TANZIA: Rtd Major General Anatoli R. Kamazima amefariki dunia

Mchambuzi

JF-Expert Member
Aug 24, 2007
4,850
9,405
Nimepata taarifa za kuuzunisha sana dakika chache zilizopita kwamba Retired Major General Anatoli Kamazima amefariki dunia ghafla usiku wa leo - kuamkia Jumatano ya Tarehe 26 Mwezi wa Tisa Mwaka 2012 kutokana na mshtuko wa moyo; Bwana alitoa, na Bwana ametwaa, Mungu amlaze mahali pema peponi Mzee wetu mpendwa Anatoli Kamazima, AMEN;
 
ndiye nani huyo?au ni mmojawapo wa hao warundi wanaojichukulia uraia kiholela nchi hii!
 
Dah ni habari za kusikitisha sana, poleni mke, watoto na wafiwa wote. Kwa watu wasiomfahamu Mzee Meja Jenerali Mstaafu Anatoly Kamazima, alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU (PCCB)>
 
Back
Top Bottom