Norway’s petroleum boss gives tips to TZ

Sijakupata vizuri hapo...Wewe umeomba ushauri si ndiyo ina maana umeenda kwa mtu ambaye una long-partnership na mumeshibana siyo? Then whats wrong hapo? Kila mtu anainterest yake ndicho nilikimaanisha.

Huko duniani kwa wenye akili hawapigani ovyo ovyo kumbuka Berlin conference tangu hapo walisha jifunza halipi kupigana ila comperative advantages ndizo determinants; hizo barbaric characters zakupigana wametuachia sisi...

Hao interest zao ziki-gongana wanakuja na evidance nani ali-invest kwenye hiyo sector kupita mwenzake na wanakubaliana kila mmoja atafaidika vipi...Kazi inabidi kwetu maana hawatatu force bali tuki-negotiate vizuri na ss tuna kuwa better off ndicho kilichotokea huko Qatar na Saudia na ile United Emirates yote and the like....

Dunia ya mabavu inakuja tu pale mkijidai kukata huku wao hawana pengine pakupata mahitaji yao hapo ndiyo wana kukung'uta na ili isiwe hasara wanakuuzia na silaha ku maximize profits..

Tanzania kupewa ushauri na serikali ya Norway wakati Norway nayo inashindania biashara hizi ni conflict of interest.

Huwezi kuwa na mtu mteja yeye, business partner yeye, consultant yeye.
 
Mkuu nadhani sijakuelewa kabisa.., !!! na umetumia backstop technology ndivyo sivyo.., theory inasema kwamba limited resource ikiwa expensive alternative energy will become cheaper by comparison (kulingana na hii resource kuzidi kuisha na upatikanaji wake kuwa mgumu zaidi na wa gharama), kumbuka hapa issue sio kuhakikisha kwamba unazichimba haraka na kuzimaliza kabla hazipungua / kuisha sababu hata zikipungua zaidi na demand kuwa kubwa zaidi obvious bei itapanda...

Na hizi fossils fuels hazitashuka bei anytime soon, unless igundulike another cheaper and efficient source of energy au mashinikizo ya environmentalists yasababishe hizi fossil fuels kuwa banned..., Hivyo narudia kuendelea kuyakalia haya madude huenda ni poa tu, tuchimbe kidogo cha kuweza kutusaidia internally na sio kuwapa watu leeway wachimbe by the tons.., na kuwapa lease ya miaka 60 wakati kwa kasi yao ya kuchimba huenda after 30 years wakawa wameshamaliza

Hapo nilipo bold nakubali kabisa kwasababu kuna kitu kinaitwa subistitution ya capital resource inamaana kama projections zao ni kuwa after 30 years ndipo shift itatokea basi wanaplan exploitation kwa huo muda na pesa wanayo ipata wana i-reinvest kwenye hiyo better technology....Hiyo graph ya Hotelling price path inayoelezea concept ya back stop technology ina three dimension ya time, price path na resource stock na unaweza manipulate any depending na objective yako.

Sasa kwavile technology iki-shift na ss ni waathirika hapo inabidi tunegotiate mfano basi profit inayopatikana iende katika kuongeza stock let say ya forests zetu hasa katika maeneo ambayo siyo arable ili kusiwe na competition kwenye kilimo..Huku kukiwa na agreement shift itakapotokea sisi tuwa supply wao hiyo biomas na siyo wengine maana comperatively environmnet yetu ni better kwenye biomas kuliko wao
 
Yaani hivi kweli mnataka kunambia Tanzania na wasomi wetu wote walikuwa hawajui haya?..kama ndivyo basi swali la Mwanakijiji limejibiwa. Siamini kabisa kama kweli tulifikiria tunaweza kutajirika na mafuta yakawanufaisha watanzania pasipo kupitia njia hizo.
 
Tanzania kupewa ushauri na serikali ya Norway wakati Norway nayo inashindania biashara hizi ni conflict of interest.

Huwezi kuwa na mtu mteja yeye, business partner yeye, consultant yeye.

Kwakua hatuelewani acha mimi nikubali yaishe maana I dont follow your argument!

Kwani hapo anashauri deal iliyokuwa tendered ama anatoa ushauri kwa serikali ya Tz kupitia naibu minister wa madini na nishati?
 
Kwakua hatuelewani acha mimi nikubali yaishe maana I dont follow your argument!

Kwani hapo anashauri deal iliyokuwa tendered ama anatoa ushauri kwa serikali ya Tz kupitia naibu minister wa madini na nishati?

Obviously huna info

Statoil - Wikipedia, the free encyclopedia

Second high-impact discovery for Statoil offshore Tanzania

Huku Statoil (kampuni ya serikali ya Norway) inafanya exploration, huku serikali ya Norway inatushauri.

Mteja huyo huyo,muwekezaji huyohuyo, mshauri huyohuyo, business partner huyo huyo, mpinzani wa kibiashara huyohuyo. Na bado hatuoni conflict of interest hapo?
 
Obviously huna info

Statoil - Wikipedia, the free encyclopedia

Second high-impact discovery for Statoil offshore Tanzania

Huku Statoil (kampuni ya serikali ya Norway) inafanya exploration, huku serikali ya Norway inatushauri.

Mteja huyo huyo,muwekezaji huyohuyo, mshauri huyohuyo, business partner huyo huyo, mpinzani wa kibiashara huyohuyo. Na bado hatuoni conflict of interest hapo?

Do you have a patner? Mshauri wako wakwanza ni nani iwe kwenye relationship ya social ama bussines?

Na ebu soma in-depth alikuwa anatoa ushauri upi?

Well rest assured that I am very much informed na nayajua mazingira ya nchi zote mbili ndiyo maana nashindwa ku-follow your argument...

Kama Norway ingekuwa inaamua kesi ama ina make decision kwenye tender ya oil or gas huku kukiwa na applicants wengine hapo kungekuwa na doubt lazima ajipendelee..Lakini sasa ambapo ni business partner wawili wanashauriana jinsi ya kuongeza profits na ku-minimize costs katika investments zao eti kuna conflicts of interest then I guess my IQ is below yours thats why its so difficult to perceive what you mean!
 
Do you have a patner? Mshauri wako wakwanza ni nani iwe kwenye relationship ya social ama bussines?

Na ebu soma in-depth alikuwa anatoa ushauri upi?

Well rest assured that I am very much informed na nayajua mazingira ya nchi zote mbili ndiyo maana nashindwa ku-follow your argument...

Kama Norway ingekuwa inaamua kesi ama ina make decision kwenye tender ya oil or gas huku kukiwa na applicants wengine hapo kungekuwa na doubt lazima ajipendelee..Lakini sasa ambapo ni business partner wawili wanashauriana jinsi ya kuongeza profits na ku-minimize costs katika investments zao eti kuna conflicts of interest then I guess my IQ is below yours thats why its so difficult to perceive what you mean!

Kuna makampuni 18 yanafanya exploration Tanzania, kutoka nchi mbalimbali, pamoja na Norway.

Wengine wakisema ushauri wa Norway unaingilia kanuni za ethics za biashara kwa kutaka kujitengenezea an unfair competitive advantage waNorway watasemaje?
 
Kuna makampuni 18 yanafanya exploration Tanzania, kutoka nchi mbalimbali, pamoja na Norway.

Wengine wakisema ushauri wa Norway unaingilia kanuni za ethics za biashara kwa kutaka kujitengenezea an unfair competitive advantage waNorway watasemaje?

Hata hao wengine hawajakatazwa kuishauri Tanzania na mwamuzi wa ushauri upi auchukue ni Tanzania hiyo hiyo!

So whats a problem? Mbona hawaja react mpaka sasa? Kumbuka hao wana vikao vyao na kila mtu anajua anafanya nini hawajileti tu bila kujua quota yao ni kiasi gani katika resource pool ya Tanzania..Wamesha calculate risks wameshajiwekea interest rate with which wata exploit kifupi wako ki-biashara zaidi na investment criteria zote wamezifanyia kazi mpaka wameamua kuja ku-explore..Kungekuwa na shida tayari ungesha isikia na Norway siyo wajinga kiasi hicho!
 
Hata hao wengine hawajakatazwa kuishauri Tanzania na mwamuzi wa ushauri upi auchukue ni Tanzania hiyo hiyo!

So whats a problem? Mbona hawaja react mpaka sasa? Kumbuka hao wana vikao vyao na kila mtu anajua anafanya nini hawajileti tu bila kujua quota yao ni kiasi gani katika resource pool ya Tanzania..Wamesha calculate risks wameshajiwekea interest rate with which wata exploit kifupi wako ki-biashara zaidi na investment criteria zote wamezifanyia kazi mpaka wameamua kuja ku-explore..Kungekuwa na shida tayari ungesha isikia na Norway siyo wajinga kiasi hicho!

The Norwegians are neither unimpeachable nor super benevolent, how do we know that their advise is kosher?

Statoil corruption case - Wikipedia, the free encyclopedia

Corruption in Norway, Ghana or both? Statoil v. BioFuel and the Kroll Inc. private intelligence report, Feb 2009 - WikiLeaks

http://wlstorage.net/file/statoil-biofuels-africa-ghana-2009.pdf
 
Norway's petroleum boss gives tips to TZ Send to a friend
Friday, 21 September 2012 07:49
digg

By Alawi Masare
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Tanzania should start planning now on how it would benefit from its petroleum resources by putting in place strategies that would be applicable for the next 50 years, a Norwegian expert has advised.

The founder and first chief executive of the Norwegian oil and gas company – Statoil – Mr Arve Johnsen, urged the country to take necessary steps right away instead of waiting until production of oil and gas is in full swing.
Sharing the experience of Norway – one of the most successful countries in petroleum industry – Mr Johnsen said Tanzania should immediately embark on building its people's capacity.

