Wakuu hiyo chawata kiko wapi,kigoma au bongo?
CHAWATA ni kifupisho cha Chama Cha Watu wenye ulemavu Tanzania. Makao Makuu yapo DSM na wana matawi mikoani sina uhakika kama ni mikoa yote.
Mama yake zito ni Mwenyekiti wa Taifa(kama kumbu kumbu zangu ni sahihi) wa chama hicho na anaishi Dar.