Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,770
- 10,650
Mtafute mtu anaitwa gonzaga mandago, atakupa michongo yoooooooooote, ya hiyo kitu.
Tumtafute wapi?
Mtafute mtu anaitwa gonzaga mandago, atakupa michongo yoooooooooote, ya hiyo kitu.
Hizi MFI zitafungwa zote muda si mrefu!! Utapeli na wizi wa mchana umezidi kwa walala hoi.Nakwambia with MFI Mtanzania hatakomboka hata kidogo,Kwani ni kunyonyana kwa kwenda mbele.My take anzisha bureua de Change kwani hizi life span yake ni kubwa.Lkn MFI ni biashara ya msimu tu kwa Tanzania.
asante nitaku-pm mkuu, ila unakosea kusema mimi sina Tsh 50m mbona kwa wabonge wengi ni hela ya kawaida tu
Sharti la kwanza ambalo najua ni ngumu kwako na kwangu ni lazima uweke BOT Million 400 then ndo uanz iyo burea de change.Hapo umenigusa mkuu, Hebu nipe utaratibu wa kuanzisha Bureau de change kama unaufahamu.
Unaweza kuanzisha SACCOS, au Financial NGO au kampuni financial institution kama FINCA kati ya zote hizo rahisi kuanzisha ni SACCOS ukitaka kuanzisha Benki lazima uwe na Sh. 50 million
sidhani kama unazo. Ukitaka ushauri zaidi nipigie 0755394701 au nipm
Sharti la kwanza ambalo najua ni ngumu kwako na kwangu Ni lazima uweke BOT Million 400 then ndo uanz iyo burea de change
ni milion arobain mkuu ( TZS 40 M). soma bureau de change act kuna maelezo yote.
jamani bado hatujapata jibu la kiasi kinachotakiwa kuweka bot, ili mtu uweze kuanzisha microfinance? naitamani sana hii biashara wakuu!
kintinku, mimi nahitaji kufahamu zaidi kuhusu deposit ya kuanzisha microfinance bana! hayo mambo ya saccos nawaachia wenyewe.
chonde chonde, mwenye kufahamu jamani atujulishe hapa!
Wadau wenzangu hapa JF kina Babalao na wengineo naomba mnisaidie ili niweze kuanzisha Microfinance yangu Dsm ninatakiwa niwe na nini, na utaratibu gani nifuate.
Hakuna hela ya kuweka BOT...wewe jifanye ni NGO ya kuwawezesha maskini..period..trust me
yahoo.com? Mmmhour contacts: Right Business Consultancy
2nd floor, biashara complex, Mwananyamala,kinondoni
email: rightbusinessconsultancy@yahoo.com