumewaoondoa...tupo na huu uhuni uliofanywa na Nyerere na Karume...hauwezi kuhalalishwa hoja za nguvu na mashaka.
 
this is sad than I thought..

Mkataba ni halali
Uliunganisha mataifa huru na hakimiya
Wawakilishi wa wananchi waliridhia katika mabunge halali
Instruments za Muungano zilifanywa kihalali
Articles the Union zipo na hata JF ziliwekwa


Halafu watu wanasema kuwa haupo.. ila kama Waingereza wangeunganisha Zanzibar na Tanganyika tungesema ni halali! We have some inferiority issues of the worst kind!!

Mwanakijiji swala langu kubwa ni kuwa kwanini unajadiliwa? je ni watu wachache au wengi wanaoleta haya mazungumzo wakiwa na nia zao binafsi au ni majority?

Juzi wawakilishi wetu, wabunge, walizima kabisa issue za Richmond. Mimi na wewe leo ni mashahidi kuwa kuna mambo mengi sana ndani ya bunge hatukubaliani nayo.Kwa hiyo kwa nchi zetu hizi kusema kuwa kuna wawakilishi hakuufanyi muungano kuwa halali. wawakilishi is just a paint kusema wananchi wote walihusika.

Swala la pili ni kuwa lets say nikakubaliana na wewe kuwa wawakilishi wanafanya kitu kuwa halali, then, swali la pili je waliwasiliana na wananchi kwa kiasi gani? Umeona Obama aklivyohangaika kutoka meeting moja kwenda nyingine, kutoka chuo hiki kwenda kile kuinadi policy yake ya health care. Je wawakilishi walifanya hivyo waliwaelimisha wananchi kiasi cha kutosha na hata kupata maoni yao? If not so then wananchi walifanywa wanyama wasio na value yoyote??, na serikali za kiafrika nyingi kiwamo ya Nyerere ambaye unajaribu kutaka kumtetea walitufanya hivi ni bahati mbaya sana kuwa wengine hawajaliona hili

Kama nchi yetu sote kwanini maamuzi hayawi ya sisi wote? na kama kuna wawakilishi then kwanini hawawasiliani na wapiga kura wao? najua unaweza kusema wawakilishi "si mliwachagua wenyewe" no matter mlimchagua au hamkumchagua swala ni kuwa wananchi wengi hawakujua kuhusu hii issue, that alone is a big mistake, swala la kwa kwanini mliwachagua is another long agenda yenye sababu nyingi, moja wapo kubwa ni nini nguvu ya wawakilishi? akina Kilango bungeni yes wanasema kwa nguvu; kiasi gani as individual ana nguvu kufanya vitu viende au visiende?

Hoja yangu ni kuwa Up to this point (kwa Imani) muungano ni halali, ninachofanya ni kupata nguvu na supportive argument ya kujiaminisha ninachokiamini, na ninashtuka ninapoona watanzania wenzangu tulioungana nao wanasema kuwa muungano si halali, lazima nishtuke, nini kinaendelea , kama sote tu family, why on earth other people questioning our union? mpaka sasa hizi bado sijapata strong reasons za kufanya imani yangu iwe thabiti.

Note that I do believe our union is genuine,but believing is not necessary the truth!!


Akija mtu na hoja na kuthibitisha kuwa ni halali, then wanaopiga kelele kuhusu muungano ni wangapi? kama wachache leave them! kama wengi then something must be wrong somewhere?
 
Naona ukereketwa wa chama unakusumbuwa.
Mimi Mwanasheria wa serikali yangu anasema hakuna mkataba wa muungano, wawakilishi wa wananchi kwa Tanganyika tu ni sawa, Zanzibar hakukuwa na kitu hicho, usitwambie habari za article of union wakati taifa moja lilikuwa na uhuru wa kuamua jingine halikupata nafasi hiyo, zitakuwa na uhalali gani?
Mwanasheria wa SMZ wakati huo W. Dourado, aliondolewa hasa na Karume kwa kukataa nchi kuunganishwa kihuni, yeye Nyerere katafuta mwanasheria Uganda amuongoze kufanya uhuni wake kwa Zanzibar, bado tu unataka kupotosha watu hapa jamvini...sisi hatuna habari na mambo ya kikoloni, na kwakuwa hatukuwahitaji tumewaoondoa...tupo na huu uhuni uliofanywa na Nyerere na Karume...hauwezi kuhalalishwa hoja za nguvu na mashaka.


