Msaada kuhusu kilimo cha bustani kwa mtindo huu kwenye picha

mwandishe

Member
Jan 9, 2011
33
15
1462905998913.jpg
 
Hii nzuri sana...ngoja niifanye namimi, pia nikiangalia naona inasaidia ku save water!
 
Mkuu hata upinge Wakenya wapo juu sana, ukitaka ujue hilo jiulize wewe unaubunifu gani zaidi ya kupiga porojo tu..
Kwao ardhi ni bidhaa adimu kwa hyo ku practice hivi nibsawa kabisa..una weza iilinganisha na technology ya namna ingine ambayo mizizi haipo kwenye ungo inaninginia tuu ndani ya glass container alafu nutrients zote na maji vinakuwa sprayed ni expensive ku practice ila huko mbeleni wanaweza jenga majengo marwfu mjini na kuwa ndio mashamba
 
Hii nzuri sana...ngoja niifanye namimi, pia nikiangalia naona inasaidia ku save water!
Hii iko poa sana mkuu,halafu hai-save water peke yake bali hata eneo.
Yani unatumia maji kidogo,eneo dogo ila mavuno mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom