Fahamu zaidi kuhusu tatizo la maumivu ya magoti (Osteoarthritis)

vicent tibaijuka

JF-Expert Member
Mar 22, 2012
268
57
1589632043878.png
Nimamua kuandika mada hii kwani nafikiri yaweza kuwa na manufaa kwa watu wengi. Maumivu ya magoti ni (Osteoarthritis) matatizo makubwa kwa watu wengi hasa wazee, wanawake na watu watu wanene. Magonjwa haya husababisha uchumi wa mtu binafisi kuwa mgumu kutokana na kushindwa kufanya kazi kawaida kama ipaswavyo.

Osteoarthritis ina maana magonjwa ya viungo vya mwili kiujumla, lakini hasa hushambulia magoti na kiuno. Ni ugonjwa wa muda mrefu na kusababisha uharibifu wa cartilage articular (minofu migumu mieupe katka magoti). Ugonjwa huu umekuwa wa kawaida katika watu wengi, lakini katika nchi yetu ni vigumu kusema ni kiasi gani watu wanaathirika, kwani wengi huugua bila dalili na inapofikia hali kuwa ngumu ndo huenda mahospitalini, mabapo pia wataalm ni wachache au vitendea kazi havipo au ni duni hivyo inagua vigumu kungundulika.

Lakini njia rahisi ya kuugundua ni kupiga X-ray. Sababu kubwa za ugonjwa huu bado hazijulikani, ila ina semakana kuwa ni uzee, wanawake, magonjwa ya kurithi, matokeo ya majeraha ya zamani katika magoti, mabadiliko ya hormoni za estrojen ,unene, uzaifu wa misuli na uchovu uliokithiri hasa kwa wanamichezo, kazi ngumu, hasa za kusimama au kunyanyua vitu vizito.nk. Michezo ya kawaida, kwa kulinganisha, hakuna hatari, ni nzuri sana kwa ajili ya viungo.

Dalili na uchunguzi
Utambuzi wa ugonjwa huu hufanywa kwa kuangalia dalili na uchunguzi. Wengi hupenda angalia dalili kwani matokeo ya X-ray hayatosherezi kinaganaga, Maumivu makali yatokanayo na kuzidiwa kwa uzito katika magoti (mafano wakati wa kuismama au kutembea), ndo huwa dalili za mwanzo.

Hii hutokana na kupungua kwa misuli mieupo iliyopo katika goti, na kufanya nafasi au mwanya kati ya goti kupungua au hata kuwa inasuguana hivyo kusababisha maumivu makali .

Ukarabati:
Kwa sasa hakuna tiba kwa ajili ya osteoarthritis, lakini njia kadhaa za kupunguza dalili na kuchelewesha mchakato wa kuendela kukua kwa ugonjwa huu zaweza tumika. Hapo awali watu walitumia madawa ya kupunguza maumivu, lakini leo hii tiba ya msingi ya kufanya mazoezi, na kupunguza uzito.

Hii ni kwa kuwa imeonekana kufanya kazi vizuri zaidi ya kutumia vidonge vya kupunguza maumivu, ambayo wengi huwaletema matatizo ya tumbo kama vile vidonda vya tumbo n.k. Mazoezi hunapunguza maumivu, huboresha kazi na kuongeza ubora wa maisha katika osteoarthritis, na uchunguzi umeonyesha hakuna athari juu ya mazoezi.

Mazoezi hayapaswi kuchanganywa na aina yoyote ya shughuli za kimwili, isipokuwa ma zoezi ni vizuri yawe ya kulenga uimara wa viungo vya mwili hasa katika magoti.

Na vizuri yasiwe ya nguvu kiasi cha kukufanya ukaumia zaidi. Na mara nyingi inachukua muda wa wiki 6-8 wa mazoezi kwa uboreshaji kukuwezesha kuanza kujisikia vizuri. Maumivu yasiwe kikwazo cha kukufanya uache mazoezi bali iwe kichochezi.