JUNIS KWA MAONI YAKO NI WAZANZIBAR WANGAPI UNAFIKIRI hawataki muungano?
 
JUNIS KWA MAONI YAKO NI WAZANZIBAR WANGAPI UNAFIKIRI hawataki muungano?

Nakushukuru Mkuu kwa kuielewa kiu ya wapenda haki ya kufanya kura ya maoni na hilo ndiyo jibu muafaka.
Correclty my name is Junius and not Junis
 
Naona ukereketwa wa chama unakusumbuwa.
Mimi Mwanasheria wa serikali yangu anasema hakuna mkataba wa muungano,


Mwanasheria wa serikali hajasema hakuna mkataba wa Muungano!! Kumbuka I play with words every day.. rudi usome alichosema Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar na utaona kuwa tafsiri yako siyo sahihi.


wawakilishi wa wananchi kwa Tanganyika tu ni sawa, Zanzibar hakukuwa na kitu hicho, usitwambie habari za article of union wakati taifa moja lilikuwa na uhuru wa kuamua jingine halikupata nafasi hiyo, zitakuwa na uhalali gani?

sasa aliyeiunda Zanzibar ni nani?

Mwanasheria wa SMZ wakati huo W. Dourado, aliondolewa hasa na Karume kwa kukataa nchi kuunganishwa kihuni, yeye Nyerere katafuta mwanasheria Uganda amuongoze kufanya uhuni wake kwa Zanzibar, bado tu unataka kupotosha watu hapa jamvini...sisi hatuna habari na mambo ya kikoloni, na kwakuwa hatukuwahitaji tumewaoondoa...tupo na huu uhuni uliofanywa na Nyerere na Karume...hauwezi kuhalalishwa hoja za nguvu na mashaka.

Uhalali wa Taifa la Zanzibar ulitoka wapi?
 
Junius you propose a referendum but on what? On whether or not the union is legal or on whether or not Zanzibaris still want to be part of the union? The reaso I ask you this is because a referendum can not decide whether an issue is legal or not. So let's say the referendum you propose is on whether Zanzibaris still want to be part of the union or not. If that is the case there are things you should consider assuming we go forward with the proposed referendum.

1. For those of you who are against the union (it is your personal feelings so it is neither right or wrong), you have a need to show that the feeling is shared by most Zanzibaris so as to not make it seem like you guys have a personal agenda. So most of you have made it an issue of national interest kwamba it is what all of us over here want. Therefore if the results of the referendum comes back & let's say you find out that yo are actually the minority what are you going to do? All your efforts would have lost momentum. Are you guys prepared for that?

2. What use is a referendum if you have it in your mind that the results should be in your favor? If it is not in your favor won't you call it "batili"? Won't you complain of foul play? What would be the point of the whole process?

3. The union was in 1964. So will a referendum today account for the feeling and opinions of Zanzibaris in 1964? After all that's when the union was born. So if the Zanzibaris of 1964 would have been for the union will it make it illegal today because Zanzibaris in 2010 are against it?

4. Let's assume just for a minute that the union is illegal as you propose. Then we have a referendum and the results are that a majority of Zanzibaris and Tanganyikas support the union. Then what? Do we break the union because of its illegality or listen to the voice of the people which is what you claim to advocate.

So my friend Junius just to finish off I want to say one thing. Even if you are in a position to make up the rules of engagement know that they apply to you to. Whatever rules one makes up in their favor they will still stand even when those rules are not in their favor any more. When it reaches to that point yo can't change the rules without risking the chance of looking hypocritical.
 
MwanaF1,
If I have never given you a thanks, take ten now! You just made my day.
 
Back
Top Bottom