Reginald Mengi Lawyers respond (video), goes to Court; sues Rostam Aziz

- JF kwa ma-professor, bwana eti ushahidi wa Mengi kule juu ni wa kitoto, that is wasup!

FMES!

Kumbe umenistukia kuwa mimi ni Profesa! Thanks but no thanks. Huko simo.

Soma, uelewe. nimesema maswali yaliyoulizwa ni ya kitoto na si ushahidi. Halafu ili kukurahisishia, nimeainisha maswali hayo! Sasa wewe kwa vile umeshindwa kujibu hoja yangu unadumbukiza masuala ambayo hata sikuyazungumzia! Ambayo, hata hivyo nayo naona ni ya kitoto!

Amandla.......
 
Anachokifanya huyu Rais wa CCM ndugu RA ni uhuni, alichotakiwa ni kwenda kujibu hoja ni si kutoa tuhuma. Huu ni usanii wa kutaka kutia rangi kwenye rangi ili kuififisha iliyotiwa kwanza.

Kipindi cha mitambo ya Dowans kupitia vijigazeti vyake alianza kumchafua Mwakyembe. Huyu mu IRAN ni hatari sana.

I wish someone akajitolea kum*&%@te huyu jamaa, simpendi kabisa maana Serikali kaitia mf*k$ni
 
Adv.Agaptus Nguma amenikuna kwa MBWEMBWE zake wakati akisoma maswali ... inafaa ampe coaching mwenzake M.Ngallo ambaye ame-sound kama vile ndo kwa mara ya kwanza amekaa mbele ya kadamnasi HONGERA Adv.Nguma...

Si utani, jamaa kweli ni mzuri kwenye facial expressions!
 
Hivi kwa nini hili la wizi wa bilioni 40 kule NBC Mengi hataki kuwa wazi nalo?

akishajibu hilo itakuwa si vibaya kumuuliza ilikuwaje alalame mjini kumjaa wahindi halafu alipopewa kiwanja na nyumba akamuuzia mhindi (FIDAHUSSEIN) ambaye naye ni Mhindi?

Akishajibu hilo si vibaya akawa wazi kuhusu lile BENZI la walemavu ambao mpaka leo hawajaliona...
 
Hivi kwa nini hili la wizi wa bilioni 40 kule NBC Mengi hataki kuwa wazi nalo?

akishajibu hilo itakuwa si vibaya kumuuliza ilikuwaje alalame mjini kumjaa wahindi halafu alipopewa kiwanja na nyumba akamuuzia mhindi (FIDAHUSSEIN) ambaye naye ni Mhindi?

Akishajibu hilo si vibaya akawa wazi kuhusu lile BENZI la walemavu ambao mpaka leo hawajaliona...


Ushauri wa bure ni kwamba, mngesubiri haya mambo ya Ujambazi wa Rostam yapoe kwanza, sasa hivi hakuna mtu mnayeweza kumnasa kwasabababu watu wengi wanajua kuwa mnajaribu kumnusuru bwana wenu Rostamu kwa kuhamishia mada kwa wengine. Msifikiri kwa kutumia visigino......
 
Kukopa si kuiba. Mwizi ni Rostum wa Kagoda wa Dowans wa EPA.
sawa sawa kabisa...hii ndio hoja!!!mtu akikopa asipolipa ni tatizo la bank ni mkopaji. they have collateral/security with them!
 
Hongera mno kwa Mh. Reginald Mengi mwanakwetu. Ababaishwe kwanza huyo Rostam anafanya nini Tanzania/ Tunamoliza What is he doing in Tanzania? Tanzanians are Black Africans and he is Fanta White he should have gone to his country Iran or Iraq whatsoever. Hawa watu ndio wanatuletea kashkash Tanzania na bado kidogo watanza kununua watu na kuwaplant bombs.

Tanzania wake up and kick them off the country. Tunahitaji mtu kama Field Marshal the Late Iddi Amini Dada na bado kidogo tuu wataona kitemaukuni.

