Tanzania is the largest cement manufacturer in East Africa

Mkuu mahitaji ya cement ni 6.8m. Production kwa sasa tunakaribia 10m. Kwa kifupi Kuna Dangote ameingia sokon. Sungura Tanga, Rhino Tanga, rhino Dar h Vyote hivyo ni mwaka Jana tu. Ninapokuambia soko hakuna amini hivo ni kwa data
Tunapenda kulalamika viwanda vikiwa vichache tunalalamika, vikiwa vingi tunalalamika... Mda si mrefu na katika sukari tutalalamika
 
One thing huwa sielewi from u Kenyans.
Mkiweka mambo mazuri from kenya huwa wabongo wanawapa pongezi tena kiroho safi,
But Why ikija habari nzuri from Tz I see only hate and disapproval from Kenyans.
Kweli damu ya mkikuyu ina laana ..I see it.
Haujawahi kujiuliza kwanini wakenya wengi wana sura za kutisha mbaya?
That's reflect their inner most part.
 
Umeshuka kivipi? Leta hoja za maana hapa. Acha kuhororoja. Kama huna pesa ni wewe pekee yako.

Acha kukufuru aisee, wengi hatuna pesa kama wewe bado unazo shukuru badala ya kukejeli wenzio...
 
One thing huwa sielewi from u Kenyans.
Mkiweka mambo mazuri from kenya huwa wabongo wanawapa pongezi tena kiroho safi,
But Why ikija habari nzuri from Tz I see only hate and disapproval from Kenyans.
Kweli damu ya mkikuyu ina laana ..I see it.

Hivi wewe huweka habari humu ndio upongezwe? Umbumbumbu wako upo kwenye ligi yake.
 
Kuna shida gani kama tunazalisha cement kwa wingi? Hatuagizi cement toka India au South Africa...nayo ni kero pia?
 
Give thanks.....hiyo yote isaidie watu wetu. Naafasi za ajira, ukuaji wa uchumi kwa ujumla. Haya ndiyo tunataka
 
Cement supply exceeds demand by half
ONLINE REPORTER
15 November 2016


COUNTRY’S installed cement production has crossed 8.0 million tonnes per year surpassing aggregate demand by half, the Minister for Industries, Trade and Investment said.

Minister Charles Mwijage said today that the country is currently cement sustainable and two more factories are expected to be constructed in the western zone. “We will export the excess capacity thus earning more foreign revenue,” Mr Mwijage said at a morning breakfast programme aired by Clouds FM.

The figure suggests that Tanzania’s installed cement capacity has surpassed that of Kenya which was projected to produce 8.1 million tonnes per annum by 2018.

This is according to analysts at the Standard Investment Bank (SIB), who made the projection in an East Africa Cement Sector report released in January 2016.

It comes even as cement consumption across East Africa is estimated to reach 17.5 million tonnes in 2019 due to a sustained boom in the construction and real estate sector. In 2014, consumption in the East African countries of Kenya, Tanzania and Uganda is estimated to have stood at 10.16 million tonnes.

http://dailynews.co.tz/index.php/home-news/46531-cement-supply-exceeds-demand-by-half


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11, Xplorer


Wakenya walianza kuibomoa Kenya tangu siku walivyopata Uhuru, walirithi nchi yenye kila kitu lkn leo wanazidi kurudi nyuma na sasa hvi TZ tutawapita, kwa mfano hili la cement Kenya walikuwa wanazalisha cement mara mbili kama siyo tatu ya TZ yetu miaka 20 iliyopita leo hii tunawazidi!
 
First of all, congrats tz, I know most of you here in jf, your ambition is just to surpass Kenya..... You are actually projected to be Africas largest cement manufacturers if you did not know....

Having said that, there is a difference between installed capacity and actuall production, there is also a difference between production and local consumption.... Consumtion is what makes all the big difference... Bieng largest manyfatures is good for a few hundred jobs, (its like saying tz is the largest producer of diamond or uranium, its good for you but really when you compare yourself with SA, they use uranium to produce lots of power) so how much cement does tz consume to build better infrastructure etc compared to kenya



Anyway, as for now, TZ is projected to overtake Kenya in 2018 based on the projected/proposed cement plants under construction...so until 2018 msituringie, don't count your chics b4 they hatch, we all remember what happened last time you did a similar thing, you started celebrating Tz economy would surpass Kenyas by 2025 back in 2008/09 and then we pulled a fast one and now you cant see shit.....




Increased investment in East Africa’s cement industry is expected to accelerate in the next three years, with Tanzania’s total capacity surpassing Kenya’s by 2018.
Accelerated investment in Tanzania’s cement sector, led by Dangote Cement, which is owned by Africa’s richest man Aliko Dangote and Kenya’s Athi River Mining would push up Tanzania’s installed cement capacity to 9.4 million tonnes per annum in 2018. This would surpass Kenya’s installed cement capacity by 2018, which would be at 8.1 million tonnes per annum at the time.
 
we overproduce but very high price making it unaffordable for low income earners
 
Kafrican not until 2018 as we speak installed capacity is more than that of Kenya! In 2018 we will double ur capacity mind u 2 more new cement factories r U/C in the Western Tanzania. And Dangote is planning 2 more factories in this same Tanzania.
 
Back
Top Bottom