Mambaenock
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 427
- 107
Kupinda kunaweza kukawa ni sababu ya mojawapo au yote ya haya nitakayoyataja hapa chini
1. Chupi
Kwa kawaida huwa tuna weka madushelele yetu upande mmoja.... kuna wanaoweka kushoto , akuna wanaoweka kulia... Matokeo yake dushelele inazowea huko na mwisho unakuwa huwezi badilisha... INAPINDIA KUELEKEA HUKO ULIKOISZOWESHA
2. Kutahiriwa
kwa wale waliotahiriwa na kushonwa, kuna watu wameachwa na ngozi kubwa upande mmoja, na upande mwingine imefutwa sana kiasi cha kuifathanks mkuu point zako za ukweli sana sababu nimejaribu kuilazia kushoto naona outcome za kunyooka ni ndogo sana