Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,739
- Thread starter
- #22,601
Ninaomba sana huyu Pacheco asijetufanyia kama ya mwenzie Adan msimu uliopita, sababu hawa watu waliotoka kwetu tukikutana nao basi huwa wanakaza utadhani fainali!!
Wanakuwa supermen!