Kumbumbuka mazoezi yasiwe ya nguvu kiasi cha kukufanya ushindwe tembea . mazoezi mazuri ni kuogelea, kuendesha baiskeli, au kukaa ukawa unanyonga miguu kama vile mwendesha baiskeli.

Kila la kheri.
===
ZAIDI KUHUSU TATIZO HILI SOMA:

Key points
  • Osteoarthritis (OA) occurs when the cartilage inside a joint breaks down causing pain and stiffness
  • People over 45 are more at risk, but younger people can be affected too
  • Exercise is one of the best ways to manage osteoarthritis.
Osteoarthritis is the most common form of arthritis. It’s most likely to develop in people over the age of 45, but it can also occur in younger people.

OA was once thought to be an inevitable part of ageing, a result of a lifetime of ‘wear and tear’ on joints. However it’s now understood that OA is a complex condition, and may occur as a result of many factors. The good news is that many of these factors can be prevented.

Your joints
Joints are places where your bones meet. Bones, muscles, ligaments and tendons all work together so that you can bend, twist, stretch and move about.

The ends of your bones are covered in a thin layer of cartilage. It acts like a slippery cushion absorbing shock and helping your joint move smoothly.

The joint is wrapped inside a tough capsule filled with synovial fluid. This fluid lubricates and nourishes the cartilage and other structures in the joint.

With OA, cartilage becomes brittle and breaks down. Some pieces of cartilage may even break away and float around inside the synovial fluid. Because the cartilage no longer has a smooth, even surface, the joint becomes stiff and painful to move.

Eventually the cartilage can break down so much that it no longer cushions the two bones. Your body tries to repair this damage by creating extra bone. These are bone spurs.

Bone spurs don’t always cause symptoms, but they can sometimes cause pain and restrict joint movement.

Symptoms
The symptoms of OA varies from person to person. Some of the more common symptoms include:
  • joint stiffness
  • joint swelling (inflammation)
  • grinding, rubbing or crunching sensation (crepitus)
  • joint pain
  • muscle weakness.
Causes
There are many things that can increase your chances of developing OA including:
  • your age – people over 45 are more at risk
  • being overweight or obese
  • family history of OA
  • significant injury, damage or overuse of a joint.
Diagnosis
If you’re experiencing joint pain, it’s important that you discuss your symptoms with your doctor. Getting a diagnosis as soon as possible means that treatment can start quickly. Early treatment will give you the best possible outcomes.

To diagnose your condition your doctor will:
  • take your medical history – this will include finding out about your symptoms, how long you’ve had them, what makes them better or worse
  • examine the affected joint/s.
The use of imaging (e.g. x-rays, ultrasound or MRI) and blood tests are not routinely used to diagnose OA. However they may sometimes be needed if there’s uncertainty around your diagnosis.

Treatment
There’s no cure for OA, but it can be managed effectively using exercise, weight loss, medications, and in some cases surgery.

Exercise
Exercise is an important and effective part of any osteoarthritis management plan. Regular exercise can help reduce some of the symptoms (e.g. pain, stiffness) caused by your condition and improve your joint mobility and strength.

Cartilage doesn’t have a blood supply, so it relies on the synovial fluid moving in and out of your joints for nourishment and to remove any waste.

Exercises that involve moving your joints through their range of movement will also help maintain the flexibility that’s often lost as a result of OA.

Strengthening the muscles around your joints is also important. The stronger they are, the more they can support and protect your joints.

Exercise has many other health benefits. It can:
  • ease pain and stiffness in your joints and muscles
  • improve your balance and posture
  • help you sleep better
  • improve your mood
  • help you maintain a healthy weight, or lose weight when combined with a weight loss diet
  • lower stress levels
  • reduce your risk of developing other chronic health issues (e.g. diabetes, heart disease).
Talk to your doctor, physiotherapist or exercise physiologist about suitable exercises for you. An exercise program that promotes muscle strength, joint flexibility, improved balance and coordination, as well as general fitness will give you the best results.

Manage your weight
Being overweight or obese increases your risk of developing OA, and the severity of your condition. Additional weight also increases pressure on your joints, especially your weight bearing joints (e.g. hips, knees, feet), which is likely to cause further pain and joint damage.

