Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,952
- 5,982
Naomba anayejua ni process gani, na ni wapi na document pamoja na vitu vitu gani vinavyohitajika ili kufungua SACCOS anielekeze hapa jukwaani.
Natanguliza shukran
Nenda makao ya wilaya ulipo na onana na afisa ushirika utapata maelezo na forms
Kuanzisha saccos ni wilayani