Kunduchi-kuna kichaa mmoja alikuwa anatembea uchi maeneo yale,so ndio wakabatiza jina hilo!!Keko Magurumbasi
Magomeni
Afrika sana
Sinza Mori
Sinza kwa Remmy
Sinza Palestina
Mwenge
Mbezi Louis
Africana
Kijitonyama
Ubungo Kibangu
Ubungo Maziwa
Manzese
Tandale
Temeke
Kunduchi
Kimanzichana
Mbagala
Salasala
Kibamba
Kibamba Magarisaba
Kibaha
Buguruni
Kinondoni
Madale
Bunju
Boko
Tegeta
Goig
Makonde
Jogoo
Mabibo
Masaki
Oysterbay
Gongo la mboto
Ukonga
Kipawa
Chanika
Kigamboni
Mwanakwerekwe
Mkunazini
Mbagala Charambe
Shekilango
Sinza Mugabe
Sinza Mapambano
Changombe
Ilala
Ilala Boma
Kurasini
Makumbusho
Victoria
Mikocheni
..na maeneo mengineyo wenye kujua maana yake waweke hapa tuelimike na kujua maana ya sehemu tunazoishi
Tumekupata kwenye hilo
Tuambie jina la mahali unapoishi kwa sasa bra Julius
Afadhali umeongelea nyumbani maana kidogo nidhani JF yote inaishi Dar!!!!Bagamoyo - watumwa kutoka bara walikuwa wakifika hapo wanajua hakuna kurudi tena bara so wanabwaga mioyo yao, pakaitwa bwagamoyo by then ila wakaedit baadae ikawa bagamoyo hadi leo!!!!
Koboroloni - ukisimama pale unaona kilele cha mlima kilimanjaro vizuri sana, kuna wadhungu walifika pale wakaona vilele vilivyoachana wakasema kibo alone, wachagga wakashindwa kidhungu ndo wakapaita hivyo hadi leo!!!!!
Ndafu - wadhungu walikuja kwetu kule wakachomewa mbuzi mzimamzima as usual, walipokula wakafurahi wakasema wanderfull, hicho kidhungu nacho kikawashinda wachagga wakaiita NDAFU hadi leo!!!!
Naishi Savei...
Kwa wale wa mikoani tunaomba na tafsiri za mitaa hii
Mfaranyaki-Songea
Mwanjelwa-Mbeya
Mazimbu-Morogoro
Wajameni ina maana tunaishi kwenye mikoa tusiyojua maana ya majina yake. Come on please members
Vp majina haya;-
Mwembe Yanga
Mwembe Songo
Kibanda maiti
Mchamba wima
Je na mikoa yetu majina yetu yana maana gani?
Dodoma
etc etc
Mgongo (mkubwa) wa tembo. (Kizaramo).gongo la mboto
mboto ni jina la mtu na alikuwa anauza gongo kwaiyo watu wakawa wanasema nakwenda kunywa gongo la mboto ndo likawa jina mpaka leo
Kwa Kizaramo shamba ni mgunda!!Umedanganya Gongo ni neno la Kizaramo lenye maana ya shamba na Mboto ni rutuba kwa maana hiyo Gongo la mboto ilipewa jina hilo kufuatiw eneo hilo kuwa lenye rutuba.
Na Banana ni kweli kuliwa nahiyo Bar lakini hakuna habari ya mgomba wala mdizi.
Kijana wacha ulongo