hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Mchaichai huongeza uwezo wa kumbukumbu kwa wale wanaopoteza kumbukumbu
Kwa mfano wanasema watu wa tiba, masufulia ya aluminium tunapochemshia maji yawe ya kupikia au kunywa huwa kuna madini yanatoka na haya huchangia watu kupoteza kumbukumbu na tiba ni Mchaichai
Ukitaka liona hili, chemsha maji kwa sufuria hizo, kisha weka katika chombo itaona baada ya kutulia juu kama utando wenye mng'ao hivi
Hili nalishuhudia nilimsikia Dr Isaac Ndodi