ndiye nani huyo?au ni mmojawapo wa hao warundi wanaojichukulia uraia kiholela nchi hii!
Ndo nani huyu
Ndo nani huyu
ndiye nani huyo?au ni mmojawapo wa hao warundi wanaojichukulia uraia kiholela nchi hii!
Alikuwa PCCB boss na hakuwahi kufikisha fisadi yoyote mahakamani EPA ilichezwa wakati wake
Nimepata taarifa za kuuzunisha sana dakika chache zilizopita kwamba Retired Major General Anatoli Kamazima amefariki dunia ghafla usiku wa leo - kuamkia Jumatano ya Tarehe 26 Mwezi wa Tisa Mwaka 2012 kutokana na mshtuko wa moyo; Bwana alitoa, na Bwana ametwaa, Mungu amlaze mahali pema peponi Mzee wetu mpendwa Anatoli Kamazima, AMEN;
Alikuwa PCCB boss na hakuwahi kufikisha fisadi yoyote mahakamani EPA ilichezwa wakati wake