Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Mnyonyo ni mbegu zinazotokana na mti wa Mbarika. Sasa mwenye kujua zaidi atuhabarishe, manake hizi mbegu mi nasikia ni zaidi ya dawa!!
Kwa niliyoyasikia hasa toka kwa wazee wa zamani ni haya, naomba kujua ufafanuzi kwa mwenye kufahamu zaidi manake inaweza kusaidia wengi:
- Kwanza inatumika kama kinga dhidi ya pepo mbaya. (Majini na mashetani)
- Kipindi mtoto anapozaliwa, baada ya zile siku 40, nasikia anapakwa haya mafuta ya mnyonyo kichwani halafu ndo ananyolewa nywele(kwa baadhi ya makabila), nasikia ni kinga flani dhidi wa watoto.
- Inazuia kupata mimba kwa wadada. [Mbegu moja ukiinywa basi mwaka 1 hautashika mimba, ukinywa 2 basi yrs zitapita bila ujauzito]
- Ni dawa nzuri kwa magonjwa mbalimbali hasa ukichanganya na miti shamba mingine.
- Kikubwa nasikia inarespond 'Positively' ukiipa 'commands' na matokeo utayapata. Yaani ukiiambia kitu flani uakaweka na vitu flani basi utapata feedback kupitia hizo mbegu.
Mwenye kuzijua kiundani naomba ufafanuzi wa hilo plz. MziziMkavu, LIKUD
Kwa niliyoyasikia hasa toka kwa wazee wa zamani ni haya, naomba kujua ufafanuzi kwa mwenye kufahamu zaidi manake inaweza kusaidia wengi:
- Kwanza inatumika kama kinga dhidi ya pepo mbaya. (Majini na mashetani)
- Kipindi mtoto anapozaliwa, baada ya zile siku 40, nasikia anapakwa haya mafuta ya mnyonyo kichwani halafu ndo ananyolewa nywele(kwa baadhi ya makabila), nasikia ni kinga flani dhidi wa watoto.
- Inazuia kupata mimba kwa wadada. [Mbegu moja ukiinywa basi mwaka 1 hautashika mimba, ukinywa 2 basi yrs zitapita bila ujauzito]
- Ni dawa nzuri kwa magonjwa mbalimbali hasa ukichanganya na miti shamba mingine.
- Kikubwa nasikia inarespond 'Positively' ukiipa 'commands' na matokeo utayapata. Yaani ukiiambia kitu flani uakaweka na vitu flani basi utapata feedback kupitia hizo mbegu.
Mwenye kuzijua kiundani naomba ufafanuzi wa hilo plz. MziziMkavu, LIKUD
Last edited by a moderator: