Tanzania to use TZS 11 Trillion for Kigamboni new city

Wakuu, najua hii mada inaweza kuwa kwenye forum yoyote kati ya biashara, habari mchanganyiko, hoja nzito au siasa... lakini naomba niianzie hapa kwani siasa imeharibu tanzania yetu

Tumefika wapi na hii development??? wenzetu kenya naona wanatekeleza yale ambayo wanaplan mojakwa moja, sisi tunachora, kupiga picha na kuzunguza mtu!!! ipo mifano mingi, lakini je, kuna nay progress??

Naambatanisha wenzetu wana kamji kadogo kweli karibu na JKIA lakini kanaweza kufunika uswahili wetu


je tunaweza kuifanya Kigamboni kuwa PPP kwa vitendo??? maana naona ni wakorea haohao wanaohamia kenya, we are also seeing JKN Airpot nk hali iko vilevile
 
Last edited by a moderator:
Wakuu,
najua hii mada inaweza kuwa kwenye forum yoyote kati ya biashara,
habari mchanganyiko, hoja nzito au siasa... lakini naomba niianzie hapa
kwani siasa imeharibu tanzania yetu
Tumefika wapi na hii development??? wenzetu kenya naona wanatekeleza
yale ambayo wanaplan mojakwa moja, sisi tunachora, kupiga picha na
kuzunguza mtu!!! ipo mifano mingi, lakini je, kuna nay progress??
Naambatanisha wenzetu wana kamji kadogo kweli karibu na JKIA lakini
kanaweza kufunika uswahili wetu


je
tunaweza kuifanya Kigamboni kuwa PPP kwa vitendo??? maana naona ni
wakorea haohao wanaohamia kenya, we are also seeing JKN Airpot nk hali
iko vilevile


tunaweza. roma haikujengwa siku moja.
 
Last edited by a moderator:
tunaweza. roma haikujengwa siku moja.

Ndugu hii misemo ya kijinga na saa nyingine inachochea uvivu, Sawa Roma haikujengwa siku moja ila kila siku walikuwa wanajenga kitu fulani ambacho kimechangia roma iwe mji mkubwa. Sasa sisi tunaweka kila kitu kwenye siasa(porojo na usanii) unadhani roma itatokea hapo.
 
mara
nyingine wananchi hatuipi nafasi serikali kutuletea maendeleo. tu
wepesi kwenda mahakamani kuweka injuction kuzuia maendeleo. halafu tunakuwa wa kwanza kuilaumu serikali. mfano nani kachelewesha mradi wa
DART?
Ndugu
hii misemo ya kijinga na saa nyingine inachochea uvivu, Sawa Roma
haikujengwa siku moja ila kila siku walikuwa wanajenga kitu fulani
ambacho kimechangia roma iwe mji mkubwa. Sasa sisi tunaweka kila kitu
kwenye siasa(porojo na usanii) unadhani roma itatokea hapo.
 
Mpaka daraja likamilike kwanza. Yaani unataka uwe unakwenda Kigamboni City kwa kupiga mbizi?
Daraja halitajengwa mpaka fulana hizi zitoke mjini.


kipanya_4-1-2012_20120106_1117422915.jpg
 
Mpaka daraja likamilike kwanza. Yaani unataka uwe unakwenda Kigamboni City kwa kupiga mbizi?
huo mji utakuwa una njia moja tu ya kuufikia? Daraja likiwa kwenye maintenance hakufikiki. Funny.
 
Mimi nimeshasema, na nitaendelea kusema. Tanzania tunapenda sana story na hadithi za mipango. Na tukishasikia tu hizi story tunaridhika kweliiii....

Ukisikiliza bunge, and plans presented by ministers. Unaweza sema Tz baada ya miaka 3 tutakuwa kama NewYork..

Mimi nauliza, mpango wa kuhamia Dodoma vipi? Una miaka zaidi ya 20 saiv....hahaha

Kijijini kwetu, tokea mwaka 2002 tunaonyeshwa mchoro wa kisima. Na tunaambiwa kisima kitachimbwa. MaWaziri wameshakuja kutembelea eneo, na hela nasikia zimeshatoka siku nyingi...

Utachoka na mipango sasa. kila siku jamaa wanakuja na michoro mipya na kutuambia kisima kitachimbwa paleee.....hahaha
Sisi kazi yetu kuonyeshwa tu. Na wananchi wakionyeshwa, basi wanafurahi kweliiiiiii
 
Mpaka daraja likamilike kwanza. Yaani unataka uwe unakwenda Kigamboni City kwa kupiga mbizi?