MZEE MENGI HOYEEEE MTETEZI WA WANYONGE HOYEEE
 
Kuna watu wanaongea pumba humu...aisee!!! eti ...Hapa, Mkuu uliyepigwa ganzi ni wewe. Hivi katika hilo bunge ni Rostam peke yake ambaye anakuwa kimya wakati hayo maswala yanazungumziwa? Hivi kweli hauoni uzito wa mtu kutokulipa bilioni 28 ambazo anadaiwa? Hauamini kweli kuwa hizi pesa zingelipwa na mdaiwa zingeweza kuwasaidia wananchi wa kawaida kama zingetumiwa ipasavyo? Au, Mkuu, hauoni yote hayo kwa vile ni Rostam aliyeuliza?

Kwani umeambiwa izo hela ndio serikali imeshazikwa,,hazitarudishwa kamwe???? au kudaiwa ni dhambi?????....acha ligi braza..embu simamia ukweli.!!
 
Last edited:
Ala. Kumbe ni wale tu ambao wameshutumiwa kwa ufisadi ndiyo tunategemea wazungumze kukemea ufisadi! Kama sivyo, basi kwa nini mumpige mawe Rostam peke yake kwa kukaa kimya ambapo hata hao viongozi safi nao wanaka kimya?

- Kiongozi aliyeshutumiwa na Mengi ni Rostam, sio viongozi wengine one at a time!



Hapa ndipo mnapochanganya mambo. Hakuna mtu anayedai kuwa kudaiwa deni ni ufisadi. Ufisadi ni kukaa bila kulipa deni katika wakati muafaka. Kwa kufanya hivyo unapunguza mzunguko wa pesa. Swala si kuwa Mengi amelipa deni. Swala ni alipaswa kulipa lini na amelipa lini! Kama unadaiwa, haulipi unachotakiwa kulipa na anaekudai anapata kigugumizi kukuchukulia hatua ( wakati kila kukicha walala hoi wanauziwa vibanda vyao walivyoweka kama collateral), basi tutakutia katika kundi la mafisadi!

- Sheria inasema nini kuhusu kukopa na kulipa?



Unafik ni ufisadi. Wabongo wengi ni wanafik kwa sababu leo tunawalaumu wahindi kwa kukaa mjini wakati ni sisi wenyewe tuliowauzia nyumba ambazo tulipewa baada ya wao kunyang'anywa! Kwenye hii ishu ya Mengi ni kuwa alipewa kwa upendeleo hicho kiwanja. Hatujui bei aliyopewa. Lakini badala ya yeye kutimiza kile alichodai kuwa kinamtia uchungu ( upungufu wa watu weusi katikati ya mji na kuwalaumu wahindi kwa hilo) akageuka akawauzia wahindi wale wale. Kama kweli alitaka watu weusi wawepo pale kwa nini hakumuuzia mtu mweusi mwenzake? Au aliposhindwa kukiendeleza, kwa nini hakukirudisha serikalini ili apewe mtu mweusi mwingine?

- Kama unafiki ni ufisadi basi Tanzania hatuna mafisadi, kuuza kiwanja chako sio ufisadi labda uuze cha mwingine bila idhini yake, sitaki kuamini kwamba huu ndio ushahidi aliopeleka Rostma Takukuru, kwamba Mengi kauza kiwanja chake kwa sababu kilikuwa uhindini!


Ufisadi sasa umekuwa kutokutaja kampuni anayomiliki? Au ufisadi umekuwa ni kutoajiri watu 6000? Kila mtu anajua kuwa kampuni ya Caspian ni ya wakina Rostam. Badala ya kumsubiri yeye ataje kwa nini nyie mnaembishia msionyeshe uongo wa maneno yake kwa aidha, kuonyesha kuwa Caspian hahusiki nayo, b) haajiri watu 6000. Na je akija akikuonyesha mashamba yake ambayo ameinvest yanayoajiri takriban watu hao?

- Fundi hebu taja majina ya kampuni za familia ya Rostam kwani tatizo ni nini kuzitaja kuliko ukali usio na faida, just name them mkuu tuzijue!

Haya sasa. Haya ya Takukuru yanahusika nini na ufisadi wake? Shutuma zipo tayari kwenye public arena, hao Takukuru watazuia nini? Ila kama sheria inazuia kuzungumzia jambo lililo chini ya uchunguzi, ni haki yake kudai itumike. Wa kulaumiwa hapa ni walioitunga sheria na si Rostam. Ni haki ya Rostam kuogopa kuwa kuzungumzia hayo masuala aliyoomba yachunguzwe kunaweza ku-prejudice wale wanaotakiwa kutoa hukumu. Na ni haki ya Takukuru kumkatalia kama wanaona maombi yake hayana msingi. Lakini kote huku hakumfanyi Rostam kuwa fisadi.

