Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,409
- 31,393
Ha hha ha ha! basi nitakuwa na walamua wengi sana maana ninaongea lugha 6 za kitanzania kwa ufasaha.Kave na we ni mlamua...avae...............
Mkezia rumburia
Ha hha ha ha! basi nitakuwa na walamua wengi sana maana ninaongea lugha 6 za kitanzania kwa ufasaha.Kave na we ni mlamua...avae...............
Ndio umetoka kuamka nini? soma tusharekebisha na tukaeleweshana au mkuu Memory zako zinachelewa kupokea news!Unahitaji shillingi 100 ya tuition aisee.M'bora ni mwanaume!?Wewe bado.
keba wamvira! kijana ena mwongo uuh tha kindu ani thimanya! lol!
<br />
<br />
Utakuwa genius.Ha hha ha ha! basi nitakuwa na walamua wengi sana maana ninaongea lugha 6 za kitanzania kwa ufasaha.
Mkezia rumburia
Kipemba, Kijita, Kibondei, Kipare, Kichaga (Rombo), Kisambaa, Kidigo.Utakuwa genius.
Ebu taja hizo lugha mkuu.