Ngararimu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 288
- 497
Mimi sina uhakika sana na ukweli wa habari hii kwa sababu mletaji hakutaja source ili tupime credibility yake lakini kama ni kweli serikali ina mpango huo hautafanikiwa kwa sababu zifuatazo:
-1. Itakuwa inapambana na matokeo ya maendeleo ya technolojia na utandawazi kitu ambacho watu walioelimika kama waisrael, walio matajiri kama wachina na wamarekani wameshindwa kupingana navyo wakaamua kukubali yaishe.
2. Watumiaji wa mtandao huu siyo watu wajinga wajinga kama serikali inavyofikiri hivyo hata mtandao huu ukifungwa ni raisi sana wao kuwasiliana kwa njia nyingine ambayo hata mkono wa serikali houwezi hata kuufikia.
3. Kuhusu hoja ya mmiliki wa mtandao huu mimi kama mwanachama kipenzi sijawahi hata siku moja kuwaza wala kutamani kujua mwanzilishi wala mmiliki ila kwa sasa nafahamu kwamba wamiliki ni sisi wanachama na kwamba hata serikali.
Bunge au CCM wakianzisha mtandao unaokata contrutive issues kama huu mimi nitajiunga haraka na nipo tayari kuchangia ada za uendeshaji kila mwezi achilia mbali hii Jf ambayo maskini wa mungu sijawahi kuombwa mchango hata mbuni tangu nijiunge humu kulaaaaaleki !!!!!!.
Mtu msomi hatishiwi nyau bana!!!!
-1. Itakuwa inapambana na matokeo ya maendeleo ya technolojia na utandawazi kitu ambacho watu walioelimika kama waisrael, walio matajiri kama wachina na wamarekani wameshindwa kupingana navyo wakaamua kukubali yaishe.
2. Watumiaji wa mtandao huu siyo watu wajinga wajinga kama serikali inavyofikiri hivyo hata mtandao huu ukifungwa ni raisi sana wao kuwasiliana kwa njia nyingine ambayo hata mkono wa serikali houwezi hata kuufikia.
3. Kuhusu hoja ya mmiliki wa mtandao huu mimi kama mwanachama kipenzi sijawahi hata siku moja kuwaza wala kutamani kujua mwanzilishi wala mmiliki ila kwa sasa nafahamu kwamba wamiliki ni sisi wanachama na kwamba hata serikali.
Bunge au CCM wakianzisha mtandao unaokata contrutive issues kama huu mimi nitajiunga haraka na nipo tayari kuchangia ada za uendeshaji kila mwezi achilia mbali hii Jf ambayo maskini wa mungu sijawahi kuombwa mchango hata mbuni tangu nijiunge humu kulaaaaaleki !!!!!!.
Mtu msomi hatishiwi nyau bana!!!!