- Kesi ya ufisadi haipelekwi Taukukuru kwenye rushwa, ndio maana tunamshangaa kulikoni? Sasa anasubiriwa kwenye mahakama ambako Mengi keshafungua kesi tayari toka Jumamosi, sio Taukukuru kwa Hosea, Bwa! ha! ha! Hoseaaa!



Naam. Ni mtazamo wangu. Kamati ya Mwakyembe haikusema kuwa Rostam alikwepa bali alitoa udhuru kwa siku aliyotakiwa kwenda. hakuna kilichowazuia kumuita siku nyingine.


- Kiongozi wa taifa Rostam alikwepa kamati ya bunge, sasa mbona amekimbilia Kempiski? Yaaani hii haikushitui basi mbona kazi ipo sana hapa!

Hapa ndipo unaponikatisha tamaa. Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa sababu tu iliyomzuia Mengi kusema ni kwa sababu ameshafungua kesi dhidi ya Rostam kuhusu ufisadi wake! Kesi gani hiyo?

Hapana, Mkuu. bado mmepigwa ganzi.

Amandla........

- Mengi amefungua kesi kwa hiyo hawezi tena kuongelea hiyo kesi majukwaani, isipokuwa mawakili wake ni suala la common sense hata bila ya mimi kupoteza muda kutoa darasa!

Mkuu Mengi amewasha moto sasa tunasonga mbele hatuweiz kugeuka mawe, tunasubiri mahakamani tuone Rostma ana ushahidi kiasi gani alioupeleka Takukuru ya Hosea Bin Richimonduli, Bwa! ha! yaani Hillarious!

Later!

FMES!

Otherwise tupo pamoja sana mkuu wangu kumkoma nyani!
 
Kumbe umenistukia kuwa mimi ni Profesa! Thanks but no thanks. Huko simo.

Soma, uelewe. nimesema maswali yaliyoulizwa ni ya kitoto na si ushahidi. Halafu ili kukurahisishia, nimeainisha maswali hayo! Sasa wewe kwa vile umeshindwa kujibu hoja yangu unadumbukiza masuala ambayo hata sikuyazungumzia! Ambayo, hata hivyo nayo naona ni ya kitoto!

Amandla.......

- Unahitaji kuwa Professor kuyaita majibu ya mawakili wa Mengi kwamba ni ya kitoto, sijaona anywhere ulipo-prove hilo kwamba ni ya kitoto, Rostam ametoa shutuma ambazo zimejibiwa ipasavyo na mawakili wa Mengi, sasa labda uchambue wapi kuna utoto ambao sisi wengine hatuuoni!

- Sijaoina hoja mkuu iko wapi? Tunachojali hapa ni hoja, ya utoto na ukubwa ni out of the ishu, kama una hoja against maelezo ya mawakili wa Mengi yaweke tu hapa tuyachambue! Mimi siamini kwamba hoja zako ni za kitoto, ila ninaziona ni pungufu tu na ninaweza ku-prove hilo anytime!

Respect.

FMES!


POINT BLANK: Rostam, will you address Kagoda please?

Honourable Rostam Aziz, MP,
Salaams,

FOR long I've been reading much stuff about you. Forgive me for writing this epistle purposely and specifically addressed to you.

When you faced the media, many thought you would come up with something reasonably convincing and new with regards to being named among five sharks as far as sabotaging our country is concerned. But nay!

Let me humbly admit, I heard Reginald Mengi''s damning allegations that you're one of the most notorious economic sharks the country has ever seen, thanks to being behind almost many stinking wheel deals. Why didn't you address this when you faced the media? Do you think calling Mengi a whale will make his denting allegations do away?

I, too, heard your ballyhoos and hoo-has regarding these allegations. Can I ask you a few questions if you don�t mind? Why do you want to jump a smoking gun with regards to the allegations fired by Dr Harrison Mwakyembe, MP that you are vampiric Kagoda, to begin with?

I understand sir. When Mengi named you, you said you�d never take it with him given the fact that he is as old as your father. Well, now that you surfaced with such much damning allegations that Mengi said are devoid of any convincing truth. Does it mean Mengi has ceased to be of your father's age?

Secondly, you said Mengi's criminality is to loan money from the late NBC. Perfect. �Is loaning a crime to deserve calling Mengi a whale really? Was the issue whether Mengi is a whale or whatever; or you being corrupt and behind Kagoda fake company that stole money from BoT (EPA)?

Also before I forget, what have you to say with regards to what one of the former TANESCO bosses referred to as PM�s partner in Richmond scandal that showed Edward Lowassa the door. Do you remember? Do you remember Richmond's address was symmetrical to that of your Caspian company?

Let me remind you. Facing the parliamentary select committee, this person said the �partner� behind Richmond theft is you. And given that you know the owner of Dowans which is the sister to Richmond as Speaker Samuel Sitta once put it, how connected is he to you? Will you please shed light on this?

Another question sir, you admitted to have loaned the money that you're still paying. What�s wrong with Mengi doing the same? Is this an indirect admission-cum-implication that Mengi does the same as you do? So he has no moral authority to accuse you? Can you tell us the banks or government institutions from which you loaned the said money, when and how much.

More on Kagoda theft and Mengi�s debts, don't you see that the debtor is entitled to obtaining debts but not the thief as in the case of Kagoda and Richmond?

Another question sir, why did you dance around instead of shedding light on Kagoda? What have you to say regarding the allegations by Dr Mwakyembe? Let me remind you.

Dr Mwakyembe said you're using your media empire gotten by the money stolen from BoT by using Kagoda to tarnish the image of others, specifically those who point fingers at you just like Mengi and Dr Mwakyembe. Is it true or false?

I know, you brought Anche Mwedu Company to the agora. Did you intend to show that whilst Mengi says you're Kagoda, he too is unknown of Anche Mwedu?

Let me emphasize hither. Will Mengi's wrongs cleanse yours really? Can Anche Mwedu take away Kagoda?
If you'd be serious and sincere, you firstly have to dwell on cleansing yourself instead of using tarnishing tactics as means of doing so. True, what you�re doing is ''he says I am this, he, too, is that�''.

Otherwise it does not make sense. For this is not what people want to know. They would like to see you putting records straight as far as Mengi's allegations are concerned by putting your house in order. The ball is still in your court, sir.

Another denting thing, if you knew Mengi swindled the late NBC so as to ultimately fell it, why didn't you divulge this before so as to wait till he named you? Isn't this vengeance?

I should also remind you sir. Your defenders-cum-partners averred that Mengi erred (in their eyes) to have named holy names. But again, you're doing exactly the same! I'm anxiously waiting to hear what Sophia Simba and George Mkuchika will say. Did you consult them before thundering and stealing thunder?

Sir, you remind me of childish tricks I used to employ when I was cornered. When I was a kid, I used to steal sugar. Whenever I was caught or suspected, I would jump on witch-hunting for the one that reported me. After knowing who it was, I would tell mom, ''He, too, has stolen sugar. Mom then used to tell me: �Why haven't you reported him or her before?'' I used to end up in shame and being punished.

You know what? When cornered, the vulture cries wolf.
Sir, allow me to wrap up hither as I avoid making a missive. I know. You've a lot to do especially at this pressing time of saving the face. But importantly, please say something about Kagoda and who you are to it.

Mind you, our people are not stupid. They cannot subscribe to every nonsense and lies. I thus strongly recommend that you hit on the point.
 
a)Ndugu Mengi badala ya kusimama na kujibu hizo shutuma mwenyewe ametumia surrogates. Mtu unaweza kuhisi kuwa amefanya hivi ili aweze kuji-distance baadae kutokana na hayo yatakayosemwa. Kwa nini hakufanya kama alivyofanya aliyemshutumu ili kama kuna fall out yeyote kutokana na haya imkute yeye na si hao aliowatuma?

b) Ndugu Mengi anauliza maswali ya kitoto.

i)Badala ya kusema, tarehe fulani fulani Mheshimiwa Rostam ulikutana na afisa fulani wa benki mahali fulani ambapo mkakubaliana kuhusu mkopo kwa kampuni ya Dowans ambao ulithibitishwa na barua ref: namba fulani fulani na ulilipwa kwa mafungu kdha wa kadha kwenye akaunti kadha wa kadha. Badala yake anauliza generalities.

ii) Badala ya kutuambia kuwa hiyo kampuni ya Caspian unayojivunia, mbona fulani na fulani ndio walioorodheshwa kama wakurugenzi na wewe haumo? Mbona hiyo kampuni inadaiwa na TRA kiasi cha shilingi kadhaa kama malimbikizo ya kodi? Yeye anataka Rostam ndiyo ataje makampuni hayo? Ili iwaje? Kama anayajua, si angeyataja tu ili tuone kama Rostam atakuwa na jibu?

iii) Kama Mengi anajua kuwa Rostam alikuwa anaenda benki kujadili kuhusu Kagoda, kwa nini asiseme tu kuwa tarehe fulani na fulani ulienda benki ukakutana na fulani mkajadili masuala ya Kagoda! Anaogopa nini?

iv) Kama Mengi anajua kuhusu uhusiano wa Rostam na wamiliki wa Richmonds kwa nini asiuweke wazi? Hayo maswali ya polisi ya nini?

Rostam angalau aliweka shutuma zake wazi badala ya kuzunguka zunguka. Nyingine Mengi ameweza kuzijibu na nyingine amekaa kimya. Nyingine, majibu yake yamezua maswali zaidi. Lakini hivi ndivyo ilivyotakiwa. Sio huku kuja na platitudes.

Amandla.........

Una bore mkuu!!!
 
Wanabodi nataka kuuliza kitu kimoja hapa...kusema kweli nimechemka!
Ninatatizwa na sheria zetu hasa pale watu wanaposema Mengi achukue ushahidi wake mahamani?..Je, huu ndio utaratibu wa kufungua mashtaka nchini yaani unakwenda mahakamani kufungua mashtaka ukiwa na ushahidi upi na unamwona nani?..Kisha kesi yako itaendeshwa vipi na mtu gani maanake sielewi kabisa ikiwa unapeleka ushahidi kwa mhukumu ili ushahidi huo upate kufanya kitu gani!.

Pili ikiwa mimi nafahamu fika kwamba Rostam ana passport mbili, je ni ushahidi gani ambao mimi kama shahidi natakiwa kuupeleka!.Haiwezekani nikawa na copy ya pass yake wala siwezi kuwa na form za pass hiyo, sasa hapa ni ushahidi upi unaotakiwa!..maanake navyofahamu mimi nachotakiwa kufanya ni kutoa statement Polisi ambayo itakuwa ufunuo wa mashtaka (madai) hayo kisha wao ndio watafanya uchunguzi kutokana na statement yangu ili kupata huo ushahidi wa kufungua mashtaka dhidi ya Rostam...
Yaani najaribu sana kufikiria huu ushahidi ambao unadaiwa kila siku na viongozi wetu wakati wakishtumiwa kwa jambo, huwa ni ushahidi wa aina gani?..

Jamani hivi kweli nikimwona mwizi nikaenda kushtaki natakiwa kwenda na Ushahidi?.. Ushahidi gani wakati mali iliyoibiwa ndio ushahidi.. Ebu nifungueni macho kidogo, tuseme nimemwona Mtu fulani (tuseme Chakubanga) akiiba na nataka kufikisha ujumbe huo kwa wahusika wanaotafuta mwizi (Polisi) nikiwa kama shuhuda wa wizi huo ni ushahidi gani natakiwa kuuwakilisha kuwawezehsa Polisi kufanya uchunguzi!
 
nimesoma maoni yote tangu mwanzo mpaka hapa ninapoandika. Personally siamini kama Mengi ni msafi sana, kwani naye ana mengi yanayosemwa juu yake na baadhi yake hajaweza kuyatolea majibu/maelezo. Hata maelezo yake ya kuwa kampeni yake dhidi ya mafisadi ni katika kumsaidia JK yanatia utata kama ni kweli au naye anataka kuwa karibu na mkuu wa kaya, wengine tunamuona JK kama sehemu ya kukwama kwa jitihada ya mapambano dhidi ya ufisadi, ndiyo maana Hosea na Mwanyika bado wako hapo walipo.

Lakini mapungufu ya Mengi hayamuondolei haki ya kutoa maoni yake, nafikiri ni haki ya msingi, na ni jukumu ya aliyetuhumiwa na Mengi (RA) kuthibitisha vinginevyo. Kwangu mimi, haitajalisha hata kama nitajua Mengi ni fisadi lakini bado ningependa RA ajibu tuhuma dhidi yake na siyo kumlipua mwenzake.

Naona RA amefanya maksudi na yeye kutoa tuhuma dhidi ya Mengi akifikiri hii ni TZ ya enzi zile ambazo, mtuhumiwa alikuwa anamaliza tuhuma kwa kuanzisha tuhuma dhidi ya aliyemtuhumu. AMECHELEWA.
 
As Rostam approaches PCCB: Mengi goes to court



THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

IPP Limited Executive Chairman Reginald Mengi has filed a formal suit at the High Court in Dar es Salaam demanding at least 10.5bn/- from Igunga Member of Parliament Rostam Aziz for publishing false and defamatory statements against him through various media outlets.

Advocate Michael Ngalo filed the suit on Monday this week, a day after Rostam made the said statements at a press conference in the city.

Rostam, who apart from his parliamentary role is also a prominent local businessman, is said to have used the press conference to falsely and maliciously link Mengi with various underhand business dealings in the past.

This is the latest development in the heated face-off between the two, whereby on Tuesday this week Rostam handed over to the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) written testimony of his accusations against Mengi.

According to the plaint of the suit filed by advocate Ngalo, the published defamatory statements implied that one of Mengi's companies, Anche Mwedu Limited, borrowed billions of shillings from the National Bank of Commerce (NBC) in the 1980s, and subsequently refused or defaulted to repay the loan.

Rostam is also alleged to have claimed that Mengi ''fraudulently took or stole or swindled 28bn/- from the NBC; bankrupted NBC; and is a chronic debtor, dishonest and uncreditworthy.''

The Igunga legislator is further claimed to have falsely implied in his statements that the IPP boss obtained Commodity Import Support (CIS) funds fraudulently, and forced the National Investment Company (NICO) to purchase shares in Interchem Pharma Limited.

It is also alleged that, according to Rostam's statement, TANPACK Industries Limited collapsed or went into bankruptcy because of a ''secret'' loan that Mengi took from NBC in that company's name, and used for purposes other than those intended.

''The plaintiff states that the collapse or demise of TANPACK Industries Limited was neither caused by him nor by the debt it (TANPACK) owned to NBC, as alleged by the defendant, at all. The defendant's allegations to that effect are wrongful and false,'' said the plaint submitted to the High Court.

Further redress is sought for Rostam's implied statements that Mengi is a racist, defends indigenous people for personal gain, and sold off to an Indian a piece of land that he was given freely by the government in the (Dar es Salaam) City centre.

The plaint also takes up issue with various other implied Rostam statements, including that Mengi cannot run or manage any business successfully; obtained his wealth ''illegally, dubiously and fraudulently''; hates or envies others who are successful in business; has a bad record of killing his own companies to avoid paying debts and taxes; and is therefore a tax evader, debt defaulter, corrupt person, and unethical businessman.

Apart from the 10.5bn/- in damages, the plaintiff is also seeking a High Court order for the defendant in the suit to retract his afore-mentioned statements, plus a permanent injunction restraining the defendant, his agents, servants and workmen from repeating, publishing and circulating the 'falsehoods' contained in the said statements.

Mengi is also asking the court to issue a permanent injunction restraining Rostam from making and publishing any matter concerning or touching on him (Mengi) personally and his businesses, without his (Mengi's) prior consultation.

The plaintiff is seeking a High Court order for unconditional apology to himself for ''each and every false matter uttered, published and circulated by the defendant,'' that a draft of the retraction and apology is submitted to him (plaintiff) for approval, and that it be published in three consecutive issues of all mainstream local newspapers.

These include Daily news, THISDAY, The Citizen, Majira, Mtanzania, The African, Tanzania Daima, Uhuru, HabariLeo, Nipashe, The Guardian, and Business Times.

On the matter of damages, the plaintiff is asking the court to order the defendant to pay him 10bn/- in general damages, 500m/- in punitive damages, interests on the decremental sums at the court rate of 12 per cent from the date of award until full and final payment, and costs of the suit.
 
Last edited:
laa haula....
lets hope Mengi's lawyers did their homework well isije ikawa kama wanasheria wa PCCB - build a case in 2years and discover it has flaws in only 1month!!! phewww!!!
 
Back
Top Bottom