TreasureFred
Member
- Feb 25, 2008
- 64
- 3
INVISSIBLE HESHIMA YAKO MKUU AND THANKS FOR GOOD WORK.
Wana Jamii nimsoma Nyaraka za Mzee Mengi/Ngalo na maelezo yake yote,nitaweka hapa annalysis ya malipo alofanya ukizipitia document zake utaona kuwa MENGI hajalipa madeni ya ya import support za ACHIMWENDU, zingine hajalipa na ktk statement yake alosoma Ngalo amethibitisha kauli ya RA kuwa mengi hupoteza ushahidi ninanukuu( NBC IMESHINDWA KESI KWA KUKOSEKANA USHAHIDI WA KUTOSHA WA MADENI YA ACHIMWENDU) hiyo ni sehemu ya statement ya Ngalo.
Total amount ya Achimwendu ktk Import support ni zaidi ya Billioni 97,alicholipa ni 173m only,na amekiri kuwa kesi wameshinda kwa kuwa ushahidi haukuonekana na hapa wana proove kauli ya RA kuwa MENGI bingwa wa kupoteza ushahidi.
Ukisoma document ya Ngalo mengi anakana kufilisika lakini DALILI moja wapo ya kampuni kufilisika ni pale ambapo mishahara ya wafanyakazi huanza kulipwa baada ya siku 30 za kazi,Mfano nikiwa naandika muda huu wafanya kazi wa NIPASHE,GUARDIAN(IPP) hawajalipwa mishaharaya mwezi ulopita,nimefanya uchunguzi wangu mishahara huanza kulipwa kuanzia tarehe 5 mpaka 10 ya following month means baada ya siku 35 mpaka 40.Ngalo amesema si kweli wamefilisika lakini hii ni indication moja wapo.
Ukiangalia document alotumia Ngalo kuonyesha kuwa wamekuwa cleared na IMPORT SUPPORT hainyeshi kuwa walo kuwa cleared ni achimwendu bali ni ITV na BODYCARE hoja RA ni kuwa mengi amekopa IMPORT SUPPORT through ACHIMWENDU na ameingia mtini kilichothibitisha ni kauli ya NGalo kuwa wameshinda kesi bcs ushahidi likosekana ingawa serekali imekata rufaaa,but also ukiangalia document za malipo walicholipa its only 173m.
Ngalo ameleta ushahidi wa Mengi kujitoa NICO as Member,lakini ukisoma barua yake yenye page mbili utaona para ya mwisho mengi anakiri kuwa uwekezaji haukuwa na Tatizo (may i cliriefy my action is not in any way suggesting that the investement was wrong value wise)kwa kauli hii mengi amekubali kuwa umekezaji wa NICO ktk INTERCHEM hauna tatizo means amekiri kuwa kuwekeza ktkt kampuni ilokuwa inakufa sh 2.5bn za kitanzania haikuwwa dhambi na anataka watu waelewe kuwa si kosa kuingiza hela za watu huko na kutuonyesha barua kua ameamu kujiuzulu kwa hilo.
Wana Jamii RA aejibu kuwa hahusiki na kwa mantiki anaetuhumu ndie anaetakiwa kuthibitisha tuhuma zake RA amekanusha mengi athibitishe tuhuma zake dhidi ya RA,pili RA amemtuhumu mengi an ametowa uthibitisho wake na kuahidi kuupeleka kwenye viombo vya sheria.
Nimejaribu kuangalia utetezi wa Ngalo umenionyesha kuwa ngalo ametekelza wajibu wake na ana kila sababu ya kukimbia maswali,
Invissible tuwekee document za mengi alizotumia kuthibtisha kuwa amelipa ili tuweze kufanya uchambuzi
UDUMU MZEE
Wana Jamii nimsoma Nyaraka za Mzee Mengi/Ngalo na maelezo yake yote,nitaweka hapa annalysis ya malipo alofanya ukizipitia document zake utaona kuwa MENGI hajalipa madeni ya ya import support za ACHIMWENDU, zingine hajalipa na ktk statement yake alosoma Ngalo amethibitisha kauli ya RA kuwa mengi hupoteza ushahidi ninanukuu( NBC IMESHINDWA KESI KWA KUKOSEKANA USHAHIDI WA KUTOSHA WA MADENI YA ACHIMWENDU) hiyo ni sehemu ya statement ya Ngalo.
Total amount ya Achimwendu ktk Import support ni zaidi ya Billioni 97,alicholipa ni 173m only,na amekiri kuwa kesi wameshinda kwa kuwa ushahidi haukuonekana na hapa wana proove kauli ya RA kuwa MENGI bingwa wa kupoteza ushahidi.
Ukisoma document ya Ngalo mengi anakana kufilisika lakini DALILI moja wapo ya kampuni kufilisika ni pale ambapo mishahara ya wafanyakazi huanza kulipwa baada ya siku 30 za kazi,Mfano nikiwa naandika muda huu wafanya kazi wa NIPASHE,GUARDIAN(IPP) hawajalipwa mishaharaya mwezi ulopita,nimefanya uchunguzi wangu mishahara huanza kulipwa kuanzia tarehe 5 mpaka 10 ya following month means baada ya siku 35 mpaka 40.Ngalo amesema si kweli wamefilisika lakini hii ni indication moja wapo.
Ukiangalia document alotumia Ngalo kuonyesha kuwa wamekuwa cleared na IMPORT SUPPORT hainyeshi kuwa walo kuwa cleared ni achimwendu bali ni ITV na BODYCARE hoja RA ni kuwa mengi amekopa IMPORT SUPPORT through ACHIMWENDU na ameingia mtini kilichothibitisha ni kauli ya NGalo kuwa wameshinda kesi bcs ushahidi likosekana ingawa serekali imekata rufaaa,but also ukiangalia document za malipo walicholipa its only 173m.
Ngalo ameleta ushahidi wa Mengi kujitoa NICO as Member,lakini ukisoma barua yake yenye page mbili utaona para ya mwisho mengi anakiri kuwa uwekezaji haukuwa na Tatizo (may i cliriefy my action is not in any way suggesting that the investement was wrong value wise)kwa kauli hii mengi amekubali kuwa umekezaji wa NICO ktk INTERCHEM hauna tatizo means amekiri kuwa kuwekeza ktkt kampuni ilokuwa inakufa sh 2.5bn za kitanzania haikuwwa dhambi na anataka watu waelewe kuwa si kosa kuingiza hela za watu huko na kutuonyesha barua kua ameamu kujiuzulu kwa hilo.
Wana Jamii RA aejibu kuwa hahusiki na kwa mantiki anaetuhumu ndie anaetakiwa kuthibitisha tuhuma zake RA amekanusha mengi athibitishe tuhuma zake dhidi ya RA,pili RA amemtuhumu mengi an ametowa uthibitisho wake na kuahidi kuupeleka kwenye viombo vya sheria.
Nimejaribu kuangalia utetezi wa Ngalo umenionyesha kuwa ngalo ametekelza wajibu wake na ana kila sababu ya kukimbia maswali,
Invissible tuwekee document za mengi alizotumia kuthibtisha kuwa amelipa ili tuweze kufanya uchambuzi
UDUMU MZEE