There is also a need for mechanisms to enable the State to participate in the petroleum industry either directly or indirectly by way of concession.

In Norway for instance, state participation in petroleum operations was reorganised in 1985 where Statoil's interest in many licences was split into two components, one linked to the company's commercial participation and the other becoming part of the state's direct financial interest (SDFI) in petroleum operations.

That arrangement means that the state itself funds the exploration expenses, investment and operating costs falling to the SDFI, and receives a share of revenues that corresponds to its interest in each production licence.
Underscoring the essence of early preparations, Mr Johnsen said:

"In Norway for example, it took us 20 years from discovery to the start of gas production. You need to start preparing human resources and plan gas transportation pipelines for the 50 years to come," he said.
Mr Johnsen also advised the country to form a state-owned petroleum company under the ministry of Energy and Minerals that would supervise gas and oil drilling and transportation. The company, according to him, would comprise petroleum experts and related fields that would not necessarily be part of the ministry.
The envoy was invited by the ministry of Energy and Minerals to share experience of Norway in the area of oil and gas exploration ahead of the release of Tanzania's policy draft for public hearing.

"We want to share experience with him as a person with enough experience from a gas economy country so that we can learn from them," said the deputy minister for Energy and Minerals, Mr Stephen Masele, yesterday.
Tanzania has so far discovered 33 trillion cubic feet (tcf) of gas both onshore and offshore, 9 tcf of which were discovered by Statoil, an international energy company operating in 37 countries including Tanzania. The firm, formed in 1972, boasts 40 years of experience in oil and gas production on the Norwegian continental shelf.

After the discovery of big oil and gas fields in 1970s, Norwegian authorities moved to ensure the country would have control over its rich offshore resources and established the state company, Statoil, with Mr Johnsen as its CEO.
Also established in 1972, the Norwegian Petroleum Directorate was placed along with Statoil in Stavanger – making that city Norway's "oil capital."

The country's parliament adopted the "10 Oil Commandments," -- a set of principles for oil policy which specified that oil operations in the Norwegian Continental Shelf (NCS) should be conducted under government control.
Thereafter, the Norwegian oil companies proved good at learning from abroad and quickly became among the best in the world for pursuing offshore operations.

Mr Johnsen who professionally is an economist and a lawyer happened to be the state secretary to the minister for industry and he was the only employee when Statoil was established in 1972.
"One of the biggest challenges Statoil faced was getting the relevant persons to be employed and the risk of loans from banks," said Mr Johnsen.

The government of Norway controls key areas such as the vital petroleum sector, through extensive regulation and large-scale state-majority-owned enterprises.

The country's economy is among others, dependent on the petroleum sector, which accounts for the largest portion of export revenue and about 20 per cent of government revenue.

Norway is the world's second-largest gas exporter; and seventh largest oil exporter, making one of its largest offshore oil finds in 2011. The country opted to stay out of the European Union during a referendum in November 1994; nonetheless, as a member of the European Economic Area, it contributes sizeably to the EU budget.

In anticipation of eventual declines in oil and gas production, Norway saved state revenue from the petroleum sector in the world's second largest sovereign wealth fund, valued at over $500 billion in 2011 and uses the fund's return to help finance public expenses.

Katika mjadala wetu hapa tumesema hivi

'Secondis the reforms of the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC). As itstands TPDC is now a regulator of upstream (although some argue it is theCommissioner for Energy) and a participant to the ventures with the freecarried interest. It is highly suggested that a National Oil and Gas Company(Petroleum Corporation of Tanzania – PETROTAN) be established and activelyparticipate in the sector as an investor with huge stakes. It must behighlighted here that PetroBras, Petronas and StatOil are state companies intheir own countries'

Nukuu hii inatoka makala ya mwaka jana.

Lakini mzungu kasema. Mzungu kutoka Norway watamsikiliza. Japo kasema jambo ambalo limesemwa kitambo na Watanzania.

hivi Mwl alivyo wasomesha watu kama Kafuma, Prof Muhongo na wengineyotulikuwa hatuja jipanga, mpaka aje Mnorway kutueleza? ni mategemeo yangu kwamba wa tanzania wengi tume elimika, na tuna jua historia ya nchi yetu, kwa hiyo hili si jambo geni, kwa wengi wetu, tatizo ni utawala bora na committment, zaidi ya hapo ebu tujikumbushe madhumuni ya kuanzishwa TPDC na Stamico was it not to build technical capacity local na kuwa share holders? i stand to be corrected
 
na zaidi ya hapo mashirika anayo pendekeza huyu Mnorway tunayo TPDC na Stamico
 
This is funny mnajua?
Kiranga anafafanua na kufafanua hii conflicts of interest ya wa Norway humu

But ni kama vile hili jambo tunaliona doogo mno
hata Zitto hawezi jibu lolote kuhusu hili?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom