Huyu mama mshamba tu!!! Mimi sio Rais lakini naelewa kwa nini Marais wanatakiwa kuwa na Ndege, ziko safari nyingi za ghafla ambazo haziendani na safari za ndege za Abiria sasa hapo... sijui mama atalazimika ku-kodi ambayo itakuwa expensive sana.... lakini pili uuzaji wa ndege wa namna hiyo itauzwa kwa bei chee sana... pole wa-Malawi.