zaynab applw
Member
- Nov 30, 2016
- 55
- 38
Nauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500
Kwa wanaoujua washafaham jina ndo hilo ubuyu wa embekama ni embe unakuwaje tena ubuyu? sema nauza embe
Jumla kubwa 1000ndogo 500kwa jumla bei gani
Weka bei
Yah ni kwel lakin hilo ni jina tunalotumia pwan ila huku bara ndompaka mtu umpe elimuTafuta jina lisilokuwa na neno ubuyu kwani wasiopenda ubuyu hawatanunua kwa sababu za kisaikolojia.
duh haya sasa masihara ila nashkuru kwa ushaur.Hongera kwa ubunifu. Ila ningependa kujua kama unaongeza nguvu za kiume... Ukiwadanganya hivyo wateja, watauchangamkiajeee?
0654695943 chukua hiyo tuwasiliane ndugu yanguHongera sana kwa ubunifu. Nahitaji za tsh 5000 nazipataje, nipo Mwanza-Magu.
Embe mbichiTupe somo kidogo juu ya unachokiuza. Ubuyu najua na embe najua, ila bado sijaelewa hiyo combination. Naomba elimu kidogo kama hautojali.
Kwa wanaoujua washafaham jina ndo hilo ubuyu wa embe
Kimya wangu au umegair tenaHongera sana kwa ubunifu. Nahitaji za tsh 5000 nazipataje, nipo Mwanza-Magu.