Fahamu maana ya baadhi ya misamiati ya Kipare

Unahitaji shillingi 100 ya tuition aisee.M'bora ni mwanaume!?Wewe bado.
Ndio umetoka kuamka nini? soma tusharekebisha na tukaeleweshana au mkuu Memory zako zinachelewa kupokea news!

AAu isjije kuwa na wewe unatoa adhabu hadi kwa vizazi vyangu vyote!

Tuache kasumba ya kukosa wote Miafrika ndio Tulivyo. By Kasena.

Karibu unywe Puya...
 
Kwenye facebook kuna mtu alianzisha 'VAASU"group lakini naona hakupata mashabiki.
Naamini pale pangekuwa uwanja mzuri zaidi.
 
Utakuwa genius.

Ebu taja hizo lugha mkuu.
Kipemba, Kijita, Kibondei, Kipare, Kichaga (Rombo), Kisambaa, Kidigo.

Nimeshindwa lugha hizi
Kikuria kwasababu kinahitaji energy wakati wa kuongea
Kihaya kwasababu lazima upoteze baadhi ya herufi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom