Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Wakati akiongea, nilimsikia akimsifia Kagame kuwa bora tuwe na Rais kama Kagame ili tuendelee, tusiwe legelege, dhaifu dhaifu tuwe na kiongozi mwenye kuchukua maamuzi magumu kama yana manufaa kwa taifa.
My Take:
Kwa upande fulani najua ana kashfa ya Richmond, lakini pamoja na ufisadi wake nadhani ni bora Lowassa mara mia kuliko rais dhaifu. Kuwa na Rais ambaye kidogo ni dikteta kama Kagame au Lowassa kipindi chake cha miaka miwili kama waziri mkuu, ni bora mara mia kwasababu tukikumbuka kwa ile miaka miwili alichachafya wavivu wengi sana na wengine waliacha kazi.
Nadhani tunahitaji Rais kama Lowassa mfano wa Kagame.
My Take:
Kwa upande fulani najua ana kashfa ya Richmond, lakini pamoja na ufisadi wake nadhani ni bora Lowassa mara mia kuliko rais dhaifu. Kuwa na Rais ambaye kidogo ni dikteta kama Kagame au Lowassa kipindi chake cha miaka miwili kama waziri mkuu, ni bora mara mia kwasababu tukikumbuka kwa ile miaka miwili alichachafya wavivu wengi sana na wengine waliacha kazi.
Nadhani tunahitaji Rais kama Lowassa mfano wa Kagame.