OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Akipambana na Mimi patachimbikaYule ni mkufunzi wa wale makando, weka mbali kabisa na watoto.
Ni mtaalam wao.
Akipambana na Mimi patachimbikaYule ni mkufunzi wa wale makando, weka mbali kabisa na watoto.
Ni mtaalam wao.
Hapa tunatumia fake ID wala usikomae kunielewesha ilihali hunijui kwamba nina ujuzi ganiWanacho beza watu sio ukomandoo wao, ila hiyo shoo kuamisha watu ndio umahiri wao.
Na hasa inapotumika nguvu sana kuaminishwa hivyo.nawewe unarudia udhaifu huo huo.hivi una taarifa kwamba hao unaowaita polisi wanavunja vigae, tena wanawake.fuatilia sherehe zao wakimaliza mafunzo.
Ile ni show tu,mtu yeyote anaweza fanya tena zaidi hata ya yale.wala si kipimo cha ukomandoo.na hata ni ujinga kudhani ni message kwa maadui.
X wangu ambaye ni ticha aliwahi kunifundisha physics kuwa misumali mingi haiwezi kukuumiza ila ukiweka 1,2, 3.....utakuingia hadi tumboniHivi wale tuliowaona leo ni makomandoo? Kama ni makomandoo wapo kwenye rank gani?
mkuu unapenda kupasua matofali sio??Nataka Kujiunga JWTZ,alaf niwe marine special forces
hili ndio bara la giza, tunafanya vitu ambavyo wakoloni wetu waliacha kufanya karne ya 19...
Wapo kwenye rank ya ukipensi, hivyo unaweza waita makomando vipensiHivi wale tuliowaona leo ni makomandoo? Kama ni makomandoo wapo kwenye rank gani?
Mkuu unafahamu MAZINGAOMBWE? Yale tuliofanyiwa primary school?Katika hali ya kawaida tu, wewe mwenzangu unaweza ukavunjiwa ubao kwenye ugoko na usipate madhara? Je wewe mwenzangu unaweza ukavunjiwa matofali kichwani na usipate madhara? Vipi kuhusu kulala kwenye misumali? Na je waweza vuta gari la tani 7 mkiwa wawili tu? Kama huwezi vitu vidogo kama hivyo, utawezaje kuhimili mapigano yanayohitaji uvumilivu, shuruba ustahimilivu na ukomavu wa hali ya juu katika kuhimili mazingira magumu ya adui. Tuache kukosoa hata tusiyoyajua.
View attachment 444293
View attachment 444483
Sangasanga ile morogoro, junction ya mzumbe?mkuu unapenda kupasua matofali sio??
by the way kozi ya ukomando sio ya kimama aisee watu wanawehukaga wengine wanafariki..
sanga sanga sio pa mchezo mkuu
X wangu ambaye ni ticha aliwahi kunifundisha physics kuwa misumali mingi haiwezi kukuumiza ila ukiweka 1,2, 3.....utakuingia hadi tumboni
Wewe usilete upumbavu wako, vitambi vipo polisi sio jeshini.Ila boss wao hana ki..
mkuu unapenda kupasua matofali sio??
by the way kozi ya ukomando sio ya kimama aisee watu wanawehukaga wengine wanafariki..
sanga sanga sio pa mchezo mkuu
Tatizo lao ukimpiga mmoja.wanakuja kufunga mtaa.
Mkuu wangeokota mzoga kwa hoja yakoWangeweka msumari mmoja.
Wengine ni private
You can't compare mkuu. Wale Sayeret Matkal hatari tupu, hata USA anawaogopa!!!Hivi wale wetu ukiwalinganisha na sayeret matkal au shayetet inakuwaje
Hapa tunatumia fake ID wala usikomae kunielewesha ilihali hunijui kwamba nina ujuzi gani
Let it go mkuu
Polisi hata ajifunze vipi hawezi kufikia hata robo ya mafunzo ya komando
CCP haiwezi kutoa mafunzo kama ya 92KJ
Never mkuu