BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
| ||
|
| ||
|
Jamani kuweni na huruma na Serikali, juzi pesa imetumika kwenye sherehe za miaka 50 ya Tanganyika. Nasikia Richmond wamelipwa. Pia maisha kwa wabunge yamepanda. Na sasa wamepata kisingizio mafuriko! LABDA hivi waziri akisema uongo kama alivyosema Mlugo kuna hatua yoyote apasayo kuchukuliwa? Au kwa wakubwa kutamka chochote ni ruksa? Mlugo jitokeze tena kuongopa maana walimu mwawaona ni wa kuwaongopea tu. Mmeweza kwa uongo, na songeni mbele kwa utapeli. Hakika mmethubutu.
Hivi gazeti la mbowe litaandika usahihi wa taarifa mbalimbali kuhusu serikali kweli? ni kulishana makasa tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mpaka basi
sasa kwanini walimwamini hata mtu nwenye degree faki aisee
msipate tabu walimu, mtalipwa karibu na uchaguzi wa 2015v ili mkasimamie tena upigajin kura vizuri
msipate tabu walimu, mtalipwa karibu na uchaguzi wa 2015v ili mkasimamie tena upigajin kura vizuri