LOL... wewe sasa unatafuta bifu na na "mabalabala"

Sioni hata prep zozote, infrastructure, surveys, compensation etc:wink2:
 
huo mji utakuwa una njia moja tu ya kuufikia? Daraja likiwa kwenye maintenance hakufikiki. Funny.
hapana, ipo ya kongowe, kuna ferry na daraja.... pia mipango ilikua ni kuweka ferry kutokea geza/mwongozo hadi town

We are good in talking!!! na kuchekacheka
 
mara
nyingine wananchi hatuipi nafasi serikali kutuletea maendeleo. tu
wepesi kwenda mahakamani kuweka injuction kuzuia maendeleo. halafu tunakuwa wa kwanza kuilaumu serikali. mfano nani kachelewesha mradi wa
DART?
unamsema mbunge wa kigamboni??? maana naskia wanamsifu kwa kukwamisha kila mpango wa maendeleo kwa mtaji wa kura:cool2:
 
LOL... wewe sasa unatafuta bifu na na "mabalabala"

Sioni hata prep zozote, infrastructure, surveys, compensation etc:wink2:

Hili daraja Magufuli alisema kwa kuwa mkataba ni wa miezi 36, na kwa kuzingatia kuwa NSSF wameshasema kwamba asilimia 60 ya fedha zipo, na Magufuli amesema kuwa asilimia 40 ya fedha kutoka Wizara husika zipo, haoni sabanu kwa nini mkandarasi asubiri miezi 36 yote katika kutenegeza daraja la Kigamboni. Akasema hiyo miezi 36 ni maximum na kumtaka mkandarasi amalize daraja chini ya miezi hiyo 36 ili Rais Kikwete akalifungue hilo daraja kabla ya kumaliza muda wake. Ila sijui counting ya hiyo miezi 36 inaanzia wapi.
 
Hili daraja Magufuli alisema kwa kuwa mkataba ni wa miezi 36, na kwa kuzingatia kuwa NSSF wameshasema kwamba asilimia 60 ya fedha zipo, na Magufuli amesema kuwa asilimia 40 ya fedha kutoka Wizara husika zipo, haoni sabanu kwa nini mkandarasi asubiri miezi 36 yote katika kutenegeza daraja la Kigamboni. Akasema hiyo miezi 36 ni maximum na kumtaka mkandarasi amalize daraja chini ya miezi hiyo 36 ili Rais Kikwete akalifungue hilo daraja kabla ya kumaliza muda wake. Ila sijui counting ya hiyo miezi 36 inaanzia wapi.
Itakuwa chini ya Miaka 36 au miezi 36? hayo yatakuwa ni kweli lakini? au ndio kimazungumzo tu ya siasa?
 
mimi nimeshasema, na nitaendelea kusema. Tanzania tunapenda sana story na hadithi za mipango. Na tukishasikia tu hizi story tunaridhika kweliiii....

Ukisikiliza bunge, and plans presented by ministers. Unaweza sema tz baada ya miaka 3 tutakuwa kama newyork..

Mimi nauliza, mpango wa kuhamia dodoma vipi? Una miaka zaidi ya 20 saiv....hahaha

kijijini kwetu, tokea mwaka 2002 tunaonyeshwa mchoro wa kisima. Na tunaambiwa kisima kitachimbwa. Mawaziri wameshakuja kutembelea eneo, na hela nasikia zimeshatoka siku nyingi...

Utachoka na mipango sasa. Kila siku jamaa wanakuja na michoro mipya na kutuambia kisima kitachimbwa paleee.....hahaha
sisi kazi yetu kuonyeshwa tu. Na wananchi wakionyeshwa, basi wanafurahi kweliiiiiii

baada ya miaka mitano watasema, 'mlikuwa mnataka kiatu cha aina gani?'
 
prof Tibaijuka kaeleza pale jangwani leo juu ya dhamira ya dhati ya kujenga mji mpya huko kigamboni. Lakini hakueleza mji huo utajengwa na nani na kwa gharama gani. Atufafanulie hili maana sijawahi kusikia nchi inajengewa mji na taifa lingine isipokuwa Malawi wakati wa utawla wa rais banda aliyerubuniwa asiunge mkono maazimio ya Umoja wa Mataifa, jumuia ya madola na OAU kuutenga utawala wa makaburu wa Afrika kusini na kuunga mkono harakati za ukombozi wa nchi za kusini mwa afrika wakati huo. Gharama ya msaada huo ilikuwa rais banda kujitenga na mataifa mengi ya afrika. kwa hiyo suala la gharama za ujenzi wa mjini mpya wa kigamboni halifai kupuuzwa.
 
Tibaijuka Gamba,hakuna mradi wala nini bush kachomoa kununua kigamboni kaona watu watamfungulia kesi.
 
Can anyone please give me more info on Kigamboni even if it is theoretical: How big is it in terms of acreage, the plan or is it the one up here? Is NSSF still financing the Kigamboni bridge? Where will it get the money from? Is the road a profitable PPP venture? The last feasibility study I saw was very expensive and asked for avery high rate of return, i think 41 per cent?
Please help
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom