Mbowe ambana Waziri Mkuu atoe kauli juu ya masuala yanayokwaza demokrasia na utawala bora

Shardcole kwnai na wewe chadema ni yenu wewe ni mshabiki wa chadema na mfuasi wa lema yaani kinachokusumbua wewe shardcole unaijua chadema kwa mikutano ya hadhara na kuitikia peoples powerrrr lakini ndani yake hujui chochote zaidi ya kuongeza ruzuku za chama na wajanja kujilipa mishahara na posho.wewe unaandamana wenzako wanachukuwa picha za maandamano na wanawapelekea wahisani ili wapate pesa lakini najua hujui2 ikijua utajilaumu sana au kama hutaki kuamini wewe si ni mshabiki wa cdm uchaguzi ujao kagombee cheo cha juu cha cdm taifa halafu ishindane na mkaskazini utaona kitakacho kukuta.shardcole wewe ni mwanachadema wa kujitolea lakini wewe chama chao hawajitolei wanalipwa maana wao wanatumia umaskini wako kama mtaji wao wa kujipatia ruzuku ndo maana hakuna maandamano jimbo la HAI.

cheap propaganda hizo, njoo tabora uone jinsi harakati zinavyoenda na sio kuropoka tu, pia ukome kuniita tena mm masikin kwani hunijui unaongea na nani mwanharamu ww.
 
kwani ulio wataja hao huoni wengi wao wanatokea kaskazini hivi unaweza kumwambia nani kwamba benson kigaila hana tabia za ukaskazini?kuna uraia wa kuzaliwa na uraia wa kuomba sasa mtu kama benson kigaila au john heche hawa ni wakaskazini wa kuomba.

A stupidity thinking capacity.Tuntemeke mfuasi wa Shibuda
 
molemo-kwani john mrema ndie alieshinda arumeru?kama ndivyo mbona hakushinda vunjo alikogombea ubunge2010?

molemo acheni kuwahadaa watanzania ya kampuni yenu ya kutumia matatizo ya watanzania kama mtaji wenu wa kujipatia ruzuku za serikali ambazo ni kodi za watanzania, jua iko siku watanzania watakuja jua huo mpango wenu.
 
Hayo mengine utajibiwa na waliokuelewa, Ila kwenye swala la Lema umepotoka, Lema ni mjumbe wa kamati kuu as long as chama hakijaridhika na maamuzi ya mahakama na rufaa imeshawasilishwa mahakamani.
 
cheap propaganda hizo, njoo tabora uone jinsi harakati zinavyoenda na sio kuropoka tu, pia ukome kuniita tena mm masikin kwani hunijui unaongea na nani mwanharamu ww.

Mkuu nakuhakikishia mwisho wa Tuntemeke umefika.

Nilishauri asifukuzwe tangu kipindi kile alivyoanza uasi chamani kwa sababu nilijua mwaka huu tunaanza kupanga safu mpya za uongozi CDM na nakuhakikishia huyu Tuntemeke hatapata hata kazi ya kumfungulia Dr Slaa milango ya gari.

Nimhakikishie tu huyu Tuntemeke kuwa Mbowe atachaguliwa tena kwa kishindo kuwa Mkiti wa Chama na Dr Slaa atapitishwa kwa kishindo kuwa Katibu mkuu tena.

Halafu 2015 Tuntemeke akiwa hai atashuhudia Dr Slaa akila kiapo cha kuwa Rais wa nchi hii. Tuntemeke ajinyonge kama hapendi kushuhudia haya.
 
molemo-kwani john mrema ndie alieshinda arumeru?kama ndivyo mbona hakushinda vunjo alikogombea ubunge2010?molemo acheni kuwahadaa watanzania ya kampuni yenu ya kutumia matatizo ya watanzania kama mtaji wenu wa kujipatia ruzuku za serikali ambazo ni kodi za watanzania.jua iko siku watanzania watakuja jua huo mpango wenu.

A stupid Tuntemeke....
 
FJM
Mi nilidhani rais anapokuwa mgeni rasmi kwenye hafla za dini, na hasa dini tofauti na yake, hii inaleta balance nzuri ya speech zake, na kusignify unity.

Hapana mkuu wangu Kikatiba tunasema nchi yetu haina dini ila sisi raia ndio tuna dini zetu. Rais ama kiongozi yeyote ajishughulishe na maswala ya dini kama raia tu sio kutumia kofia alikabidhiwa kitaifa kuwakilisha maswala ya dini.

Kama amealikwa basi ataenda pale kama wageni wengine na asitoe hata hotuba maana yale ni maswala ya dini hana elimu wala uwezo nayo yeye pia ni mbumbumbu tu - Awe msikilizaji.

Jambo jingine muhimu ambalo FJM ameliacha na binafsi yangu sintoliacha kwa sababu najua ndio sababu ya Udini ni CSCCT kupewa dhamana ya kuongoza Elimu na Afya nchini. Hili liondolewe na wizara iunde idara zake maalum kwa kazi hiyo.

Shule zote za Makanisa na Waislaam ziwe Private waziendeshe wenyewe na zifundishe elimu dunia tu isipokuwa zile zilizojiandikisha kufundisha dini kama Seminaries.

Toka 1992 ujio wa Muafaka huu Tanzania imeingia ktk Udini na kujenga imani ya kuwepo mfumo kristu - This has been a problem and we got to solve it!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Bado una present a very weak argument mkuu.
Kazi ya upinzni si kulalama tu, bali hata kuonyesha njia tuelekeako.

Kwa Mbowe kuendelea kulalamika tu bila kuweka msimamo na hata sera ya utenganisho wa dini na serikali bado ataonekana kuwa a political novice.

Katika suala la Zanzibar Mbowe ,Slaa na wenine wamesikika wakilalama tu kwapani bila kusema kilichfanyika Zanzibar na Smz kujikanyaga suala lizama lina harufu si ya udini tu bali uelekeo wa uhaini kwa kutaka kuua muungano bila ridhaa ya pande zote.
Mboweanasubiri maji yamesha tulia ndo from a safe distance, tena Bungeni anatoa lawama zake.
Huo ni udhaifu!

matunda ya pesa za nape na ccm yao pole kwa kanza ya ubongo
 
Hapana mkuu wangu Kikatiba tunasema nchi yetu haina dini ila sisi raia ndio tuna dini zetu. Rais ama kiongozi yeyote ajishughulishe na maswala ya dini kama rais tu ana sio kutumia kofia alikabiudhiwa kitaifa kuwakilisha maswala ya dini. kama amealikwa basi ataenda pale kama wageni wengine tu na aistoe hata hotuba nmaana yale ni maswala ya dini hana elimu wala uwezo nayo yeye pia ni mbumbumbu tu - Awe msikilizaji.

Jambo jingine muhimu ambalo FJM ameliacha na binafsi yangu sintoliacha kwa sababu najua ndio sababu ya Udini ni CSCCT kupewa dhamana ya kuongoza Elimu na Afya nchini. Hili liondolewwe na wizara iunde idara zake maalum kwa kazi hiyo. SDhule zote za Makanisa na Waislaam ziwe Private na zifundishe elimu dunia tu isipokuwa zile zilizojiandikisha kufundisha dini kama Seminaries. Toka 1992 ujio wa Muafaka huu Tanzania imeingia ktk Udini na kujenga imani ya kuwepo mfumo kristu...

Nakubaliana na wewe kiasi: Kenye point ya kwanza, binafsi ningetaka tuachane na huu mkorogo wa wanasiasa kuhutubia makanisani au misikitini. Waje kama waumini na waondoke. Mkandara huu mwanya unaanza kuleta shida maana watu wanautumia kuunda mtandao na tunajua mambo ya mitandao ndiyo yaliyofikisha hii nchi kibla. Raia wana dini -fine, lakini mwanasiasa ukumbi wake uwe mbali kabisa na sehemu ya kuabudu. aje asali. basi.

Kwenye point ya pili, pia nakubadiliana na wewe. Kama taifa tufike mahali sasa tuwe na defination yetu sisi watanzania juu ya serikali kutokuwa na dini. Hapa naamanisha tu-define serikali kutokuwa na deni kwa mazingira yetu sisi. Shule zilizo chini ya madhehebu ya dini ziwe ni 'private school. Watoto wanaotoka kwenye familia ambazo hazina kipato lakini wanataka kujiunga na hizi shule basi serikali iweke mfumo wa kutoa financial assistance kwenye specific school on behalf ya hawa watoto.

Na kama issue itakuwa ni kutoa ruzuku (MOU kama ilivyo sasa) basi ili kuondoa zogo, ama serikali ifute kabisa au serikali iweke wazi ni maeneo gani itatoa subsidies (list) na hivyo dhehebu linalotaka kupata msaada wanatakiwa kufanya nini. Hii itaondoa malumbano yasiyoisha. Iseme tu tunafuta au kuanzia sasa tutatoa assistance kwa taasisi ya dini i.e inayolima mahindi, au inayotoa matibabu, au inayofagia barabara etc etc ili kila mtu ajue ni mambo gani yanakuwa funded.
 
molemo-ni lini mbowe amewai shinda kwa kuchaguliwa wa wajumbe wa mkutano mkuu kuwa mwenyekiti?

unasema chadema sio ya kaskazini huku unahakikisha kwamba mbowe atashinda uenyekiti na slaa kuwa katibu sasa huo si ndo ukaskazini wenyewe na unasema kwamba utawaondoa wengine uongozi ni kweli kwa sababu unatakiwa muwaweke wakina G.LEMA na MILYA pale makao makuu.eti lema kakata rufaa mbona haingii bungeni kama anarufaa acheni kuwahadaa watanzania naomba mwambie huyo boss wako kwamba hata kuwa mwenyekiti maana watu walisha jua mbinu zake za kupiga risasi juu ili apate uenyekiti kama alivyo pata uenyekiti baada ya kupiga risasi hewani kipindi cha bob makani au kumwambia mtei mkwewe amsaidie kuwa madarakani kama alivyofanya kipindi za zitto alivyochukuwa form ya uenyekiti cdm taifa.
 
Malalamiko kama haya juu ya CHADEMA tutayasikia sana. Hii ni kwa sababu kasi ya chama hiki hivi sasa inatisha.Hao wenye vyama visivyo na ukanda wamefanya nini so far ???
 
Mkuu nakuhakikishia mwisho wa Tuntemeke umefika.Nilishauri asifukuzwe tangu kipindi kile alivyoanza uasi chamani kwa sababu nilijua mwaka huu tunaanza kupanga safu mpya za uongozi CDM na nakuhakikishia huyu Tuntemeke hatapata hata kazi ya kumfungulia Dr Slaa milango ya gari.Nimhakikishie tu huyu Tuntemeke kuwa Mbowe atachaguliwa tena kwa kishindo kuwa Mkiti wa Chama na Dr Slaa atapitishwa kwa kishindo kuwa Katibu mkuu tena.Halafu 2015 Tuntemeke akiwa hai atashuhudia Dr Slaa akila kiapo cha kuwa Rais wa nchi hii....Tuntemeke ajinyonge kama hapendi kushuhudia haya.
Nakuhakikishia kwa sasa wakaskazini hamtapata kitu tena na uchaguzi si ndo mwakani naona mumeamua sasa kumtumia lema na josephine kutengeneza mtandao ila mtafeli2 na wewe hutakuwa mkurugenzi tena wa bunge na halmashuri na kwa bahati nzuri chama kimekuolea na mke sijui utaishije kibarua kikiisha mwakani ni vema ukaendelea na project zako za ziara ili uendelee kupata posho za chama maana mda unakaribia kuisha.
 
Mimi siamini kama cdm ni chama cha ukanda,udini au ubaguzi wa aina yoyote ile.

kingekuwa hivyo hata baraza kivuli la mawaziri lingelenga kwenye ukanda huohuo lakini karibu mikoa yote yenye wabunge wa cdm wapepata.mingine zaidi ya mmoja km mbeya,dsmkwa mtoa hoja, singida, mwanza n.k.

mikoa ambayo ni mbali kabisa na kanda ya kasikazini, ila ninacho weza kusema ni kwamba mkono mtupu haulambwi, palipo na tai wengi ujuwe pana mzoga.

uzushi wote wanaozushiwa cdm siyo bure kuna kitu kipo na kitu chenyewe ni ukombozi, haya yote ni mapito hakuna kitu cha bwerere, nauona ukombozi uleeeeee unaletwa na cdm.
 
Hayo mengine utajibiwa na waliokuelewa,
Ila kwenye swala la Lema umepotoka, Lema ni mjumbe wa kamati kuu as long as chama hakijaridhika na maamuzi ya mahakama na rufaa imeshawasilishwa mahakamani.
mbona haingii bungeni kama amekata rufaa mahakamani najua umelewa ushabiki2 hata chongo humwita kengeza ushabiki ukizidi!
 
Siasa za udini na ukanda ni za CHADEMA, Sumbawanga mmesahau? na makanisani kila siku mnaambiwa muwe chadema, mnafikiri hatujui? Na kuhusu Ukanda ni Mbowe mwenyewe alisema bungeni (lililopita) kuwa anataka Tanzania igawanywe kikanda na Nassari baada ya kupata Ubunge akasema wazi wazi anataka Nchi ya Kaskazini.

Hivi huwa mnalianzisha wenyewe halafu mnasukumia wengine, Amma kweli anaewafata nyinyi kapotea nafsi yake.
 
Acha waseme sana, lakini jitihada zetu za kuikomboa nchi na watanzania wote hazitakoma. Hakika mwisho tutapata ushind na kuwaondoa hawa mabwenyeye.
Pendeni kuwa wakweli, tena napenda kutoa wito kwa Watanzania wote tuwe tunatafakari kwa kina na kujadili, pamoja na kupima mambo. Mimi ningependa watu watakao ingia kwenye siasa waingie kufuatana na hisia zao pamoja na msukumo wao wa kisiasa na si kwa ukanda wao. Hatuwezi kujenga nchi kwa kuacha watu ambao ni wazoefu au wanauwezo fulani eti kwa sababu ni wa kanda fulani, pia hatuwezi kuacha kutumia watu waliokomaa kisiasa na waadilifu halafu tukachukua watu ambao bado hawajakomaa kisiasa baadae zikatoka kauli za kukidhoofisha chama halafu tuseme eti itifaki ya ukanda ilizingatiwa.

Ili mafanikio yapatikane ni lazima kuwe na watu ambao wana hofu ya Mungu, wachapa kazi, waadilifu na wazalendo hivyo itakuwa rahisi kwa watu wa namna hii kupigania ukweli, na si vinginevyo.

kama mkutano umefanyika na watu waliopatikana kwa siku hiyo ndio hao, pengine wengine walishindwa kufika hakuna tatizo, na pengine hao waliokuwepo hawakuwa wamejiandaa sasa utalazimisha mtu azungumze.

tusipende kutumika na chama cha ccm kwa kuleta mijadala ambayo haina mantiki, nchi inaisha huku tunatumia sababu ambazo hazina msingi kuchafua chadema. Tulete hoja zenye mashiko mwisho wa siku wangezungumza watu mbalimbali mngesema waislamu walikuwa wengi kuliko wakristo au wakristo mbona walikuwa wengi kuliko waislamu.

Mtu anapojiunga na chama huwa akubaliwi au akataliwi kwa sababu ya kabila lake au dini yake bali kwa sababu ya utashi wake yeye mwenyewe na ana haki zote za kugombea nafasi za chama na kuwa kiongozi hivyo vvyote vinapatikana kulingana na sifra za mgombea huyo na si vinginevyo. sasa mnataka mtu akiwa anafaa akataliwe kwa sababu ya ukanda, huu ndio utakuwa ubaguzi.
 
Back
Top Bottom