Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Kama Kikwete amekuwa raisi na mmemchagua kwa kura za kishindo ,kwa nini Zitto asiwe raisi?Kaka sahau hizo ndoto za mtu kama zito rais, mie ntahama nchi hii kama mtu kama zito ataweza kuwa rais.
Kama Kikwete amekuwa raisi na mmemchagua kwa kura za kishindo ,kwa nini Zitto asiwe raisi?Kaka sahau hizo ndoto za mtu kama zito rais, mie ntahama nchi hii kama mtu kama zito ataweza kuwa rais.
Nimekubaliana na wewe kabisa na suala la kodi limekuwa msimamo wangu kwa muda mrefu. Mchango wangu kwenye Bajeti kuu na ile ya nishati na madini nilisema hili wazi kabisa.Mkuu mimi sina tatizo la hao jamaa kusaidia wananchi (after all we need more of the same...)
Lakini haya mambo ya kwamba Barrick hailipi kodi zinazopaswa kwa kisingizio kwamba haijapata faida... (kumbuka madini wameshayachimba na by the time wanapata faida watakuwa wameshamaliza madini na kuondoka nchini) Pia hili suala la kuidai serikali mapesa in terms of vat returns....!!!
Umesema kwamba umekuwa mkali (and since umesimamia sheria mpya kuandikwa..) basi mkuu haukuwa mkali enough sababu ungekuwa mkali sana hata ungelazimisha hizi sheria zifanye kazi retrospectively.....
Mkuu najua hii sio kazi yako peke yako lakini tuwe wachungu na mali ambazo wajukuu wametukopesha..., kumbuka na wewe ni kama mlinzi uliyepewa silaha kulinda hizi mali..., anything goes wrong we will all be the ones to blame..., am sure tungekusanya kodi ipasavyo tungeweze kujenga hata University hapo Kigoma....!!
Read my signature
ZZK utahukumiwa bure kwa watu wasiofahamu nini jukumu la wawekezaji kwa jamii inayowazunguka. Ndo maana mogogoro na wananchi haiishi Geita, Nyamongo Mvomero nk. Pole sana this is Tanzania. Instead of praised and b among tanzanian heroes utakuwa ADUI WA WA TZ.Ninaamini makampuni yana jukumu la kusaidia jamii. Kwamba Barrick walisaidia ujenzi wa shule ya Sekondari Jimboni kwangu, Jimbo ambalo lipo nyuma sana kimaendeleo ni jambo la kushukuru na sioni tatizo lolote la kimaadili.
Nadhani maelezo yako yanatoa mwanga kwa kiasi fulani lakini pia yanaweza kupwaya katika maeneo fulani fulani.
Kama nimeelewa hii article vizuri ni kwamba 'author' anauliza Zitto wa 'pre-mabati toka Barrick ndiyo huyo huyo wa after-mabati? Na chimbuko la swali lake (kama nimeelewa vizuri) anaangalia 'ukali' wako kwa hawa Barrick kabla hakujawa na huu msaada kwa shule ya jimboni kwako na sasa.
Na katika kujenga hoja yake nadhahi mwandishi atakuwa amejiuliza je, unaridhika na mchango wa Barrick kwa sasa? Kama hauridhiki kwa nini hauko 'vocal' kama ulivyokuwa huko nyuma? Na katika kupekuwa ndio 'author' akaja na hii theory ya msaada toka Barrick na 'supposedly' upole wako siku hizi. Nadhani hii ndio hoja ya kujadili.
Ili mradi watoto/vijana wetu wanasoma sekondari sina mgogoro. Je kuna bakshishi yoyote walikupa hawa jamm. Please declare interest if any. Maana ni mbunge pekee uliyekataa posho ya vikao(sitting allownce). Please clarify.
Ukali upi unaousema sasa?
Lakini jambo la muhimu sana kujua katika siasa, a politician grows. I do. I must graduate from being a divisive figure to a uniting figure. I must understand the sector and engage them. I have been doing that. Siwezi kuwa mpayukaji tu.
Sasa kulikuwa na ulazima gani wa kupeleka msaada kwenye jimbo lako ambalo liko km 600 kutoka mgodini ilihali kuna majimbo mengi tu Shinyanga hayana sekondari. Na mbona baada ya msaada huo umekuwa kimya sana juu ya sekta ya madini tofauti na kipindi cha nyuma. Je hilo halikuwa jaribio la kukunyamazisha.
Naomba majibu sahihi, halafu mkuu mbona hujibu maswali yangu?
Kaka sahau hizo ndoto za mtu kama zito rais, mie ntahama nchi hii kama mtu kama zito ataweza kuwa rais.
Lakini jambo la muhimu sana kujua katika siasa, a politician grows. I do. I must graduate from being a divisive figure to a uniting figure. I must understand the sector and engage them. I have been doing that. Siwezi kuwa mpayukaji tu.
Mmmmmmmh Ni Zitto huyu huyu? Pesa ni mbaya wa jameni!