bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
Wana JF;
Sisi tuna-own Kampuni inayojshughulisha na Secretarial Services, Printing (Cards, Posters, Business Cards, Invitation Cards, Fliers etc). Tunazamia ku-expand business ili tufungue small Photo studio yenye uwezo ku kupiga passport sizes na picha nyinginezo pamoja na kusafisha (Digital Printing Services) kwa muda mfupi (Express Services)
Kama kuna mtu mwenye ujuzi/ufahamu kuhusu mashine nzuri za kudevelop na kuprint photos anipe specifications na kama inawezekana namna gani naweza kuzipata!
Kuna aliyenieleza kuhusu KODAK PHOTO KIOSK, lakini siifahamu na sijui inafanyaje kazi, kwa maana hiyo nahitaji ushauri mashine hizi (na nyinginezo) na pia kwa ujumla ni ipi muhimu kuanza nayo kwa small- medium size business.
Mwenye ideas ini-PM au anijibu kwenye post hii. Nakaribisha pia mtu mwenye nia ya kufanya biashara hii kwa UBIA
Ahsanteni
SIMILAR CASES
===============
============================================================
MAWAZO MBALIMBALI YA WADAU
Sisi tuna-own Kampuni inayojshughulisha na Secretarial Services, Printing (Cards, Posters, Business Cards, Invitation Cards, Fliers etc). Tunazamia ku-expand business ili tufungue small Photo studio yenye uwezo ku kupiga passport sizes na picha nyinginezo pamoja na kusafisha (Digital Printing Services) kwa muda mfupi (Express Services)
Kama kuna mtu mwenye ujuzi/ufahamu kuhusu mashine nzuri za kudevelop na kuprint photos anipe specifications na kama inawezekana namna gani naweza kuzipata!
Kuna aliyenieleza kuhusu KODAK PHOTO KIOSK, lakini siifahamu na sijui inafanyaje kazi, kwa maana hiyo nahitaji ushauri mashine hizi (na nyinginezo) na pia kwa ujumla ni ipi muhimu kuanza nayo kwa small- medium size business.
Mwenye ideas ini-PM au anijibu kwenye post hii. Nakaribisha pia mtu mwenye nia ya kufanya biashara hii kwa UBIA
Ahsanteni
SIMILAR CASES
===============
Wandugu habari. Nimeanzisha biashara ya stationery. Nipo kwenye mji unaokuwa kwa kasi na nimezungukwa na taasisi kadhaa mf. shule.
Kwa mwenye experience na biashara hii pamoja na ile ya kupiga na ksafisha picha naombeni ushauri murua juu ya bidhaa zipi huwa zinatoka sn, na namna bora ya ku-manage biashara hii.
Ninampango pia kuweka Huduma za Kibenki kama Mpesa, Tigo pesa nk
Mtaji wangu ni 7M. Naombeni sana ushauri wowote ili uwafae na wengine wenye wazo kama langu
Asanteni.
============================================================
MAWAZO MBALIMBALI YA WADAU
Biashara ya Studio ya picha inahitaji uwe na yafuatayo:
1. Ufahamu wa picha
2. Mtaji mkubwa. kuanzia USD 10,000 na kuedelea.
3. Technical knowhow ili usidanganywe kirahisi.
4. Sehemu nzuri ya biashara hiyo. Pasiwe na ushindani usio na maana.
Je unavyo hivyo?
Kwasasa kupiga picha tu haitoshi. Inakupidi uongeze na kitu cha ziada, ambacho ni Graphics design.
Eidha ujue kutumia Adobe photoshop au software zinazohusu picha.
Watu wengi kwasasa wana camera nzuri na simu zenye uwezo mkubwa wa camera. Inabidi uwe na kitu cha ziada kuwakamata hawa watu. Picha zako ziwe tofauti na wao wanavyopiga.
Asante!
Nina Uzoefu Wa Hizo Kazi 3 Yearz
Tools Zinazohitajika
1. Camera {kwa uzoefu wangu Tafuta Canon Eos 7D, au 5D Au DSLR YOYOTE. Hapa Utapata Picha Yenye Autofocus Kubwa Na Clear}
2. Utahitaji Photo Printer {Kama Huko Vizur Chukua Kubwa Za 30M Lakin Pia Utahitaji Printer Ndogo Kwa Ajil Ya Express Services! Au Ndogo Za Epson L800! Hiz Ni Econom Hazitumii wino mwingi! Na Pia Ni Ngumu}
3. Studio Lighting Tool
Kwa Indoor Hapa Utahitaji Taa Za Studio Kawaida Auto Ambazo zinadetect Mwanga Zenyewe! Utahitaji Reflector Kwa Classic Photograph Hii Itatumika Hata Outdoor! Pia Utahitaji Umbrella Photo Lighting Kwa Indoor Shots. External Flash! Kwa Ajil Ya Kukupa Mwanza Safi Katika Outdoor Shot. Usisahau Background. Ingawaje PS imerahisisha Now Days
4. Photo Editing Software
Kwa Ulimwengu Wa Sasa Editing Software Ni Kitu Cha Muhimu Hapa Napendekeza Adobe Photoshop CS5! Photoshine! Na Photoscape.
4. Photo Materials
Hapa Namaanisha Photo Frame! Bahasha! Mikasi! Make Up Tools!
5. Storage Devices
Kila Kaz Unayofanya Lazima Uhifadh! Ingawaje Utakuwa Na Editing Computer Usisahau Kutenga External Hard Disk Za 1TB Kwa Usalama zaid wa Kumbukumbu za wateja.
6. Scanner
Hii Ni Kitu Muhimu Sana Na Pesa Ipo Hapa Kwan Watu Weng Wanakuja Na Picha Zao Za Zaman Kutaka Zitolewe Upya! Nying Za Marehemu.
Vipo Ving Mkuu Ila Kama Utahitaji Mpiga Picha Nipo Hapa Mkuu Sina Dili!!
0786143441