The amount of overall fat you carry is also important because fat releases molecules that contribute to low but persistent levels of inflammation across your whole body. This in turn increases the level of inflammation in the joints affected by OA.

For these reasons, maintaining a healthy weight is important if you have OA. If you need to lose weight, your doctor or dietitian can advise you on safe weight loss strategies.

Medication
Depending on your symptoms, your doctor may recommend you take medication. They may be over-the-counter or prescription medications.

The most common types used to treat OA include:
  • pain relievers (or analgesics) – e.g. paracetamol – for temporary pain relief
  • non-steroidal anti-inflammatories (NSAIDs) – e.g. ibuprofen – to control inflammation and provide pain relief
  • anti-inflammatory or analgesic creams and gels – may provide some temporary pain relief.
If you’re taking any other medications, supplements or treatments – including any you’ve purchased from a supermarket, health store or complementary therapist – you should discuss these with your doctor.

Steroid joint injections are sometimes recommended for people who still have significant pain after trying exercise, weight loss and/or other medications. However steroid injections can’t be given repeatedly and it’s recommended that you have no more than three to four injections per year in the affected joint.

Self-management
There are many things you can do to manage your OA:

Learn about your condition – knowing as much as possible about your OA means that you can make informed decisions about your healthcare and play an active role in the management of your condition.

See a physio – a physiotherapist can provide you with techniques to improve movement and reduce pain. This can include designing an individual exercise program that’s tailored to your needs, as well as offering advice on ways you can modify your daily activities.

Talk to an OT – an occupational therapist can give advice on pacing yourself and managing fatigue, as well as how to modify daily activities both at home and work to reduce strain and pain on affected joints.

Try relaxation techniques – muscle relaxation, meditation, visualisation and other techniques can help you manage pain and difficult emotions, such as anxiety, and can help you get to sleep.

Seek support – from family, friends, work colleagues and health professionals. A peer support group may be another option.

Grab a gadget – supports such as walking aids, specialised cooking utensils, ergonomic computer equipment and long-handled shoe horns can reduce joint strain. An OT can give you advice on aids and equipment to suit you.

Eat well – while there’s no specific diet for people with OA, it’s important to have a healthy, balanced diet to maintain general health and prevent weight gain and other medical problems, such as diabetes and heart disease.

Stay at work – it’s good for your health and wellbeing. Talk to your doctor or allied health professional about ways to help you stay at work or get back to work

Patella taping, knee braces and orthotics – may be useful if you have OA in your knees or feet. Seek advice from a physiotherapist or podiatrist.

Surgery
In some cases surgery may be necessary if the joint is very painful or there is a risk of losing joint function.
===
MICHANGO KUTOKA KWA WADAU

Dawa ya Maumivu ya Magoti . juici ya Bamia.

Tayarisha mabamia kama 2 mpaka 4 kwa siku , yakoshe vizuri halafu yakate slice ndogo ndogo. Yatie kwenye jagi na maji safi ambayo Unaweza kupata glass kama tatu za maji kwa muda wa saa hadi masaa mawili. baada ya hapo utapata maji mazito ya urenda uwe unakunywa mara 3 hadi nne kwa siku. tumia hii dawa kisha unipe feedBack. Au tumia Dawa hii

unapoumwa na kiungo chochote kile: Maji ya moto (sio moto sana ukajiunguza) pamoja na chumvi na taula yako ndogo kujiwekea pale panapouma ikisha ujikaushe maji na utie dawa kama mafuta ya Halzet (Olive Oil) uchanganyishe na

mafuta ya karafuu kama huna tia hata viksi au dawa zinazotumika za mafupa. kumbuka hujikandi wala hujichui kisha chukua kanga au tambara ujiwekee ili dawa ifanye kazi. Hivi unafanya unapotaka kulala na InshaAllah unaamka maumivu

yameondoka. Hivi unafanya siku 3 mpaka 7 pindi maumivu yataendelea. Pia kumbuka kwamba kukaa tu husababisha maumivu ya miguu na hata ya mwili kwa hivyo ujitahidi uwe unakwenda kwenda hata kama ndani ya nyumba nenda ukirudi ili upata mazoezi na hii ni dawa kubwa.

Au tumia hii Dawa Dawa ya viungo inaitwa makerela ambayo yamekaa kama matango lakini kama yana miba miba kwa siku unakula nusu bila kupika, maumivu yote ya viungo yanaondoka. Ni machungu lakini maumivu ya viungo yanaondoka kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu.

Haya yote husababishwa na ukosefu wa calcium kwa hivyo mwenye kujiona anaumwa sana na magoti, miguu na viungo basi ajitahidi kunywa maziwa, na kula lozi, korosho na kunywa maji kwa wingi na mwenye kuwa hana uwezo wa kupata vitu hivyo basi achemshe mchele na ukiwiva achuje anywe maji yake.


okra.jpg



okra.jpg




Tumia hizi dawa kisha unipe feedBack
 
Kaka Vicent nashukuru sana kwa mada hii kuhusiana na magonjwa haya yanayotupata hususani wazee wetu, nimeisoma na kuilewa vizuri, ni leo tu nimetoka kuongea na mama yangu mzazi kuhusiana na matatizo haya ambayo yameanza kumnyemelea sasa hivi ni mwezi mmoja tokea aanze kupatwa na matatizo haya, na yeye ni mfanyakazi wa serikalini.

kwake yeye ni miguu na vidole kuvimba na kuuma lakini akishatumia dawa kama Diclopa uvimbe hupungua na maumivu kupungua, umesema matatizo haya husababishwa na kusimama muda mrefu, ni kweli kazi yake yeye ni mwalimu natumaini kazi za ualimu unazijua ni kusimama ubaoni kwa muda mrefu, je hizi dawa zinaweza kua na madhara anapozitumia? nimeiprint hii kopy nikampe ili azingatie japo mazoezi. Asante.
 
kaka uzi ni mzuri na naamini kuwa utakuwa umewasaidia wengi. je tatizo hili linatofautianaje na ugonjwa unaoitwa RHEUMATOID ARTHRITIS? kama unajua tujuze na kama wapo weledi wengine wanaofahamu tujuze kwa ajili ya kujielimisha ili tutakapofika uzeeni tuweze kuyaepuka au kama yatatupata tujuwe namna ya kukabiliana nayo
 
Kaka Vicent nashukuru sana kwa mada hii kuhusiana na magonjwa haya yanayotupata hususani wazee wetu, nimeisoma na kuilewa vizuri, ni leo tu nimetoka kuongea na mama yangu mzazi kuhusiana na matatizo haya ambayo yameanza...
Asante bwana Ndallo.kwa maelezo yako nimekuelewa ,kuwa huvimba miguu na vidole, je ni miguuni tu au hata vidole vya mikononi? kuhusu diclopa ni dawa ya kupunguza uvimbe na maumivu hila aiponyi na inabidi ainywe baada ya chakula, kwa inaweza kusababisha vidonda vya tumbo au hata kuanza kutoa damu tumboni.

Ukinielezea kwa zaidi jinsi anavyo umwa na ni wakati gani hasa anapata maumivu naweza kupata jibu la karibu zaidi. vizuri akaangaliwe hosp. mfano wamtoe maji katika hizo joints na kuyaangalia watapata jibu zuri na dwa ya kufaa. mazoezi ni muhimu ili isije ikafikia hatua akashindwa tembea.
 
Vicent asante tena kwaushauri wako! Kuvimba kwake ni miguu pamoja na vidole vya mikononi. Ni ushauri mzuri wacha nimpelekee hayo ya mwanzo uliyoleta hapa,alishakwenda hospital akacheki Presha na magonjwa mengine lakini hawakuona kitu na damu yake ni safi,

lakini cha kushangaza mama aliona mpaka watoto wadogo nao wanamatatizo kama yake kweli nimeshtuka sana sijui ni upepo gani umepita, au ni hivi vyakula tunavyokula hususani nyama za ng'ombe nazo sio nzuri sana, kwakua amesema tena akila nyama ya Ng'ombe ndio maumivu yanazidi! Hili la kwenda kutoa maji kwenye joints nalo nitalizingatia.
 
Vicent asante tena kwaushauri wako! Kuvimba kwake ni miguu pamoja na vidole vya mikononi. Ni ushauri mzuri wacha nimpelekee hayo ya mwanzo uliyoleta hapa,alishakwenda hospital akacheki Presha na magonjwa mengine lakini hawakuona kitu na damu yake ni safi,..
Kama unasema akila nyama ndo yanaongezeka, yawezekana anaugonjwa uitwao gout. sijui huenda hosp za aina gani. na kama watoto pia wanayo inawezekana kwani ugonjwa huu pia ni wa kurithi.

Lakini pia pia lazima aangalie arthritis. check damu kwa ajiri ya kuangalia gout hasa uric acid. watoto pia wachekiwe kama wana bacterial infection, hata swabs katika makoo lazima watolewe. then jibu litapatikana.

Aache nyama, wine, pombe kwani kama ni gout hivyo vitu huzidisha. na kama asubuhi akiamuka anaona vidole vimeganda (vimekufa ganzi) ni vizuri kuchunguzwa rheumatism.
 
kaka uzi ni mzuri na naamini kuwa utakuwa umewasaidia wengi. je tatizo hili linatofautianaje na ugonjwa unaoitwa RHEUMATOID ARTHRITIS??? kama unajua tujuze na kama wapo weledi wengine wanaofahamu tujuze kwa ajili ya kujielimisha ili tutakapofika uzeeni tuweze kuyaepuka au kama yatatupata tujuwe namna ya kukabiliana nayo
Rheumatoid arthritis ni tofauti, kwani watu wenye rheumatism mara nyingi hupata maumivu wakati wa baridi na subuhi, hasa wanapoamka. mara nyingi vidole vyao huwa vinakufa ganzi kwa muda wa saa au zaidi ya saa moja. ugonjwa huu husababishwa na autoimmune process.

Mara nyingi maumivu ni makali katia vidole (metacarpal pharangeal joints), na kama mtu kaugua kwa muda mrefu utaona hata joints zake zimebadilika, zinakuwa na vitu vimevimba kama nundu hivi (nodules).

Ugonjwa huu wa rheumatism huwaez kusababisha mazra mengine pia kama vile magonjwa ya moyo, mapafu figo na mengineneyo. hivyo ukiwa na mgonjwa heli umpeleke hospital kwa uchunguzi zaidi.
 
Dawa ya Maumivu ya Magoti . juici ya Bamia.

Tayarisha mabamia kama 2 mpaka 4 kwa siku , yakoshe vizuri halafu yakate slice ndogo ndogo. Yatie kwenye jagi na maji safi ambayo Unaweza kupata glass kama tatu za maji kwa muda wa saa hadi masaa mawili. baada ya hapo utapata maji mazito ya urenda uwe unakunywa mara 3 hadi nne kwa siku. tumia hii dawa kisha unipe feedBack. Au tumia Dawa hii

unapoumwa na kiungo chochote kile: Maji ya moto (sio moto sana ukajiunguza) pamoja na chumvi na taula yako ndogo kujiwekea pale panapouma ikisha ujikaushe maji na utie dawa kama mafuta ya Halzet (Olive Oil) uchanganyishe na

mafuta ya karafuu kama huna tia hata viksi au dawa zinazotumika za mafupa. kumbuka hujikandi wala hujichui kisha chukua kanga au tambara ujiwekee ili dawa ifanye kazi. Hivi unafanya unapotaka kulala na InshaAllah unaamka maumivu

yameondoka. Hivi unafanya siku 3 mpaka 7 pindi maumivu yataendelea. Pia kumbuka kwamba kukaa tu husababisha maumivu ya miguu na hata ya mwili kwa hivyo ujitahidi uwe unakwenda kwenda hata kama ndani ya nyumba nenda ukirudi ili upata mazoezi na hii ni dawa kubwa.

Au tumia hii Dawa Dawa ya viungo inaitwa makerela ambayo yamekaa kama matango lakini kama yana miba miba kwa siku unakula nusu bila kupika, maumivu yote ya viungo yanaondoka. Ni machungu lakini maumivu ya viungo yanaondoka kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu.

Haya yote husababishwa na ukosefu wa calcium kwa hivyo mwenye kujiona anaumwa sana na magoti, miguu na viungo basi ajitahidi kunywa maziwa, na kula lozi, korosho na kunywa maji kwa wingi na mwenye kuwa hana uwezo wa kupata vitu hivyo basi achemshe mchele na ukiwiva achuje anywe maji yake.


okra.jpg



okra.jpg




Tumia hizi dawa kisha unipe feedBack
 
Dawa ya Maumivu ya Magoti . juici ya Bamia.

Tayarisha mabamia kama 2 mpaka 4 kwa siku , yakoshe vizuri halafu yakate slice ndogo ndogo. Yatie kwenye jagi na maji safi ambayo Unaweza kupata glass kama tatu za maji kwa muda wa saa hadi masaa mawili. baada ya hapo utapata maji mazito ya urenda uwe unakunywa mara 3 hadi nne kwa siku. tumia hii dawa kisha unipe feedBack. Au tumia Dawa hii...
Hiyo bamia ni nzuri kwa kushusha sukari na presuure ya hataua ya kwanzamwilini. kuhusu magoti nitafuatilia. mchango wako mzuri.
 
Nimechelewa sana sana kuiona hii post yako mkuu, lakini bado ni wakati muafaka kwangu. Baada ya kuisoma kwa makini naanza kupata mwanga wa matatizo ya mzee wangu.....nahisi nae anaangukia huku.

Asante sana mkuu. Kama kumuona daktari anaonwa yeyote au kuna wataalam wake?
 
Pia kuna hii kama inaweza kusaidia. Ipo Kimombo ila juice au tunda la Apple na Ndimu ndo mpango mzima: Mafanikio Na Afya Njema: Je Una Maumivi Ya Gouts (Viungo)? - Home Remedies for Gout


[h=1]Je Una Maumivi Ya Gouts (Viungo)? - Home Remedies for Gout [/h]
what-causes-gout-in-the-knee.jpg

Gout:


• Gout is a form of arthritis
• It is also known as toe or feet disease
• The condition usually affects the toe, knee or wrist joints
• More than one joint can be affected at one time


Symptoms to look for:


• Sudden bouts of unbearable pain
• Inflammation, tenderness in the joints
• Gout attacks usually occur at midnight or early in morning
• Affected joint becomes hot and swollen and is very sensitive to touch
• Pain and swelling generally goes away after 1-2 weeks
• The pain reoccurs after sometime in the same or some other joint


Causes:


• High level of uric acid in the body
• Excessive alcohol intake
• Stress
• Lack of exercise
• Skipping meals
• Dehydration
• High aspirin intake
• Menopause


Natural home remedy using mustard oil and camphor:


1. Take 1 cup of mustard oil
2. Add 10 gm of camphor
3. Heat till camphor dissolves completely
4. Massage the affected area with lukewarm oil


Natural home remedy using apples:


1. Eat 1 apple after every meal
2. Apples have malic acid, which neutralises uric acid


Natural home remedy using lime:


1. Add the juice of half a lime to 1 glass of water
2. Drink 2 times a day
3. Citric acid in lime dissolves uric acid


Natural home remedy using ice:


1. Wrap ice cubes in cloth
2. Place on the affected area
3. This provides only temporary pain relief


Tips:


• Drink 8-10 glasses of water every day. It washes out the uric acid deposits
• Have 15-20 cherries every day
• Anti-oxidants in cherries help relieve inflammation

• It reduces the frequency of gout flare-ups
 
Hello wanajamii,

Naomba ushauri kama kuna mtu yeyote ambaye amewahi kupata shida kama hii niliyonayo leo, au anyejua dawa, kwa muda wa wiki moja sasa nasikia maumivu makali sana kwenye goti langu la mguu wa kulia kiasi cha kushindwa kuinua mguu ili kutembea siwezi hata kuchuchumaa.

Hii ni mara ya tatu kupata maumivu kama haya kisha yanapotea baada ya siku 2 bila dawa yoyote lakini sasa ni wiki imekwisha sijapata nafuu yoyote, asanteni sana.
 
Kama kuna mtu anaumwa gaut humu ndani dawa ninayo ni ya mitishamba ila ipo in form of capsules inapatikana kwa 80,000. Kama unaitaji nichek kwa namba 0719 252523
 
Asante sana mkuu kwa ushauri ntajitahidi kuufuata lakini kwa sasa nina maumivu makali sana siwezi kuanza kufanya mazoezi mpaka pale ntakapo pata nafuu.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu wapendwa!, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 , kazi yangu ni mchezaji wa mpira wa miguu.

Nakumbuka mnamo mwezi MARCH nilikuwa katika mechi ya kirafiki nikiwa napeleka mashambulizi katika lango la timu pinzani ndipo beki akawa anakuja kublock mbio zangu ile anakuja kuupiga mpira ili utoke nje nikaruka ili kumkwepa asiniumize ile natua chini nikapata mshituko kwenye jointi ya goti na kunipelekea kutolewa nje ya uwanja na kupakwa dawa ya kuchua lakini haikusaidia,

Nikakaa toka mwezi MARCH mpaka JULY nikiwa ma maumivu ya goti pindi ninapoanza kucheza mpira ila kama nikitembea au kufanya shughuli yoyote ile sihisi maumivu yoyote.

Mnamo JULY katikati nikaamua kwenda kwenye duka maarufu sana hapa ushirombo bukombe lijulikanalo kama KADAMA PHARMACY nikamueleza daktari tatizo langu akanipatia dawa ya kuchua na vidonge vya kumeza kwa maelekezo kuwa nitameza kidonge kimoja asubuhi na kidonge kimoja usiku kwa kila dozi na kupaka dawa ya kuchua asubuhi, mchana na usiku.

Nilitumia dawa kama nilivyoelekezwa nikapata nafuu ila nilipoanza tena mazoezi maumivu yakaanza tena hivyo mpaka sasa hivi sijatumia dawa yoyote ndo nikaona bora nipite humu nipate ushauri wenu ndo nifate taratibu za matibabu. AHSANTENI.
 
A.Nadhani umeptata kati ya yafuatayo

1.ligaments sprains

2.muscles sprains

3.Mild joint dislocation/Angulation

4.Rupture of tendons around the knee joint.

5.A mild fracture ambayo bado haijapona


B.NAKUSHAURI:

1.Kapige x-ray au ultrasound utajua tatzo lako pamoja na matibabu yanayotakiwa!

C.ANGALIZO

1.Dawa za kuchuwa ni kwaajili ya maumivu hazisaidii kidonda au mfupa kupona
 
A.Nadhani umeptata kati ya yafuatayo

1.ligaments sprains

2.muscles sprains

3.Mild joint dislocation/Angulation

4.Rupture of tendons around the knee joint.

5.A mild fracture ambayo bado haijapona


B.NAKUSHAURI:

1.Kapige x-ray au ultrasound utajua tatzo lako pamoja na matibabu yanayotakiwa!

C.ANGALIZO

1.Dawa za kuchuwa ni kwaajili ya maumivu hazisaidii kidonda au mfupa kupona

mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako ila naomba japo uniambie dawa ambayo angalau itanipunguzia maumivu na kulirejesha goti langu katika hali yake ya awali.
 
Nina matatizo kwenye JOINT za miguu, ule uteute umepungua hali inayonipelekea kushindwa hata kuchuchumaa vizuri au kupiga magoti, wakati mwingine miguu huniuma sana pindi napotembea umbali mrefu .

Naombeni msaada nitumie dawa gani?
 
Back
Top Bottom