Mange Kimambi vs Le mutuz, chanzo cha bifu ni nini?

Status
Not open for further replies.

richaabra

JF-Expert Member
Jul 12, 2016
1,454
3,469
Leo katika mtandao wa instagram kumeibuka mvutano mkubwa na vijembe kati ya mange na lemubebezz tajiri mkubwa lemutuz
Vijembe vilianzishwa na lemutuz kuwa mange ni kibibiz kisichokuwa na kazi maalum,yaan ni jobless na anashinda kwenye mitandao kufwatilia ya watu
Jioni hii mange naye kajibu mapigo eti lemutuz ni kubwa jinga ,kuwa ameshindwa kujenga kwao na anaishi hapa mjini kimaigizo,kujionyesha kwingi na hela hana jionee
2bec26c365d1c34d9c06aab6f7c1bd65.jpg
 
hapo lazima kuna team zimesha jiunda kuchochea. mwenye busara anatakiwa ampotezee mwenzie
 
Sidhani kama Le Mutuz atapungukiwa kitu akiamua kuishi maisha ya faragha. Siyo tu kwa umri ila pia kwa dhamira ya kutunza heshima na legacy ya Mzee wake ambaye aliitumikia hii nchi kwa moyo wake wote.

Naumia sana kuona William anatumia mitandao kufanya majibishano yenye kumuacha uchi yeye na family yake.

Am out
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom